Alilipa faini bila conviction?Mkuu sijasema hakubaliki...binafs sina chuki nae hata kidgo.
Isipokuwa makandokando yake ya uhujumu Uchumi kwa mjibu wa Mwenyekiti anaepambana na mafisadi huyo Bwana hakufaa kupewa kijiti..sheria inamruhusu kugombea koz hukumu yake haikutoka isipokuwa alilipa faini ya bilioni 1.5 means alikubali kosa
Meko hajawahi kujielewa alikuja na lugumi,mpka leo kamshindwa kaamua kunyuti...huyo deo ni jinga tu utajiri wote huo ukasubirie posho za bungeniKama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.
Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.
Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.
Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.
Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.
Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
Deo Mwanyika is among them......Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]hawa watu wawili
Afisa kificho na afisa kipenyo ukifanikiwa kuona list yao kuna watu ukikutana nao unaweza kuwakimbia ..hata huko upinzani wamejazana
Atawekewa mapingamizina kanuni za uchaguzi hazimruhusu kugombea kwa kuwa miaka mitano haijapita
Ukilipa ukiomba msamaha haiondoi kuwa ulikutwa na hatia, Sana unathibitisha kufanya kosa, kukili kosa nikuthibitisha kufanya kosa hakuondoi hukumu ndomana alilipa,Zinamhurusu kwa kuwa aliingia makubaliano na DPP hivo hakuhukumiwa isipokuwa alilipa bilioni 1.5 kwanza
Kwani waimbapo "... ni ile ileee..." huwa hatuelewi?Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.
Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.
Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.
Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.
Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.
Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
Duuu jamaa anapenda wanaomsifia sana au wanaowatukana wapinzani.Hii akili ya CCM ilivyotumika kukata majina mpaka sasa nashindwa kuelewa.... Hivi kweli unamkata Masele halafu unawaacha akina Msukuma., Malinga, Kibajaji....!!
Huyo simjui bossMbona uulizi Ramso wa kule Singidani?
Jirani ya dstv
Ni kama Dr Kimei yan watu wanatafuta vihela cha kwenye siasa.Meko hajawahi kujielewa alikuja na lugumi,mpka leo kamshindwa kaamua kunyuti...huyo deo ni jinga tu utajiri wote huo ukasubirie posho za bungeni
Nkwei kabisha mghoshi....kaka wa huyu mja aliwahi kuwa AG remember?Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]hawa watu wawili
Afisa kificho na afisa kipenyo ukifanikiwa kuona list yao kuna watu ukikutana nao unaweza kuwakimbia ..hata huko upinzani wamejazana
Kifupi ni kiongozi muongo na mbabaishaji. Na mbaya zaidi ni kwa anaowaongoza wengi ni watu wajinga sana na wanamuamini na kumtukuza kwa kila asemalo huku wakijua anawadanganya.Ndio maana tunasema yule Mzee tatizo lake kubwa ni hana principle.
Hana anachokisimamia kutoka moyoni, muda wote, kwa yeyote, kwa hali yeyote.
Kila kitu kwake kinazungumzika, kina maelewano, kina bei. Hata yeye mwenyewe anazungumzika.
Utaratibu wa kukata jina una maana gani, unatumika nyakati gani kama humkati convicted felon uliyesema ni msaliti anaehujumu nchi kwenye vita ya kiuchumi kwa kutoa siri za nchi?
Hivi huyu hawezi kuwekewa pingamizi la kukosa sifa ya kuchaguliwa kama kiongozi wa kisiasa kwa kupatikana na hatia mahakamani ya utovu wa maadili?Mhongo hajathibishwa kisheria kama ni mhalifu ila kisiasa lkn huyu Deo Mwanyika mahakama ilimkuta na hatia na akalipa faini ya bilioni 2.
Fedha zimekuwa zikilipwa ili kumuondolea mtu mashtaka na wala sio kukutwa na hatia!!!!!Mhongo hajathibishwa kisheria kama ni mhalifu ila kisiasa lkn huyu Deo Mwanyika mahakama ilimkuta na hatia na akalipa faini ya bilioni 2.
Majizi yote yamejazana CCMKama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.
Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.
Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.
Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.
Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.
Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
Kuna tabia Fulani huwa MTU akiwa nazo anaitwa MZANDIKIJohn amenishinda tabia
Hili hatuwezi kushangaa kwani JPM ndiyo zake. Amekuwa akiwachafua watu fulani kwa muda kwa lengo la kujitafutia sifa kwa wananchi. Mifano ya movie zake ni mingi ila natoa miwili tu kwa sasa: Unakumbuka wakati fulani akizungumza na Wafanyabiashara alipomchafua Kicheere wakati akiwa TRA? Lkn baada ya miezi mitatu alikuja msifia/msafisha na kumteua kuwa Mthibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali.Mkuu huyu ndiyo huyo huyo wa Acacia na pia mgombea Ubunge kwa ticketi ya CCM. Kuna video mtandaoni akiomba kura (Njombe) na aliulizwa kuhusu swala hili akahakikisha ni yeye na akajitetea. Lakini swli lako linafikirisha. Mwenyekiti kampitishaje hiyo ni siri yake. Huyo ndio JPM aliewahi kusema "inategemea nimeamkaje" huwezi kumtabiri. Au walimsingizia Deo wa watu?
Nyamaza hujui kitu. Jifunze kufanya tafiti kabla ya kukurupuka.PUNGUZA MIHEMKO NA UONGO. WA NJOMBE NI DEO SANGA NA WA ACACIA NI DEO MWANYIKA.