technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kilichomkuta Simba, alipigiwa pasi 1000 na kupokea kichapo kutoka kwa Fiston Mayele. Leo watu wale wale wanajipa moyo kwamba Simba atamfunga Yanga? Nasemwa hivi Simba kwa sasa haiwezi na haitoweza kuifunga Yanga
Simba kichapo kiko pale pale, pigeni propaganda ila ikifika Jumapili msianze visingizio vya Matola sijui Mgunda kakosea kupanga timu! Simba bado ni mbovu mbovu hasa kwa Yanga!
Nimekaa pale.😀😀
Simba kichapo kiko pale pale, pigeni propaganda ila ikifika Jumapili msianze visingizio vya Matola sijui Mgunda kakosea kupanga timu! Simba bado ni mbovu mbovu hasa kwa Yanga!
Nimekaa pale.😀😀