Ilikuwaje mpaka ACP Abdallah Zombe akanusurika kufungwa?

Ilikuwaje mpaka ACP Abdallah Zombe akanusurika kufungwa?

Alikuwa wakili wa kujitegemea ofisi zake Morogoro,akateuliwa kuwa jaji, kesi ya Zombe ilimkuta akiwa senior jaji tayari,na kabla hajasoma hukumu tayari alishakua Jaji mteule wa mahakama ya rufani ya tanzania,ni moja ya majaji walio nyooka sanaaa ndio maana hutaona majaji wa kariba yake wakiwa assigned kesi za kisiasa zile za kupoteza muda.

By the way,jamaa alikua jaji 2004

Kuweka rekodi sahihi shauri la akina Zombe nalo lilijiri miaka ya 2006 na hukumu kutolewa around 2009.
 
Huko porini unaponitajia sijawahi kufika na sitarajii kufika.

Usikonde sana mkuu.

Ila kwa mujibu wa wanazuoni Masati aliukwaa ujaji around 2004 na shauri la kina Zombe likajiri 2006 ambapo hukumu yake ilikuwa 2009.

Swekeni ni za kumwaga. Buseresere ni kiwakilishi ambishi cha zote zingine.
 
Zombe aliachiwa Kwa sababu nyingi moja hakuna shahidi yoyote aliyemuona eneo la tukio mbili waliouwa walisema walipewa oda na zombe kama mkuu wao kuuwa Ila zombe kwenye uteteze alisema wale ni watu wenye akili timamu wanajua Baya na zuri walikuwa na uwezo WA kukataa Ile odaa kwaiyo si kweli kuwa aliwatuma
 
Kuna kamanda wa polisi amehukumiwa kunyongwa sababu alikuwepo eneo la tukio na ndie alietoa amri. Zombe yeye hakuwepo eneo la tukio na wala hakuna ushahidi uliomuonesha kama zombe alitoa amri watu hao wauwawe maana hata hao watu wakati wanakamatwa hakuwaona na hata wakati wanapigwa risasi hakuwepo pia
Christopher Bageni huyo yupo anasubiri kitanzi
 
Ula uchawi upo nyieee, kuna askari nae alikuwa ni mtuhumiwa kwenye kesi hiyo, zamu yake ya kutoa ushahidi ilipowasili akaanza kuumwa tena akivimba kichwa, hivyo kesi ikawa inapigwa danadana mpaka jamaa akafa!

Wengi wanasema kama jamaa angeweza kupanda kizimbani na kutoa ushahidi Zombe angekuwa pabaya leo hii!
Umenikumbusha Marehemu Koplo Rashid Lema.
 
Ushahidi uko wazi kabisa juu ya order alizotoa kwenye mauaji yale ya wafanyabiashara ikawaje yeye hakukutwa na hatia? Inanikumbusha picha moja ya kihindi inaitwa "Andha Kanoon" maana yake "Sheria Kipofu"

Wakuu ilikuwaje mpk Zombe akanusurika kufungwa? Karibuni
Hapakuwepo hoja zenye mashiko za kumtia hatiani.
Hakuwepo Eneo la tukio
Hakutoa Amri
Yeye Hakuua
Hajawai waona Watuhumiwa
 
Kuna kamanda wa polisi amehukumiwa kunyongwa sababu alikuwepo eneo la tukio na ndie alietoa amri. Zombe yeye hakuwepo eneo la tukio na wala hakuna ushahidi uliomuonesha kama zombe alitoa amri watu hao wauwawe maana hata hao watu wakati wanakamatwa hakuwaona na hata wakati wanapigwa risasi hakuwepo pia
Nadhani ni Bageni huyo aliyehukumiwa kunyongwa.
 
Pitia series kwenye gazeti la mwananchi imeandikwa vizuri sana. Kiufupi ni ujinga na uzembe wa serikali. Zombe alishitakiwa kwa mauaji, na hakuua wa kuwepo eneo la tukio. Hata kama ni kweli alitoa amri, je sheria zetu zinasema ukituma au kutoa amri ya kuua kinyume na sheria ni kosa la kuua? Ndio maana akatoboa kirahisi, halafu Jamhuri baada ya kuona imechemka, ikamuomba Jaji ampate na hatia ya kupanga mauaji. Wakaambia hiyo sio kesi iliyopo hapa.

Bageni aliyekuwepo eneo la tukio na ndie alikuwa most senior officer yeye alihukumiwa kunyongwa baada ya serikali kukata rufaa.

Wanasheria wa serikali uzembe hawajaanza na kesi ya Mbowe, ndio jadi yao.
Hivi ni uzembe au ni competence?? Huwa naona wanapelekwa mbio sana na wapinzani wao mfano Kibatala, Lissu nk
 
Koplo Saad na Zombe wote hao ni TISS, ilikuwa danganya toto tu kipindi kile... wanafungwaga hao unadhani?!

Kila siku zinaimarishwa sheria za kuwalinda tu, na saiv wanataka kupewa mamlaka ya kukamata kabisa muhalifu/raia ukileta fyokofyoko on-the spot!
 
Ushahidi uko wazi kabisa juu ya order alizotoa kwenye mauaji yale ya wafanyabiashara ikawaje yeye hakukutwa na hatia? Inanikumbusha picha moja ya kihindi inaitwa "Andha Kanoon" maana yake "Sheria Kipofu"

Wakuu ilikuwaje mpk Zombe akanusurika kufungwa? Karibuni
siku hiyo yeye hakuwa eneo la 2kio!!!,,,,
 
Jaji wa kesi hii alikuwa ndiyo kwanza kateuliwa kutokea kuwa wakili binafsi.

Hapa fikiria wakili msomi Kibatala ateuliwe kuwa jaji na kesi ni dhidi ya mshitakiwa yeyote.

Majaji wa namna hii kuegemea zaidi kwenye yote yaliyo na afueni zozote kwa mshitakiwa.
Duuh ss umeandika nn hapa?
 
ukijua sheria nchi hii unastarehe..jamaa kawakaanga wenzie.. ...yeye yupo huru na pesa kala!
 
Back
Top Bottom