Ili waolewe, Wanawake nchini Iran watakiwa kuwa na vyeti kuthibitisha kuwa mabikira

Ili waolewe, Wanawake nchini Iran watakiwa kuwa na vyeti kuthibitisha kuwa mabikira

Kudai ubikira sana ni dalili ya jamii kuwa nyuma kimaendeleo.

Jamii karibu zote zinazosisistiza sana ubikira ziko nyuma kimaendeleo
Hayo ni maoni yako. Kwahiyo maendeleo ni pamoja kuwa na mabinti wanaofanya ngono zembe nje ya mahusiano rasmi?! Umeshawahi jiuliza gharama za kijamii, kisiasa, kiuchumi za kuwa na mahusiano kiholela nje ya ndoa?!

Tenga muda wa kujifunza jambo usimsaidie shetani kuimarisha makao yake hapa Duniani. Kama unaona ni halali acha kusali, acha kwenda nyumba za ibada.
 
Majuzi tu vyombo vya habari vilitangaza kwamba watoto 800 wa kike wenye umri wa miaka kati ya 8-13 wamegundulika kuwa na mimba mkoani Morogoro......!!!

Cha kushangaza ni kwamba wanaowatia mimba hao watoto ni wenzao wa kiume ambao ubikra wao haupimwi.

Tatizo kubwa la wanaume wa kiarabu ni kwamba wana wivu sana kuliko wanaume wa jamii yoyote duniani ndio chanzo cha wao kuwa na tabia za kuchunga wanawake kama ng'ombe [emoji202] na pia kudai eti mabinti wahifadhi ubikra hadi pale wanapoolewa.

Kwenye mataifa mengi ya kiislamu na hasa uarabuni mabinti wengi hufanya ngono kinyume na maumbile ili kulinda ubikra wao hadi pale anapokuja kuolewa na wengine hufanyiwa upasuaji ili kurejeshewa ubikra ndipo aolewe. Yaani tamaduni zingine ni shida sana ila mabinti wa kiafrika hili zoezi hawaliwezi na kama ni dini wako radhi kuachana nayo.
Nenda marekani pale na uingereza katazame aina ya wanawake walio nao na tabia zao.

Hapa Tanzania unaona sasa tunachangomoto ya mabinti kugeuza miili mtaji wa biashara, kuzaa hovyo nje ya ndoa, kuzaa na wanaume tofauti, maambukizi ya magonjwa ya zinaa miaka hii yamekuwa juu kuliko wakati wowote kwenye jamii.

Haya yote ni matokeo ya kutofuata misingi ikiwamo kuzingatia kutunza mwili hadi Ndoa ifungwe lakini pia kuheshimu maagizo ya kiimani na kimila ya kutoingiliwa kimwili hadi pale mume halali atakapomchumbia binti na kiolewa.

Hao wanaume wangepata wapi watu wa kuchezea kama wanawake wangekuwa wanajitunza hadi Ndoa.

Usije ukaleta issues za kubakana maana nitakuuliza unatamwimu ngapi za ubakaji kwamba kwa siku kati ya mabinti 100 basi 80 hubakwa?!
 
Nchini Iran, ubikira kabla ya ndoa ni muhimu kwa wasichana wengi na familia zao. Wakati mwingine wanaume hudai cheti cha ubikira, jambo ambalo Shirika la Afya Duniani (WHO) linaona ni kinyume na haki za binadamu.

"Ulinidanganya nikuoe kwa sababu wewe si bikra. Hakuna mtu ambaye angekuoa ikiwa angejua ukweli."

Hivi ndivyo mume wa Maryam alivyomwambia baada ya kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza.
Wanaanza kuuziana mbuzi kwenye gunia
 
Huu ni uzuzu unaoutetea. Nyumban kwako au kwenu hua mnawapima ubikira dada zako au watoto wako wa kike. Na hufanyi ni kwa nini hufanyi.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Watu wagumu kuelewa, umeambiwa heshim tamaduni za wengine hata kama hukubaliani Nazo. Umepewa mfano hao wenye LBGTQ, mataifa mengi hayaungi mkono lakini wamewachia mambo Yao.
 
Hayo ni maoni yako. Kwahiyo maendeleo ni pamoja kuwa na mabinti wanaofanya ngono zembe nje ya mahusiano rasmi?! Umeshawahi jiuliza gharama za kijamii, kisiasa, kiuchumi za kuwa na mahusiano kiholela nje ya ndoa?!

