Ili vita ya Hamas -Israel iwe ya kiutu inatakiwa iweje??

Ili vita ya Hamas -Israel iwe ya kiutu inatakiwa iweje??

wakiristo mumesoma lakni akili mnazifisha miguuni mnapoona mambo ya waislam. Unaona miaka 20 sasa Hamas wamenyimwa misaada lakni wanapigana na Isreal hadi leo Marekani anawaangukia Hamas wakubali suluhu. sasa kama Hamas maiti mbona kunatumika mbinu Kubwa kutaka wafanye suluhu? Huoni chadema walivyodharauliwa na CCM hata hawashirikishwi? kwa sababu hawana chochote. wakitaka wataingia katika uchaguzi au hawataki basi. Lkn Hamas wanaombwa wasitishe vita. Ireal alichofanikiwa kuuwa watoto na wanwake
Ni mchezo wa paka na panya wanacheza kati ya USA na Hamas,ili USA afanikishe anachokitaka.
 
Kwa kuwa hamas walipobaka na kuua waliplan na wala hawakuweka maisha ya raia wa kigeni na kiyahudi reheni! wayahudi wanaamini katika jino kwa jino hivyo there is no way wauwawe tena kwa wingi then wao wapangiwe namna ya kudeal na muuwaji.
Hapo unasema Israel ni magaidi kama ilivyo Hamas!Sheria za vita hazikuwekwa ili zibague mazingira ya kutumika!Unachofanya hapa ni ushabiki tu!
Ndio maana UN imezuia suala la collective punishment,kwamba wewe kisa umeshambuliwa na Hamas,basi kila kilichoko Gaza ni legitimate target!
 
Hivi UN wanashindwa nini kupeleka majeshi kumkabili huyo mpumbavu Israel??
Yani ni upumbavu wazungu watoke ulaya,waende wachukue nchi ya watu kisha wajimilikishe na kuanza kuhamisha na kuua wenyeji-kisa tu wanataka wa control mataifa ya kiarabu.
 
Hii vita ipigwe wanajeshi kwa wanajeshi. Sio mjeshi mmoja anakimbilia nyuma ya akina mama na watoto afu anasubiri kuvizia. Kama ndo maekekezo HAMAS waliyopewa na sponsors wake basi WAYAHUDI NA SPONSORS wake wako sahihi kubutua kila watakachokikuta mbele. Sijahalalisha mauaji ya raia huko gaza ila marehemu babu yangu alipigana vita ya msumbiji na ili ya kagera anakwambia SECTION alizokuwa anaziongoza akizipa task kusonga mbele kule MASAKA anakwambia mkikuta hata kitoto au kikongwe kinawapa uzibe pigien mabuti choma singe hadi kife SAVE BULLETS. ASEEEE VITA NI VITA MURAAAAAA.

BUT I FEEL SO SAD FOR GAZA PEOPLE
 
Kwan mara ngapi wameitwa magaidi wauaji makafiri au we unataka lazima west ndo wawaite magaidi? na mpaka wakisema west ndo nafsi yako itasuuzika wasiposema nafsi inakuuma? Kwamba west wakisema ni sauti kubwa au?
Nimewataja hao ili uone double standards zao wakati huo huo wanajifanya ndio nchi zinazopambania democracy!Democracy only when it suits them!
 
Hii vita ipigwe wanajeshi kwa wanajeshi. Sio mjeshi mmoja anakimbilia nyuma ya akina mama na watoto afu anasubiri kuvizia. Kama ndo maekekezo HAMAS waliyopewa na sponsors wake basi WAYAHUDI NA SPONSORS wake wako sahihi kubutua kila watakachokikuta mbele. Sijahalalisha mauaji ya raia huko gaza ila marehemu babu yangu alipigana vita ya msumbiji na ili ya kagera anakwambia SECTION alizokuwa anaziongoza akizipa task kusonga mbele kule MASAKA anakwambia mkikuta hata kitoto au kikongwe kinawapa uzibe pigien mabuti choma singe hadi kife SAVE BULLETS. ASEEEE VITA NI VITA MURAAAAAA.

BUT I FEEL SO SAD FOR GAZA PEOPLE
Acha unafiki,unaenjoy tu hapo vitoto na wanawake wanavyoshushiwa mabomu,vingine vinavyo survive vinalazimika kufanyiwa upasuaji bila ganzi baada ya Israel kublock misaada hata ya kitabibu!
Hiyo ndiyo furaha yenu,shame!
 
Kuna watu wanataka/wanatamani vita kati ya Hamas/Hezbollah na Israel ipiganwe kiutu.

Sasa najiuliza vita gani ndani yake ina utu? Vita ni vita na bahati mbaya vita nyingi waathirika wakubwa huwa ni wananchi wa kawaida na siyo wanajeshi ambao hufundishwa kupigana vita.

Vita ni mbaya na kwa kawaida huwezi kuwa na utu wakati wa vita.
Hamas wanaomba wapigwe vizuri.
 
