Ili uchumi ukue, tukubali Rais aongezewe muda hata miaka 20 Ili amalizie miradi yake yote

Ili uchumi ukue, tukubali Rais aongezewe muda hata miaka 20 Ili amalizie miradi yake yote

Daaah yani ww sijui ukoje yani mungu anakuona
 
Watanzania wote tunataka aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yake yote aliyoanzisha. wewe haujalijua hili tu.
We jamaa usemee moyo wako bana...nakukumbusha tu ukivuta bangi asubuhi kunywa maji mengi
 
Nafatilia ndomana cjakupinga kwa hyo twakwimu yako lakin jee ndo uhalisia wa kweri katika maisha ya mtanzania au ndo siasa
ndio takwim ya kweli hiyo tusipinge kila kitu vingine tuunge mkono.
 
Kuna watu wakisha shiba viporo huanza kujember jember ovyo tu

Ptuuuu!!!
 
Unakera mkuu..unachokipenda sio watu wote wanakipenda
nimefanya utafiti kuanzia newala, bariadi, sikonge, kasulu, Ruangwa, mbinga, mpanda, muheza na maeneo mengine watu wanataka miradi iishe na ni muhimu aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yote.
 
katiba sio muhimu kwa sasa maana maono ya kiongozi ndio muhimu sana kwa taifa naomba tuungane tupaze sauti hili likamilike ili Mheshimiwa Rais amalizie miradi yake yote miaka ishirini itakua ni tiba ya uchumi wetu.
Ila we jamaa ni king'ang'anizi ,,,,tumesema miaka mitano inamtosha bado unalazimisha we f*l* kweli
 
nimefanya utafiti kuanzia newala, bariadi, sikonge, kasulu, Ruangwa, mbinga, mpanda, muheza na maeneo mengine watu wanataka miradi iishe na ni muhimu aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yote.
Utafiti wako ni batili
 
Hashawishiki mtu hapa... Miaka 5 inamtosha kabisa, Maendeleo ya serikali yanayoacha watu masikini hayana maana
 
Ila we jamaa ni king'ang'anizi ,,,,tumesema miaka mitano inamtosha bado unalazimisha we f*l* kweli
ili amalizie miradi yote aliyoanzisha inabidi akae miaka 20 madarakani.
 
Utafiti wako ni batili
mkuu niko sahihi kwenye utafiti wangu , mbona mengine nampinga Rais na mnakua pamoja na mimi naomba hapa tuunge mkono mawazo ya wananchi.
 
Write your reply...itakuwa umekuja kupima upepo ili uone mpango huu utapokelewa vp??
 
Huko Ruangwa umefanya utafiti lini? Kwasababu jamaa yako anadaiwa pesa ya korosho huko hajalipa hadi muda huu
nimefanya utafiti kuanzia newala, bariadi, sikonge, kasulu, Ruangwa, mbinga, mpanda, muheza na maeneo mengine watu wanataka miradi iishe na ni muhimu aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yote.
 
Back
Top Bottom