Tenga muda wa kujifunza jambo usimsaidie shetani kuimarisha makao yake hapa Duniani. Kama unaona ni halali acha kusali, acha kwenda nyumba za ibada.
Uyo haamini uwepo wa "Mungu"
Bila kuigusa Imani yake , je anafrahishwa na extreme, yangono kwa watoto wakike ambao hawajaolewa?
 
Wazungu wanasema stay virgin for a polygamist 😀😀😀
Wanawake hawana jinsi hawajakatazwa kufanya ila muoaji akitaka cheti cha ubk huna imetokaa hiyo kwahio wachague kusuka au kunyoa 😀😀😀
 
moja ya tamaduni za hovyo hasa ukikutana na mwanaume mpumbavu aliyeshikilia tamaduni kandamizi kwa jamii yake (wanawake).

wanaume tuna takiwa kuwa sehemu ya mabadiliko kwa uhalisia sio kwa kuimba kama wimbo alafu vitendo sifuri...

.......Hili kwangu ni swala la tamaduni sio dini... kama ni dini basi ni tatizo kubwa sana huko kwa wairan na waislam...
Kwa nini isiwe dini? Ni dini gani inayoruhusu kufanya ngono kabla ya ndoa?
 
Hayo ni maoni yako. Kwahiyo maendeleo ni pamoja kuwa na mabinti wanaofanya ngono zembe nje ya mahusiano rasmi?! Umeshawahi jiuliza gharama za kijamii, kisiasa, kiuchumi za kuwa na mahusiano kiholela nje ya ndoa?!

Tenga muda wa kujifunza jambo usimsaidie shetani kuimarisha makao yake hapa Duniani. Kama unaona ni halali acha kusali, acha kwenda nyumba za ibada.
Watu wote wanaopinga hii mila hawana hoja za msingi.

Inaonekana hiki ni kitu kizuri, bila kujali dini wala kabila.
 
Au inaweza ikawa ni njia nzuri ya kuanza kuwapa mabinti na familia siku zijazo kuwa ni muhimu kulinda bikra yako maana ndipo utu wa mwanamke ulipo hapo.

Hawa waliotolewa wacha ipite ila sio wajao. Mabinti wengi wa sasa wanajitia mikosi kwa kulala na wanaume ambao hawatakuja kufanya nao maisha ya ndoa.

Utaniuliza swali, yeye atajuaje kuwa huyu ni mwanaume sahihi kwake?!

Jibu ni simple. Turejee mila na desturi. Kuna umuhimu wa kurejea taratibu za zamani ambapo ukimpenda binti unakwenda kuongea na wazee katika familia yako wakusaidie kuja kuposa binti katika familia yao. Badala ya kukutana vichochoroni, mnalianzisha, mnakulanaaaaaaa weeeeeee hadi na mimba mnatoa. Halafu mkichokana mnaachana, mchezo unaendelea kwa watu kama sita tofauti then ndipo binti anaamua kusema sasa niwe serious kuolewa.

Na kuolewa yenyewe anaenda kujiwekesha ujauzito halafu anafosi jamaa aoe. Haya sio maisha na sio mila zetu waafrika.


Ndio maana ndoa imekuwa changamoto sana miaka hii.
Big up sana
 
Uyo haamini uwepo wa "Mungu"
Bila kuigusa Imani yake , je anafrahishwa na extreme, yangono kwa watoto wakike ambao hawajaolewa?
Namshangaa sana aisee. Anatetea upumbavu as if hajui madhara yake.
 
Watu wote wanaopinga hii mila hawana hoja za msingi.

Inaonekana hiki ni kitu kizuri, bila kujali dini wala kabila.
Haya ni matatizo ya kuzaa zaa hovyo nje ya ndoa. Watoto wanakuja kuwa watu wazima wapumbavu wasio na akili.

Sasa hawa ukiwachunguza utagundua ni vijana kutoka katIka familia za wazazi waliotengana au wazazi ambao walizaa nje ya ndoa na hawakuwahi ishi kama familia.

Matoto yao huwa yanakuwa na akili za ajabu ajabu sana kama hizi. Kweli kuna haja ya kuzishika zile sheria za amri kumi za MUNGU.
 
Dini hii inayo ruhusu kuua ni hatari kwa ustawi wa jamii
Kwa haya maasi wacha waue tu aiseee. Nilikuwa simuelewi Osama now naelewa kwann alikuwa anawachukia US na akawa tayari kuwatoa kafara kibabe vile.
 
Back
Top Bottom