Acha unafiki,unaenjoy tu hapo vitoto na wanawake wanavyoshushiwa mabomu,vingine vinavyo survive vinalazimika kufanyiwa upasuaji bila ganzi baada ya Israel kublock misaada hata ya kitabibu!
Hiyo ndiyo furaha yenu,shame!
Sio kwamba nafurahi mkuu. Vita sio sherehe. Soma nyaraka za kuaminika kuhusu VITA na OPERATIONS nyingi ndo utagundua hata wewe ungekuwa BENYAMINI ungefanya nini. Hata hao HAMAS hawakuvamia kambi la jeshi walivamia akina mama na watoto na raia wa kawaida mkuu naomba usisahau hilo. Leo hamas hao hao wakisakwa wanakimbia kwenye migongo ya raia. Aseeee
 
Hapo unasema Israel ni magaidi kama ilivyo Hamas!Sheria za vita hazikuwekwa ili zibague mazingira ya kutumika!Unachofanya hapa ni ushabiki tu!
Ndio maana UN imezuia suala la collective punishment,kwamba wewe kisa umeshambuliwa na Hamas,basi kila kilichoko Gaza ni legitimate target!
Alaa kwamba ni sawa tu wayahudi wauwawe ka kuku na wapalestina ila wao wakijipambania au wakiokoa mateka ni collective punishment!
Mbona hizi kelele za collective punishment hazikusemwa kwenye tukio la Oct 7 pale raia wa kigeni walipokuwa legitimate target?
 
Mbona UKRAIN wanapiga kelele wakiuliwa watoto? au kwa sababu 99% ni wakirsto?
Yale matoto ya kipalestina ni magaidi matarajiwa future terrorists and terror breds.

Kama Allah kashindwa kuwaokoa hiyo haituhusu. Mlalamikieni huyo Mungu wenu mmoja hana mshirika kwa kuwa hopeless na kitu anachojua pekee ni kiarabu tu.

Israel don't sort them just kill them all
 
Kuna watu wanataka/wanatamani vita kati ya Hamas/Hezbollah na Israel ipiganwe kiutu.

Sasa najiuliza vita gani ndani yake ina utu? Vita ni vita na bahati mbaya vita nyingi waathirika wakubwa huwa ni wananchi wa kawaida na siyo wanajeshi ambao hufundishwa kupigana vita.

Vita ni mbaya na kwa kawaida huwezi kuwa na utu wakati wa vita.
Ninachojua mini ni kwamba IDF(jeshi)kamili la nchi ya Israel,wanapiga na raia (Hamas) waliochoka kuonewa kwa kunyimwa uhuru wa kujiongoza,kuwa na jeshi kamili,kumiliki na kununua silaha.Hapa ndiyo hayo malalamiko yanajitokeza,maana hao Hamas zaidi ya kutumia silaha za kujitengenezea kienyeji hawana silaha nyingine zozote,kwa nini sasa hao IDF wasitumie tu jeshi la ardhi badala yake wanatumia anga na kuua watoto na wanawake?.
 

Attachments

  • warfareanalysis_1280x720_20240613_125238.mp4
    10.7 MB
  • warfareanalysis_640x352_20240611_122056.mp4
    3.4 MB

View: https://x.com/adham922/status/1801519889875931284?t=DwYdZyEo84g-ELT3tiS8fA&s=19

Hamasi alivyo mteka huyu msichana kwenye camp ya jeshi la Israel wakadai ni civilian.

Sijui kachukuliwa kwenye musical festivals dunia nzima ilipiga kelele oh wamerape wasichana wa kiyahudi, siju wamechinja watoto mpaa yule bwege Biden akasema nimeona picture za watoto waisrael wamechinjwa Inakera sana kumbe yote ni uwongo walio chinjwa ni watoto wa kipalestine na huyo msichana alikuwa mwanajeshi na dalili ni hio hapa picture.

Biden alipo ulizwa bada ya kugundulika hio ilikuwa ni picture za watoto wa kipalestine walio uliwa na Israel, kwanini ulisema watoto wa Israel, akadai Shetanyau ndio alimuambia watoto wa kiyahudi, vipi Presdent wa US uamini story bila kuwa na evidence 😆

Hamasi alienda camp za jeshi tu hakuwauwa civilian, wako aliwateka wazee wakike aliwakuta pia camp ya jeshi zao za kijeshini mama za hao wanajeshi wa Israel ndio alifanya kosa, kuwachukua badaye kawachia bila hata ya kuexchange matekwa.

