Ilikuwaje Mkoa wa Mara ukaitwa 'Jamhuri ya Watu wa Chui'?

Kwa nn sasa hawajatufundisha haya mambo mashuleni? Basi hata haya kwenye historia tunayoyajua ni fake.
 

Mi nafikri wewe na wenzio wenye kampeni kama hizi ni wahaini
Na mnafaa kushitakiwa au kunyongwa kwa uhaini!!!
Una separatism idea n kutetea ujinga
 
Kama mtakumbuka miaka ya 1985 ilianzishwa oparation maalum ya kurejesha silaha ilikuwa kwa mwaka mara mbili wilaya ya Tarime na Serengeti
Walikuwa wanatembea askari jeshi 10 wakifika kwenye mji ni lete siraha vijana na wazee wenye nguvu walichezea kichapo ko ilikuwa ikifika hicho kipindi wanabaki watoto na vibabu na vibibi home
Nakumbuka babu aliombwa silaha akaleta biblia alikuwa msabato wakacheka muda huo bibi kaleta busara (togwa) wakanywa wakasonga kwa jirani ni virugu tupu wanachanja po pote tu hawafatishia njia mara pa kijana wa jirani kajiachia kwenye jiwe anang’oa funza kwenye vidole vya miguu anaulizwa na wewe akajibu shikamo, kaulizwa unafanya nini nichimbonde nkwiha (najitoa funza) kipigo lete siraha akapiga yowe wakaenda kwa brother’ake kile kishindo tu cha buti zao pale home na mikwara tu alikuwa dalini akalopoka ni olongo nde (nipo dalini) huku anashuka kujileta kwenye kipigo na kuambiwa amkubatie shemeji’ake
Yaani kwa ujumla ilikuwa ni fedheha na udhalilishaji ambao kwa sasa unahitaji fidia kubwa mno.
Matokeo yake vijana enzi hizo walikuwa wakiona askari polisi wanakimbia bila sababu wanatokomea pasipojulikana baadae night ndo watarudi makwao.
 
kipindi hicho nilikuwa Mugumu mkoa mzima ulisafishwa siraha zote zilichukuliwa mpaka kisu.

Ffu jwtz walitapakaa mkoa mzima.chini ya utawala wa mchonga.mabasi yalipitia arusha kwenda tarime kirumi hapakupitika kwa usalama. Daaaa mara kiboko
 
muraaa tata chui land
 

Wewe ndio mjinga, unaongea kitu ukielewi.
 
hazina mantiki
pia zinachochea uovu tu!!
kwa sababu binadamu wenye mawazo kama ya hao watu wapo, kwahiyo utakapomfundisha mwanafunzi unamjengea hali ya kuwa "kumbe inawezekana eeh"

baada ya miaka unakuta wamejaa wa hivo tele

Mbona Historia ya mapinduzi imewekwa wazi?.
 
Mi nafikri wewe na wenzio wenye kampeni kama hizi ni wahaini
Na mnafaa kushitakiwa au kunyongwa kwa uhaini!!!
Una separatism idea n kutetea ujinga

Ujinga kwako. Usilazimishe usilolipenda liwe la wote.
 
Wajitokeze kama kuna waanga na waombe fidia kwa madhira waliyoyapata kama hakuna basi ni stori za kijiweni.Dunia ya sasa sio kama ya zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…