Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Kuna bandiko nilisoma wanaeleza kuwa nguvu ya ushawishi aliyokuwa nayo nyerere ni sawa na ushawishi aliokuwa nao Hitler kwa wanazi

Pili Nyerere alikuwa anajiamini sana hivo waliona ni mtu sahihi kuwaongoza ukitaka kuamini nyerere alikuwa kiongozi mwenye ushawishi fuatilia speech zake, kuna babu zetu isingekuwa ushawishi wa nyerere hata vita ya kagera wasingeshiriki jamaa alikuwa ana ushawishi sana

Kwa zama hizi kumpata mtu mwenye wajihi wa mwalimu ni kipengele sana.
Hakuwa na ushawishi,watu wa dar hawakumtaka,ni akina sykes, sheikh takadir, sheikh amir,tutu mohamed nk ndiyo waliojitahidi kuwashawishi waislam wamkubali,hadi sheikh takadir akimuita nyerere nabii musa
 
Unakua rais,unavunja taasisi ya waislam ya afrika mashariki,serikali yako,kwa miaka 25 haiteui waziri wa elimu muislam ila unateua padre kuwa waziri,na wanaofaulu na kupata elimu za juu ni watu wa dini yako kwa 75+%,mdini nani,nani mpandaji wa mbegu ya udini!?
Pamoja na kuvunja taasisi ya Kiislamu na kuteua Padre kuwa waziri wa elimu, waislamu wenye akili NZURI walisoma vizuri saana na ushahidi upo. Mfano Prof Kighoma Malima, Prof Assad, Dr Msabaha, Prof Amani, Jakaya Kikwette, Jaji Chande Othman, Mohamed Said, etc

Kama Muislamu hakusoma, alaumu umaskini au ujinga wa wazazi wake. Kumsingizia Nyerere ni ufukara wa fikra
 
Kwa kipindi kile wasomi waliaminiwa zaidi hasa waliokwenda kusoma hadi nje ya nchi sasa Mwalimu Nyerere alikua msomi ameenda hadi nje akarudi alafu huyo mzee alikua na elimu yake ya mnyaazi mungu ya madrasa angewezaje kutoboa mbele ya Mwalimu Nyerere msomi na alikua na maarifa ya kutosha🤔🤔
 
Unakua rais,unavunja taasisi ya waislam ya afrika mashariki,serikali yako,kwa miaka 25 haiteui waziri wa elimu muislam ila unateua padre kuwa waziri,na wanaofaulu na kupata elimu za juu ni watu wa dini yako kwa 75+%,mdini nani,nani mpandaji wa mbegu ya udini!?
Kwani Nyerere aliwakataza waislamu kusomesha watoto wao 🤔 kwamba hao watoto wakristo waliofaulu walikua wanapewa majibu na waziri wa Elimu au 🤔 mnapswa kumshukuru Mwalimu Nyerere kwa kuchukua shule za kanisa ili angalau na watoto wa mnyaazi mungu wapate Elimu ili umaskini wa akili upungue lakini bahati mbaya sana hadi kesho mtaendelea kua maskini wa akili hivyo hivyo nyie mkawalaumu wazee wenu kwa upumbavu wao wa kuwapeleka watoto wao madrasa badala ya shule
 
Kwa kipindi kile wasomi waliaminiwa zaidi hasa waliokwenda kusoma hadi nje ya nchi sasa Mwalimu Nyerere alikua msomi ameenda hadi nje akarudi alafu huyo mzee alikua na elimu yake ya mnyaazi mungu ya madrasa angewezaje kutoboa mbele ya Mwalimu Nyerere msomi na alikua na maarifa ya kutosha🤔🤔
Watasema alisomea huko kijijini gani sijui akaenda kusaidia majahazi kusafiri .akarudi ana ilmu
 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Suala la Ubora katika Uongozi au IQ haina uhusiano wa sijui Baba yako ni nani, kinachomatter ni UWEZO

Nyere alikuwa ni Msomi mwenye Elimu ya Darasani lakini pia na Maarifa ya kiuongozi

Mengine ni jambajamba tu
 
Pwani yote ilikuwa Islam. Wao msingi mkubwa maisha yao ilikuwa Dini ....madrasa/misikiti na hivyo hawakuwa na mwamko wa hivyo wa siasa! Illiterace rate ilikuwa kubwa!
I stand to be corrected
Kuna wakati nikisikia kwamba Pwani (Waislam) hawakuwa na mwamko wa elimu napata tabu kidogo. Kwa mfano Zanzibar ilitoa wasomi wengi mno ambao wengi wao Karume aliwaogopa. Inakuaje ionekane hawakua na mwamko. Naamini kuna chezo lilichezwa. Ikumbukwe chuo kikuu cha Kiislam kilitaka kujengwa mapema sana kabla hata ya UDSM.
 
Atheist...shida yenu mnaacha akili nyuma mnakimbilia mbele mambo ya oyaa oyaa. Unless you take education to its very core seriously, mtaendelea kusimulia ya Nyerere mpaka mtachakaa
Makafiri ni vile mumeshika mpini tu, ila kiuhalisia hamna elimu yeyote zaidi ya kupasishana tu kwenye mitihani, mnapokuja field saaa kwenye uhalisia ndipi mbivu na mbichi huonekana,

Kama si juhudi za wasomi wa kiislamu na subra na juhudi za mashehe saa hii tungekuwa tunaftana
 
Unakua rais,unavunja taasisi ya waislam ya afrika mashariki,serikali yako,kwa miaka 25 haiteui waziri wa elimu muislam ila unateua padre kuwa waziri,na wanaofaulu na kupata elimu za juu ni watu wa dini yako kwa 75+%,mdini nani,nani mpandaji wa mbegu ya udini!?
nyerere, nyerere, wagalatia
 
Ukitoa labda makando yake Nyerere alikuwa msomi sana na mwalimu pia, zamani walimu walikuwa ni watu wenye uelewa mpana sana wa mambo. Kwahiyo jibu la swali lako he was the best
 
Pamoja na kuvunja taasisi ya Kiislamu na kuteua Padre kuwa waziri wa elimu, waislamu wenye akili NZURI walisoma vizuri saana na ushahidi upo. Mfano Prof Kighoma Malima, Prof Assad, Dr Msabaha, Prof Amani, Jakaya Kikwette, Jaji Chande Othman, Mohamed Said, etc

Kama Muislamu hakusoma, alaumu umaskini au ujinga wa wazazi wake. Kumsingizia Nyerere ni ufukara wa fikra
Kuna tofauti ya kusoma na kupasishwa
Waislamu wengi walinyimwa elimu wakapewa wakristo wachache hata kama walikuwa vilaza, na ushahidi ninao mtihani wa darasa la saba mwaka 1982
 
China, Japan, india hakuna wagalatia

Saudia, iran hakuna wagalatia
Unaujua uchumi wao?
Wagalatia hakuna walicholeta ila ubaguzi na ubinafsi
China, India na kwingineko hakuna Wabantu wa tandale kama ninyi wenye Pua pana, Nywele ngumu na spread lips...kazi yenu ni kula, kushiba, kujamba na kujisaidia chooni kisha mnalala
 
Ni mwanadamu yepi ambaye hafanyi haya?
Huna hoja
Huna Akili, yaani unafikiri kuishia hapo ndio maisha? Think outside the box....Dunia inataka watu wanaotumia akili na maarifa kwaajili ya maendeleo...sio kula kulala tu

Hasa nyie wavivu mnaoshinda vibarazani
 
Back
Top Bottom