Ili vita ya Hamas -Israel iwe ya kiutu inatakiwa iweje??

Kwa kuwa hamas walipobaka na kuua waliplan na wala hawakuweka maisha ya raia wa kigeni na kiyahudi reheni! wayahudi wanaamini katika jino kwa jino hivyo there is no way wauwawe tena kwa wingi then wao wapangiwe namna ya kudeal na muuwaji.

Kwa kuwa hamas walipobaka na kuua waliplan na wala hawakuweka maisha ya raia wa kigeni na kiyahudi reheni! wayahudi wanaamini katika jino kwa jino hivyo there is no way wauwawe tena kwa wingi then wao wapangiwe namna ya kudeal na muuwaji.
Huku ndiyo kubaka watoto na wanawake siyo?Hamas waliwapiga wanajeshi na ushahidi nakuwekea hapo chini.
 

Attachments

  • Wadadbouchra_480x854_20240602_164016.mp4
    7.3 MB
Hivi jamaa huwa anapata usingizi kweli ..naona siku hizi ni kama macho yameanza kuiva kama aavuta kurt
 
Nimewataja hao ili uone double standards zao wakati huo huo wanajifanya ndio nchi zinazopambania democracy!Democracy only when it suits them!
They called themselves civilized community of western value.
 
Hamas walilaaniwa na Dunia kwa kitendo cha oct 7,lakini pia hata UN secretary alisema "The attack on oct 7th didnt happen in a vacuum"!Sijui unaelewa maana ya kauli hiyo!
 
Hamas walilaaniwa na Dunia kwa kitendo cha oct 7,lakini pia hata UN secretary alisema "The attack on oct 7th didnt happen in a vacuum"!Sijui unaelewa maana ya kauli hiyo!
We nawe kwa hiki ulichoandika ushajiona unauelewaaa mpaana 🀣 kwamba nyie pro palestine huwa mnadai palestinian walinyang'anywa ardhi yao (ambayo ni uwongo wa mchana kewupee) kwa hiyo hiyo inajustfy Oct 7πŸ˜‚
πŸ˜†
Pro palestina kwa vibweka hamjambo
 
umeondoka kwenye hoja unaleta porojo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…