Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Haya wahi lumumba kwenye foleni ukachukue ujira wakoWatanzania wote tunataka Rais Amalizie miradi yake yote aliyoianzisha ni lazima akae miaka 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya wahi lumumba kwenye foleni ukachukue ujira wakoWatanzania wote tunataka Rais Amalizie miradi yake yote aliyoianzisha ni lazima akae miaka 20
ujira gani mkuu?Haya wahi lumumba kwenye foleni ukachukue ujira wako
We jamaa usemee moyo wako bana...nakukumbusha tu ukivuta bangi asubuhi kunywa maji mengiWatanzania wote tunataka aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yake yote aliyoanzisha. wewe haujalijua hili tu.
Nafatilia ndomana cjakupinga kwa hyo twakwimu yako lakin jee ndo uhalisia wa kweri katika maisha ya mtanzania au ndo siasatakwimu ziko wazi mkuu au haufuatilii?
ndio takwim ya kweli hiyo tusipinge kila kitu vingine tuunge mkono.Nafatilia ndomana cjakupinga kwa hyo twakwimu yako lakin jee ndo uhalisia wa kweri katika maisha ya mtanzania au ndo siasa
Umechanganyikiwa wewelazima muda uongezwe ili tupige hatua za kimaendeleo.
Acha matusi tuweke hoja hapa , hoja hujibiwa kwa hoja mkuu wanguWe jamaa usemee moyo wako bana...nakukumbusha tu ukivuta bangi asubuhi kunywa maji mengi
Aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yake yote na tupae kiuchumi mkuu.Umechanganyikiwa wewe
Unakera mkuu..unachokipenda sio watu wote wanakipendaAcha matusi tuweke hoja hapa , hoja hujibiwa kwa hoja mkuu wangu
nimefanya utafiti kuanzia newala, bariadi, sikonge, kasulu, Ruangwa, mbinga, mpanda, muheza na maeneo mengine watu wanataka miradi iishe na ni muhimu aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yote.Unakera mkuu..unachokipenda sio watu wote wanakipenda
Ila we jamaa ni king'ang'anizi ,,,,tumesema miaka mitano inamtosha bado unalazimisha we f*l* kwelikatiba sio muhimu kwa sasa maana maono ya kiongozi ndio muhimu sana kwa taifa naomba tuungane tupaze sauti hili likamilike ili Mheshimiwa Rais amalizie miradi yake yote miaka ishirini itakua ni tiba ya uchumi wetu.
Utafiti wako ni batilinimefanya utafiti kuanzia newala, bariadi, sikonge, kasulu, Ruangwa, mbinga, mpanda, muheza na maeneo mengine watu wanataka miradi iishe na ni muhimu aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yote.
acha matusi tujadili hoja mkuu sisi watanzania matusi ya nini?Kuna watu wakisha shiba viporo huanza kujember jember ovyo tu
Ptuuuu!!!
ili amalizie miradi yote aliyoanzisha inabidi akae miaka 20 madarakani.Ila we jamaa ni king'ang'anizi ,,,,tumesema miaka mitano inamtosha bado unalazimisha we f*l* kweli
mkuu niko sahihi kwenye utafiti wangu , mbona mengine nampinga Rais na mnakua pamoja na mimi naomba hapa tuunge mkono mawazo ya wananchi.Utafiti wako ni batili
nimefanya utafiti kuanzia newala, bariadi, sikonge, kasulu, Ruangwa, mbinga, mpanda, muheza na maeneo mengine watu wanataka miradi iishe na ni muhimu aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yote.