Ili waolewe, Wanawake nchini Iran watakiwa kuwa na vyeti kuthibitisha kuwa mabikira

Ili waolewe, Wanawake nchini Iran watakiwa kuwa na vyeti kuthibitisha kuwa mabikira

Nchini Iran, ubikira kabla ya ndoa ni muhimu kwa wasichana wengi na familia zao. Wakati mwingine wanaume hudai cheti cha ubikira, jambo ambalo Shirika la Afya Duniani (WHO) linaona ni kinyume na haki za binadamu.

"Ulinidanganya nikuoe kwa sababu wewe si bikra. Hakuna mtu ambaye angekuoa ikiwa angejua ukweli."

Hivi ndivyo mume wa Maryam alivyomwambia baada ya kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza.

Alijaribu kumhakikishia kwamba, ingawa hakutoka damu, hakuwahi kufanya ngono hapo awali. Lakini hakumwamini, akamwomba apate cheti cha ubikira.

Hili si jambo la kawaida nchini Iran. Baada ya kuchumbiwa, wanawake wengi huenda kwa daktari na kupata kipimo kinachothibitisha kuwa hawajawahi kufanya ngono.

Walakini, kulingana na WHO, upimaji wa ubikira hauna sifa za kisayansi.

Cheti cha Maryam kilisema kwamba aina yake ya kizinda ilikuwa "ya elastic". Hii ina maana kwamba anaweza asitoke damu baada ya kujamiiana kupenya.

"Iliniumiza kiburi. Sikufanya chochote kibaya, lakini mume wangu aliendelea kunitukana," alisema. "Sikuweza kuinywa tena, kwa hivyo nilichukua vidonge na kujaribu kujiua."

Baada ya muda, alipelekwa hospitalini na kunusurika.

"Sitasahau siku hizo za giza. Nilipoteza kilo 20 wakati huo."

-----------------

In Iran, virginity before marriage is important for many girls and their families. Sometimes men demand a virginity certificate - a practice that the World Health Organization (WHO) deems to be against human rights. But in the past year, more and more people have been campaigning against it.

"You tricked me into marrying you because you're not a virgin. Nobody would marry you if they knew the truth."

This is what Maryam's husband said to her after they had sex for the first time.

She tried to reassure him that, even though she didn't bleed, she had never had intercourse before. But he didn't believe her, and asked her to get a virginity certificate.

This is not uncommon in Iran. After getting engaged, many women go to a doctor and get a test that proves they've never had sex.

However, according to the WHO, virginity testing has no scientific merit.

Maryam's certificate stated that her hymen type was "elastic". This means she might not bleed after penetrative sex.

"It hurt my pride. I didn't do anything wrong, but my husband kept insulting me," she said. "I couldn't take it anymore, so I took some pills and tried to kill myself."

Just in time, she was taken to a hospital and survived.

"I will never forget those dark days. I lost 20kg [3 stone] during that time."

BBC

Ije na huku bongo
 
Kwa haya maasi wacha waue tu aiseee. Nilikuwa simuelewi Osama now naelewa kwann alikuwa anawachukia US na akawa tayari kuwatoa kafara kibabe vile.
Kwenye kuua hapo hapana, kama kilichotokea kwa Rushdie, ni moja ya mapungufu makubwa katika uislamu.
 
Kuoa mwanamke bikra ina raha yake sana unakuwa umejiepusha na mambo mengi sana.
 
Unashangaa Iran,nenda Uzbekistan,uturuki n.k huko mtu mwingine anafikisha hadi miaka 40 bikra kisa hakuoa/hakuolewa,,,sio wote wanafata umagharib watu hawataki kuzini!!!
 
Namshangaa sana aisee. Anatetea upumbavu as if hajui madhara yake.
Tatizo letu tunaishi kwenye ulimwengu ambao unaangalia madhaifu ya wanawake tu na umehalalishwa katka jamii zet zote. Kwenye swala la ngono wanaumme ndo tunaongoza kwa kufanya ngono bila kujali unafanya na nan na na kwa kiwango Cha 5G. Lakn jamii ilishahalalisha Hilo na halina shida..

Lakn wakifanya wa kike ni kosa la jinai. Na sheria inadili na waliotolewa bikra ila waliowatoa bikra sheria haiwahisu. Na bahati mbaya wanaowatoa bikra ndo hao hao wanawahukumu waliotolewa bikra..

Swali fikirishi wanaumme tukiacha kufungua zipu zetu mabikira si watakuwepo wengi sana. Na kama hatuwezi kujizuia kufungua zipu zetu mbona tunawahukumu waliotolewa bikra ili hali sisi ndo timewatoa bikra zao.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Jingine kwenye hili ambalo ni ukweli mchungu wa wanaotetea hili. Nani hapa jukwaan atakubali tuanzishe kuwapima dada zetu wa tumbo Moja na watoto wetu wa kike wa kuwazaa kuwa ni mabikira...

Jamii tunayoishi nayo itakuchukuliaje kama baba wa watoto wao na kaka wa wadada. Itakua rahisi hivyo kuingilia privacy ya mtu kiasi hicho

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume hana hicho kipimo. Na mwanaume anatakiwa kujizuia asione miili ya wanawake kwa wingi ili amuone mkewe kuwa bora zaidi.
Kipimo kinachompima mwanamke tu bila kumpima mwanamme hakina uwiano na ni cha kibaguzi.
 
Hayo ni maoni yako. Kwahiyo maendeleo ni pamoja kuwa na mabinti wanaofanya ngono zembe nje ya mahusiano rasmi?! Umeshawahi jiuliza gharama za kijamii, kisiasa, kiuchumi za kuwa na mahusiano kiholela nje ya ndoa?!

Tenga muda wa kujifunza jambo usimsaidie shetani kuimarisha makao yake hapa Duniani. Kama unaona ni halali acha kusali, acha kwenda nyumba za ibada.
Kwanza kabisa, jua kusoma kw aufahamu.

Kusema kwamba kuendekeza sana kupima bikira ni dalili ya jamii kukosa maendeleo haina maana kwamba maendeleo ni pamoja na kuwa na mabinti wanaofanya ngono zembe nje ya mahusiano rasmi.

Huko Afghanistan wanakojifanya wanapima sana bikira watoto wa kike wanaongoza kwa kufira watoto wadogo wa kiume.

Nakwambia hivi, ukiangalia jamii zinazoendekeza mambo ya kupima bikira kwa watoto wa kike na jamii ambazo hajijajali sana habari hizo, utakuta kwamba jamii zinazoendekeza mambo hayo, kama hao Wataliban wa Afghanstan, au Wasomali ni jamii ambazo hazina maendeleo, zinaendekeza ujinga. Huwezi kuzilinganisha na jamii kama Norway na Finland ambako hawajali sana kupima watoto wa kike bikira.

This is a fact.
 
Ukweli ulio mchungu.
Baadaye huwa inauma Sana Kwa wanaume kuoa mwanamke asiye bikra.
 
Back
Top Bottom