Alikuwa wakili wa kujitegemea ofisi zake Morogoro,akateuliwa kuwa jaji, kesi ya Zombe ilimkuta akiwa senior jaji tayari,na kabla hajasoma hukumu tayari alishakua Jaji mteule wa mahakama ya rufani ya tanzania,ni moja ya majaji walio nyooka sanaaa ndio maana hutaona majaji wa kariba yake wakiwa assigned kesi za kisiasa zile za kupoteza muda.
By the way,jamaa alikua jaji 2004
Huko porini unaponitajia sijawahi kufika na sitarajii kufika.
Christopher Bageni huyo yupo anasubiri kitanziKuna kamanda wa polisi amehukumiwa kunyongwa sababu alikuwepo eneo la tukio na ndie alietoa amri. Zombe yeye hakuwepo eneo la tukio na wala hakuna ushahidi uliomuonesha kama zombe alitoa amri watu hao wauwawe maana hata hao watu wakati wanakamatwa hakuwaona na hata wakati wanapigwa risasi hakuwepo pia
Ccm ndio kichaka cha wahalifu wote.
Umenikumbusha Marehemu Koplo Rashid Lema.Ula uchawi upo nyieee, kuna askari nae alikuwa ni mtuhumiwa kwenye kesi hiyo, zamu yake ya kutoa ushahidi ilipowasili akaanza kuumwa tena akivimba kichwa, hivyo kesi ikawa inapigwa danadana mpaka jamaa akafa!
Wengi wanasema kama jamaa angeweza kupanda kizimbani na kutoa ushahidi Zombe angekuwa pabaya leo hii!
Hapakuwepo hoja zenye mashiko za kumtia hatiani.Ushahidi uko wazi kabisa juu ya order alizotoa kwenye mauaji yale ya wafanyabiashara ikawaje yeye hakukutwa na hatia? Inanikumbusha picha moja ya kihindi inaitwa "Andha Kanoon" maana yake "Sheria Kipofu"
Wakuu ilikuwaje mpk Zombe akanusurika kufungwa? Karibuni
Nadhani ni Bageni huyo aliyehukumiwa kunyongwa.Kuna kamanda wa polisi amehukumiwa kunyongwa sababu alikuwepo eneo la tukio na ndie alietoa amri. Zombe yeye hakuwepo eneo la tukio na wala hakuna ushahidi uliomuonesha kama zombe alitoa amri watu hao wauwawe maana hata hao watu wakati wanakamatwa hakuwaona na hata wakati wanapigwa risasi hakuwepo pia
Hivi ni uzembe au ni competence?? Huwa naona wanapelekwa mbio sana na wapinzani wao mfano Kibatala, Lissu nkPitia series kwenye gazeti la mwananchi imeandikwa vizuri sana. Kiufupi ni ujinga na uzembe wa serikali. Zombe alishitakiwa kwa mauaji, na hakuua wa kuwepo eneo la tukio. Hata kama ni kweli alitoa amri, je sheria zetu zinasema ukituma au kutoa amri ya kuua kinyume na sheria ni kosa la kuua? Ndio maana akatoboa kirahisi, halafu Jamhuri baada ya kuona imechemka, ikamuomba Jaji ampate na hatia ya kupanga mauaji. Wakaambia hiyo sio kesi iliyopo hapa.
Bageni aliyekuwepo eneo la tukio na ndie alikuwa most senior officer yeye alihukumiwa kunyongwa baada ya serikali kukata rufaa.
Wanasheria wa serikali uzembe hawajaanza na kesi ya Mbowe, ndio jadi yao.
Umeitwa kwenye huu uzi? Si upite kimya kimya?Ya Zombe yashapita kwanini mnapenda kufukuwa Makabuli mnatafuta nini kwa Mzee Zombe?
siku hiyo yeye hakuwa eneo la 2kio!!!,,,,Ushahidi uko wazi kabisa juu ya order alizotoa kwenye mauaji yale ya wafanyabiashara ikawaje yeye hakukutwa na hatia? Inanikumbusha picha moja ya kihindi inaitwa "Andha Kanoon" maana yake "Sheria Kipofu"
Wakuu ilikuwaje mpk Zombe akanusurika kufungwa? Karibuni
Duuh ss umeandika nn hapa?Jaji wa kesi hii alikuwa ndiyo kwanza kateuliwa kutokea kuwa wakili binafsi.
Hapa fikiria wakili msomi Kibatala ateuliwe kuwa jaji na kesi ni dhidi ya mshitakiwa yeyote.
Majaji wa namna hii kuegemea zaidi kwenye yote yaliyo na afueni zozote kwa mshitakiwa.