Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Ni mchezo wa paka na panya wanacheza kati ya USA na Hamas,ili USA afanikishe anachokitaka.wakiristo mumesoma lakni akili mnazifisha miguuni mnapoona mambo ya waislam. Unaona miaka 20 sasa Hamas wamenyimwa misaada lakni wanapigana na Isreal hadi leo Marekani anawaangukia Hamas wakubali suluhu. sasa kama Hamas maiti mbona kunatumika mbinu Kubwa kutaka wafanye suluhu? Huoni chadema walivyodharauliwa na CCM hata hawashirikishwi? kwa sababu hawana chochote. wakitaka wataingia katika uchaguzi au hawataki basi. Lkn Hamas wanaombwa wasitishe vita. Ireal alichofanikiwa kuuwa watoto na wanwake
Hapo unasema Israel ni magaidi kama ilivyo Hamas!Sheria za vita hazikuwekwa ili zibague mazingira ya kutumika!Unachofanya hapa ni ushabiki tu!Kwa kuwa hamas walipobaka na kuua waliplan na wala hawakuweka maisha ya raia wa kigeni na kiyahudi reheni! wayahudi wanaamini katika jino kwa jino hivyo there is no way wauwawe tena kwa wingi then wao wapangiwe namna ya kudeal na muuwaji.
muwaambie hamasi wasirudie kuchukua raia kama mateka wakati wamelala na hakuna Vita.Nadhani utu unaozungumziwa ni wanajeshi kwa wanajeshi kupigana na sio kujumuisha raia katika mauaji.
Nimewataja hao ili uone double standards zao wakati huo huo wanajifanya ndio nchi zinazopambania democracy!Democracy only when it suits them!Kwan mara ngapi wameitwa magaidi wauaji makafiri au we unataka lazima west ndo wawaite magaidi? na mpaka wakisema west ndo nafsi yako itasuuzika wasiposema nafsi inakuuma? Kwamba west wakisema ni sauti kubwa au?
Acha unafiki,unaenjoy tu hapo vitoto na wanawake wanavyoshushiwa mabomu,vingine vinavyo survive vinalazimika kufanyiwa upasuaji bila ganzi baada ya Israel kublock misaada hata ya kitabibu!Hii vita ipigwe wanajeshi kwa wanajeshi. Sio mjeshi mmoja anakimbilia nyuma ya akina mama na watoto afu anasubiri kuvizia. Kama ndo maekekezo HAMAS waliyopewa na sponsors wake basi WAYAHUDI NA SPONSORS wake wako sahihi kubutua kila watakachokikuta mbele. Sijahalalisha mauaji ya raia huko gaza ila marehemu babu yangu alipigana vita ya msumbiji na ili ya kagera anakwambia SECTION alizokuwa anaziongoza akizipa task kusonga mbele kule MASAKA anakwambia mkikuta hata kitoto au kikongwe kinawapa uzibe pigien mabuti choma singe hadi kife SAVE BULLETS. ASEEEE VITA NI VITA MURAAAAAA.
BUT I FEEL SO SAD FOR GAZA PEOPLE
Hamas wanaomba wapigwe vizuri.Kuna watu wanataka/wanatamani vita kati ya Hamas/Hezbollah na Israel ipiganwe kiutu.
Sasa najiuliza vita gani ndani yake ina utu? Vita ni vita na bahati mbaya vita nyingi waathirika wakubwa huwa ni wananchi wa kawaida na siyo wanajeshi ambao hufundishwa kupigana vita.
Vita ni mbaya na kwa kawaida huwezi kuwa na utu wakati wa vita.
Akili ndogo sana hii,yaani ndogo kweli kweli!Mbona UKRAIN wanapiga kelele wakiuliwa watoto? au kwa sababu 99% ni wakirsto?
Sio kwamba nafurahi mkuu. Vita sio sherehe. Soma nyaraka za kuaminika kuhusu VITA na OPERATIONS nyingi ndo utagundua hata wewe ungekuwa BENYAMINI ungefanya nini. Hata hao HAMAS hawakuvamia kambi la jeshi walivamia akina mama na watoto na raia wa kawaida mkuu naomba usisahau hilo. Leo hamas hao hao wakisakwa wanakimbia kwenye migongo ya raia. AseeeeAcha unafiki,unaenjoy tu hapo vitoto na wanawake wanavyoshushiwa mabomu,vingine vinavyo survive vinalazimika kufanyiwa upasuaji bila ganzi baada ya Israel kublock misaada hata ya kitabibu!
Hiyo ndiyo furaha yenu,shame!
Alaa kwamba ni sawa tu wayahudi wauwawe ka kuku na wapalestina ila wao wakijipambania au wakiokoa mateka ni collective punishment!Hapo unasema Israel ni magaidi kama ilivyo Hamas!Sheria za vita hazikuwekwa ili zibague mazingira ya kutumika!Unachofanya hapa ni ushabiki tu!
