Ili waolewe, Wanawake nchini Iran watakiwa kuwa na vyeti kuthibitisha kuwa mabikira

Ili waolewe, Wanawake nchini Iran watakiwa kuwa na vyeti kuthibitisha kuwa mabikira

Ushoga ulianzia kwenye Jamii zilizokuwa na Sheria kali ikiwemo adhabu ya kifo kwa asiye bikira. Zilikuwepo Jamii mwanamke ni lazima aolewe bikira kama zawadi kwa mumewe siku ya Harusi yao,ikibainika si bikira binti adhabu yake ni kukatwa kidole kimoja cha mwisho na mwanaume kukatwa kichwa au kusalimika wote kwa adhabu hizo walilazimishwa kuoana.Wanawake walikubali walilazimika kwenda kinyume na maumbile Ili kulinda bikira zao. Hichi kitendo ndicho asili ya tabia ya ushoga kwa wanadamu.
 
Kwenye orodha ya ustaarabu wa nchi hii inatakiwa kuwa kule chini kabisa! Na kwenye orodha ya nchi zinazowanyanyasa wanawake inatakiwa kuwa kule juu kabisa.
 
Nchini Iran, ubikira kabla ya ndoa ni muhimu kwa wasichana wengi na familia zao. Wakati mwingine wanaume hudai cheti cha ubikira, jambo ambalo Shirika la Afya Duniani (WHO) linaona ni kinyume na haki za binadamu.

"Ulinidanganya nikuoe kwa sababu wewe si bikra. Hakuna mtu ambaye angekuoa ikiwa angejua ukweli."

Hivi ndivyo mume wa Maryam alivyomwambia baada ya kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza.

Alijaribu kumhakikishia kwamba, ingawa hakutoka damu, hakuwahi kufanya ngono hapo awali. Lakini hakumwamini, akamwomba apate cheti cha ubikira.

Hili si jambo la kawaida nchini Iran. Baada ya kuchumbiwa, wanawake wengi huenda kwa daktari na kupata kipimo kinachothibitisha kuwa hawajawahi kufanya ngono.

Walakini, kulingana na WHO, upimaji wa ubikira hauna sifa za kisayansi.

Cheti cha Maryam kilisema kwamba aina yake ya kizinda ilikuwa "ya elastic". Hii ina maana kwamba anaweza asitoke damu baada ya kujamiiana kupenya.

"Iliniumiza kiburi. Sikufanya chochote kibaya, lakini mume wangu aliendelea kunitukana," alisema. "Sikuweza kuinywa tena, kwa hivyo nilichukua vidonge na kujaribu kujiua."

Baada ya muda, alipelekwa hospitalini na kunusurika.

"Sitasahau siku hizo za giza. Nilipoteza kilo 20 wakati huo."

-----------------

In Iran, virginity before marriage is important for many girls and their families. Sometimes men demand a virginity certificate - a practice that the World Health Organization (WHO) deems to be against human rights. But in the past year, more and more people have been campaigning against it.

"You tricked me into marrying you because you're not a virgin. Nobody would marry you if they knew the truth."

This is what Maryam's husband said to her after they had sex for the first time.

She tried to reassure him that, even though she didn't bleed, she had never had intercourse before. But he didn't believe her, and asked her to get a virginity certificate.

This is not uncommon in Iran. After getting engaged, many women go to a doctor and get a test that proves they've never had sex.

However, according to the WHO, virginity testing has no scientific merit.

Maryam's certificate stated that her hymen type was "elastic". This means she might not bleed after penetrative sex.

"It hurt my pride. I didn't do anything wrong, but my husband kept insulting me," she said. "I couldn't take it anymore, so I took some pills and tried to kill myself."

Just in time, she was taken to a hospital and survived.

"I will never forget those dark days. I lost 20kg [3 stone] during that time."