Leo mnasema oh Palestine wanalia wanalalamika kuliwa watoto na raia ndio walio anzisha vita sawa piganeni na Hamasi, mnawakimbia Hamasi mnaenda piga watoto, wanawake na vizee mnavunja majumba hospital, shule mnasema mnapigana na Hamasi 😄

Ikiwa Hamasi aliteka wanawake ni wanajeshi mkasema civilian, kaingia camp za jeshi mkasema kaenda kwenye Music Festival haha waswahili wanasema njia ya muongo ni fupi sana 😅
 
Hamas wana bunduki na maroketi tu wakati IDF wana uwezo wa kupata silaha zote unazozijua duniani
HAMAS WANA ALLAH AMBAYE NI ZAIDI YA HIZO SILAHA NA WANAUWEZO WA KUPATA USHINDI ULINZI NA KILA KITU KWASABABU WANAMTEGEMEA ALLAH KWA KILA KITU NA ALLAH NI MUWEZA WA YOTE HAKUNA KINACHOMSHINDA. UNAKUMBUKA HATA OCTOBER 7 WALIVYOKUWA WAKIBWEKA ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR. ALLAH IS HOPELESS KABISA.

incharge Malaria 2 Jagina Adiosamigo Mamlukii
 
Wapalestina waache kudai maeneo ya Israel! Waachane na madai ya mji wa Yerusalem! Yerusalemu ni Mji na utaendelea kuwa Mji Mtakatifu wa Israel.
Harafu wakubali bila masharti al aqisa ubomolewe kupisha ujenzi wa Hekalu jipya la Mfalme Suleiman.
Wabaki na Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Yordan.
Wakikubaliana na hayo madai basi watambuliwe kama Taifa sawa sawa na Mataifa mengine.
Tatu waweke silaha chini kabisa,vikundi vya Hamas na vingine vivunjwe.
Hapo Vita imeisha na Amani itapatikana!
Zaidi ya hapo ni mwendo wa Vita mpaka Israel itakapoona hakuna kitisho katika mipaka yake.
 
Sio kwamba nafurahi mkuu. Vita sio sherehe. Soma nyaraka za kuaminika kuhusu VITA na OPERATIONS nyingi ndo utagundua hata wewe ungekuwa BENYAMINI ungefanya nini. Hata hao HAMAS hawakuvamia kambi la jeshi walivamia akina mama na watoto na raia wa kawaida mkuu naomba usisahau hilo. Leo hamas hao hao wakisakwa wanakimbia kwenye migongo ya raia. Aseeee
Exactly myahudi ana doctrine ya jino kwa jino na of course hebu tujilize ile Oct 7 suppose hamas wangefanikiwa kulishinda nguvu jeshi la israel ndo wasingekuua watoto au wanawake? If kwa muda huo tu mfupi waliua 1200 plus suppose wangekaa wiki tu pale kwa chuki mbaya kupindukia kabisa walizo nazo kwa wayahudi wangeua wangapi?
 
Ninachojua mini ni kwamba IDF(jeshi)kamili la nchi ya Israel,wanapiga na raia (Hamas) waliochoka kuonewa kwa kunyimwa uhuru wa kujiongoza,kuwa na jeshi kamili,kumiliki na kununua silaha.Hapa ndiyo hayo malalamiko yanajitokeza,maana hao Hamas zaidi ya kutumia silaha za kujitengenezea kienyeji hawana silaha nyingine zozote,kwa nini sasa hao IDF wasitumie tu jeshi la ardhi badala yake wanatumia anga na kuua watoto na wanawake?.
LAKINI SI WANA ALLAH MUNGU MMOJA HANA MSHIRIKA MUWEZA WA YOTE HAKUNA KINACHOMSHINDA. SI KILA KITU KWAO WANAJINASIBU KWA ALLAH.

ISRAEL UA HAYO MIARABU YOTE
 
Ninachojua mini ni kwamba IDF(jeshi)kamili la nchi ya Israel,wanapiga na raia (Hamas) waliochoka kuonewa kwa kunyimwa uhuru wa kujiongoza,kuwa na jeshi kamili,kumiliki na kununua silaha.Hapa ndiyo hayo malalamiko yanajitokeza,maana hao Hamas zaidi ya kutumia silaha za kujitengenezea kienyeji hawana silaha nyingine zozote,kwa nini sasa hao IDF wasitumie tu jeshi la ardhi badala yake wanatumia anga na kuua watoto na wanawake?.
Kwenye vita ni kuwahiana maana ukizubaa tu unamalizwa hivyo hakunaga kuchaguliana silaha.
Hata we ukivamiwa usiku kitandani na panyarodi mtoto ahavunja mlango au dirisha ulichonacho utakitumia kupambana naye hutokuwa na huruma na kuchekacheka na mvamizi wako eti kisa mtoto eti uamue kumpiga na mto tu au shuka!
 
Yale matoto ya kipalestina ni magaidi matarajiwa future terrorists and terror breds.

Kama Allah kashindwa kuwaokoa hiyo haituhusu. Mlalamikieni huyo Mungu wenu mmoja hana mshirika kwa kuwa hopeless na kitu anachojua pekee ni kiarabu tu.

Israel don't sort them just kill them all
Allah hashindwi. Jiulize bibi yako na babu yako wapi? Wameondoshwa katika dunia hii na Allah
 
Back
Top Bottom