Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ni kweli hajui kitu.Hujui kitu..!! Akishinda mechi ya kesho na Al Hilal, atahitaji ushindi wa aina yoyote kwa MCA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hajui kitu.Hujui kitu..!! Akishinda mechi ya kesho na Al Hilal, atahitaji ushindi wa aina yoyote kwa MCA
Unajisikiaje huko uliko na huu ushindi wa Yanga?Hashindi hata kwa mbeleko ya refa
Huyo jamaa haezi rudi tena.Tunza hii uje ushangazwe kesho
COLTAN a.k.a makalyukulyetaHABARI.
Ili yanga afuzu game la mwisho inatakiwa ashinde 3 goals game ya Mwisho na Mc Alger.
AL hilal mechi 4 point 10
Mc alger mechi 5 point 8
Yanga mechi 4 point 4
Tp mazembe mechi 5 point 2.View attachment 3198916
Hili swali lilikuwa ni la kitoto, na ndiyo maana sikulijibu.Kwa hiyo yanga asipo fuzu ni kwa sababu hajaamuwa?
Endelea kuota shida kubwa tunaongozwa na hisia za ushabiki wa Simba na Yanga tunasahau kuupa heshima mpira yaani mechi haijachezwa ila tayari tuna matokeo🤣Hashindi hata kwa mbeleko ya refa
Upo? Unatesekea wapi?Gari kuwaka ndio nn? Hilal gari imezima? Ushindi games 3 na draw moja unamdharau?
We shule uliishia form 2!?HABARI.
Ili yanga afuzu game la mwisho inatakiwa ashinde 3 goals game ya Mwisho na Mc Alger.
AL hilal mechi 4 point 10
Mc alger mechi 5 point 8
Yanga mechi 4 point 4
Tp mazembe mechi 5 point 2.View attachment 3198916
Ikawaje sasa.Acha kuongea kishabiki mkuu. Game ya kesho ni ngumu na ni ngumu kwa Yanga kwakuwa wana pressure ya matokeo. To me draw will be a fair results.
Umeongea kweli Mkuu tulio wengi mechi tunazicheza na kuzitolea maamuzi kiushabiki na si vinginevyo.Endelea kuota shida kubwa tunaongozwa na hisia za ushabiki wa Simba na Yanga tunasahau kuupa heshima mpira yaani mechi haijachezwa ila tayari tuna matokeo🤣
Shem huyo jamaa akikujibu utanitag.Ikawaje sasa.
Namsubiri shem.Shem huyo jamaa akikujibu utanitag.
Ingekuwa huku kwetu uswahilini huyo Shemeji yangu Mshana leo hii tungempa maneno ya kukera mpaka basi. 😂😂😂Unajisikiaje huko uliko na huu ushindi wa Yanga?
💪🏾Al hilal 0 - 0 Yanga (Sare)
Yanga 3 - 0 MC Alger
Yanga to Quarter Finals
TUNAMSHUKURU SANA IBENGE KWA KUTUPANGIA MAJERUHI NA PIA TUMAMSHUKURKU INJINIA NA GSM KWA KUTOA BAHASHA KWA WAPINZANI WETU ILI TUPATE USHINDI.We Konda wa bajaj, unajisikiaje huko uliko na huu ushindi wa yanga?