BBC
Huu utaratibu uje na huku kwetu Buza
 
Huu ni uzuzu unaoutetea. Nyumban kwako au kwenu hua mnawapima ubikira dada zako au watoto wako wa kike. Na hufanyi ni kwa nini hufanyi.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Nisha toa jibu la msingi kabla naona unatumia mihemko tu hapa,kila nchi na jamii fulani zina tamaduni zake jamii yangu haina utamaduni wa kupima wanawake bikra hivyo siwezi ona jamii fulani ni zuzu kwa kuwa na tamaduni hiyo eti sababu kwetu hatufanyi hivyo hapana.
 
moja ya tamaduni za hovyo hasa ukikutana na mwanaume mpumbavu aliyeshikilia tamaduni kandamizi kwa jamii yake (wanawake).

wanaume tuna takiwa kuwa sehemu ya mabadiliko kwa uhalisia sio kwa kuimba kama wimbo alafu vitendo sifuri...

.......Hili kwangu ni swala la tamaduni sio dini... kama ni dini basi ni tatizo kubwa sana huko kwa wairan na waislam...
Oya umeanza lini kua mwanaume?
 
Hii ikija bongo watoto wa chini ya darasa la 4 wengi wanaweza kuibuka kidedea, huku wakiwagalagaza mademu 9O% kuanzia la 5 hadi walioko chuo.
 
Technically mtu anayepinga binti kulinda bikra yake hadi siku ya Ndoa ni wazi kwanza anazionyesha mbingu kidole cha kati, anasema shetani yupo sahihi kwa kushawishi uzinzi. Lakini zaidi anajaribu kutuambia kuwa umalaya, uasherati, uzinifu na ngono zembe ni njia sahihi ya kuishi.

Kwann upinge kitu kama hicho nyuma ya pazia una ajenda gani?!

Kizazi cha sasa m'mepotoka sana kiasi kwamba mpo tayari kutetea maovu na uasi wa MUNGU kuliko kutetea mema.
 
moja ya tamaduni za hovyo hasa ukikutana na mwanaume mpumbavu aliyeshikilia tamaduni kandamizi kwa jamii yake (wanawake).

wanaume tuna takiwa kuwa sehemu ya mabadiliko kwa uhalisia sio kwa kuimba kama wimbo alafu vitendo sifuri...

.......Hili kwangu ni swala la tamaduni sio dini... kama ni dini basi ni tatizo kubwa sana huko kwa wairan na waislam...
Sijui kama umesoma ulichokiandika. Yaani ni kama mtu ameulizwa kwann unaiba anajibu, " serikali iweke miundo mbinu mizuri ili kusiwe na foleni mjini". Sijui umeandika nini hebu soma tena halafu relate na topic uone umetoa hoja gani.
 
Ujinga mtupu,zitatengenezwa feki ilimradi mtu aolewe,kwanini tabia isiwe kigezo kikuu,mtu analazimisha damu zitoke hajui kuwa sio mabikra wote hutoka damu.
Au inaweza ikawa ni njia nzuri ya kuanza kuwapa mabinti na familia siku zijazo kuwa ni muhimu kulinda bikra yako maana ndipo utu wa mwanamke ulipo hapo.

Hawa waliotolewa wacha ipite ila sio wajao. Mabinti wengi wa sasa wanajitia mikosi kwa kulala na wanaume ambao hawatakuja kufanya nao maisha ya ndoa.

Utaniuliza swali, yeye atajuaje kuwa huyu ni mwanaume sahihi kwake?!

Jibu ni simple. Turejee mila na desturi. Kuna umuhimu wa kurejea taratibu za zamani ambapo ukimpenda binti unakwenda kuongea na wazee katika familia yako wakusaidie kuja kuposa binti katika familia yao. Badala ya kukutana vichochoroni, mnalianzisha, mnakulanaaaaaaa weeeeeee hadi na mimba mnatoa. Halafu mkichokana mnaachana, mchezo unaendelea kwa watu kama sita tofauti then ndipo binti anaamua kusema sasa niwe serious kuolewa.

Na kuolewa yenyewe anaenda kujiwekesha ujauzito halafu anafosi jamaa aoe. Haya sio maisha na sio mila zetu waafrika.


Ndio maana ndoa imekuwa changamoto sana miaka hii.
 
Back
Top Bottom