Ndio maana UN imezuia suala la collective punishment,kwamba wewe kisa umeshambuliwa na Hamas,basi kila kilichoko Gaza ni legitimate target!
Yale matoto ya kipalestina ni magaidi matarajiwa future terrorists and terror breds.Mbona UKRAIN wanapiga kelele wakiuliwa watoto? au kwa sababu 99% ni wakirsto?
Ninachojua mini ni kwamba IDF(jeshi)kamili la nchi ya Israel,wanapiga na raia (Hamas) waliochoka kuonewa kwa kunyimwa uhuru wa kujiongoza,kuwa na jeshi kamili,kumiliki na kununua silaha.Hapa ndiyo hayo malalamiko yanajitokeza,maana hao Hamas zaidi ya kutumia silaha za kujitengenezea kienyeji hawana silaha nyingine zozote,kwa nini sasa hao IDF wasitumie tu jeshi la ardhi badala yake wanatumia anga na kuua watoto na wanawake?.Kuna watu wanataka/wanatamani vita kati ya Hamas/Hezbollah na Israel ipiganwe kiutu.
Sasa najiuliza vita gani ndani yake ina utu? Vita ni vita na bahati mbaya vita nyingi waathirika wakubwa huwa ni wananchi wa kawaida na siyo wanajeshi ambao hufundishwa kupigana vita.
Vita ni mbaya na kwa kawaida huwezi kuwa na utu wakati wa vita.
HAMAS WANA ALLAH AMBAYE NI ZAIDI YA HIZO SILAHA NA WANAUWEZO WA KUPATA USHINDI ULINZI NA KILA KITU KWASABABU WANAMTEGEMEA ALLAH KWA KILA KITU NA ALLAH NI MUWEZA WA YOTE HAKUNA KINACHOMSHINDA. UNAKUMBUKA HATA OCTOBER 7 WALIVYOKUWA WAKIBWEKA ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR. ALLAH IS HOPELESS KABISA.Hamas wana bunduki na maroketi tu wakati IDF wana uwezo wa kupata silaha zote unazozijua duniani
Exactly myahudi ana doctrine ya jino kwa jino na of course hebu tujilize ile Oct 7 suppose hamas wangefanikiwa kulishinda nguvu jeshi la israel ndo wasingekuua watoto au wanawake? If kwa muda huo tu mfupi waliua 1200 plus suppose wangekaa wiki tu pale kwa chuki mbaya kupindukia kabisa walizo nazo kwa wayahudi wangeua wangapi?Sio kwamba nafurahi mkuu. Vita sio sherehe. Soma nyaraka za kuaminika kuhusu VITA na OPERATIONS nyingi ndo utagundua hata wewe ungekuwa BENYAMINI ungefanya nini. Hata hao HAMAS hawakuvamia kambi la jeshi walivamia akina mama na watoto na raia wa kawaida mkuu naomba usisahau hilo. Leo hamas hao hao wakisakwa wanakimbia kwenye migongo ya raia. Aseeee
LAKINI SI WANA ALLAH MUNGU MMOJA HANA MSHIRIKA MUWEZA WA YOTE HAKUNA KINACHOMSHINDA. SI KILA KITU KWAO WANAJINASIBU KWA ALLAH.Ninachojua mini ni kwamba IDF(jeshi)kamili la nchi ya Israel,wanapiga na raia (Hamas) waliochoka kuonewa kwa kunyimwa uhuru wa kujiongoza,kuwa na jeshi kamili,kumiliki na kununua silaha.Hapa ndiyo hayo malalamiko yanajitokeza,maana hao Hamas zaidi ya kutumia silaha za kujitengenezea kienyeji hawana silaha nyingine zozote,kwa nini sasa hao IDF wasitumie tu jeshi la ardhi badala yake wanatumia anga na kuua watoto na wanawake?.
Kwenye vita ni kuwahiana maana ukizubaa tu unamalizwa hivyo hakunaga kuchaguliana silaha.Ninachojua mini ni kwamba IDF(jeshi)kamili la nchi ya Israel,wanapiga na raia (Hamas) waliochoka kuonewa kwa kunyimwa uhuru wa kujiongoza,kuwa na jeshi kamili,kumiliki na kununua silaha.Hapa ndiyo hayo malalamiko yanajitokeza,maana hao Hamas zaidi ya kutumia silaha za kujitengenezea kienyeji hawana silaha nyingine zozote,kwa nini sasa hao IDF wasitumie tu jeshi la ardhi badala yake wanatumia anga na kuua watoto na wanawake?.
Allah hashindwi. Jiulize bibi yako na babu yako wapi? Wameondoshwa katika dunia hii na AllahYale matoto ya kipalestina ni magaidi matarajiwa future terrorists and terror breds.
Kama Allah kashindwa kuwaokoa hiyo haituhusu. Mlalamikieni huyo Mungu wenu mmoja hana mshirika kwa kuwa hopeless na kitu anachojua pekee ni kiarabu tu.
Israel don't sort them just kill them all