Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongeza; zama hizo ilikuwa hakuna goli la mkono; watu walikuwa waaminifu. Waislam wa zamani siyo kama wa siku hiziMwl Nyerere alikuwa msomi,alikuwa na maarifa na zaidi ya yote alikuwa kitaifa zaidi tofauti na mpinzani wake ambaye alikuwa kajikita Dar.
Abdul Sykes alidhani anaweza akashindana na Nyerere matokeo yake akaangukia menoKwa lipi zaidi?
Tanganyika African National UnionIpi hiyo? Mimi siijui.
. Wewe unajuwa jina la TANU lilitokea wapi?
Anatetea eti wazee wake wa Kariakoo!! Wangekuwa na uwezo basi tungepata uhuru mwaka 1950Binafsi simkubali kabisa na historia yake ya hovyo!
Uko sawa kante mp2025 kwa kuwa Uganda alikuwa mzuri kivita kwa kuwa alipata support ya Gadaffi ki silaha na kwa wanajeshi aliowaleta.Kuna bandiko nilisoma wanaeleza kuwa nguvu ya ushawishi aliyokuwa nayo nyerere ni sawa na ushawishi aliokuwa nao Hitler kwa wanazi
Pili Nyerere alikuwa anajiamini sana hivo waliona ni mtu sahihi kuwaongoza ukitaka kuamini nyerere alikuwa kiongozi mwenye ushawishi fuatilia speech zake, kuna babu zetu isingekuwa ushawishi wa nyerere hata vita ya kagera wasingeshiriki jamaa alikuwa ana ushawishi sana
Kwa zama hizi kumpata mtu mwenye wajihi wa mwalimu ni kipengele sana.
Si lazima kusoma kila kitu, vingine unashuhudia. Kwani Una umri gani? Inawezekana ni mkubwa tu humu JF ila hukushuhudia vijiji vya ujamaa vilivyofanya kazi. Unadhani wapare na wachaga walifika katesh na kushika maeneo kwa bahati mbaya? Na wameishi hapo na kuoleana watoto wao na kurithishana mpaka leo.Kwani wapi umesoma alilikuta taifa limetengana hata aliunganishe?
Mwalimu alikuwa ana ujasiri wa ajabu sana na pia alikuwa na nguvu ya ushawishi kupitia speech zake uwezo wake wa akili ulikuwa mkubwa piaUko sawa kante mp2025 kwa kuwa Uganda alikuwa mzuri kivita kwa kuwa alipata support ya Gadaffi ki silaha na kwa wanajeshi aliowaleta.
Lakini Nyerere kwenye hotuba yake alisema maneno matatu tu :-
"Sababu ya kumpiga tunayo"
"Nia ya kumpiga tunayo"
"UWEZO wa kumpiga tunao"
Yaliyofuatia hapo ni historia, maana hata Iddi Amin alipokufaa huko Saudi alizikwa na watu WANNE
Hii ndio changamoto inayo tusumbua mpaka leo
Kumsaidia ndiyo kugombea naye uongozi? Si angejitoa? Huu ni uongo
Mwalimu alikuwa ana ujasiri wa ajabu sana na pia alikuwa na nguvu ya ushawishi kupitia speech zake uwezo wake wa akili ulikuwa mkubwa pia
Leo hii imagine ikatokea kuna vita ambavyo wananchi pia wanapaswa kushiriki unahisi kiongozi gani atakuwa na nguvu hiyo ya kuwashawishi watu wapambane.
Kama taifa bado tuna hitaji kuwa na viongozi wengi wenye haiba ya mwalimu , Mwalimu alikuwa mtu wa maana kabisa pamoja na mapungufu yake kama mwanadamu.
Ni watu tu walikuwa wajinga na wametoka kutawaliwa na mzungu so yakatokea ya kutokea, watu kudumazwa na mwenge n uongo uongo mwingi, akija saa hii hapati hata ujumbe wa nyumba kumiKuna bandiko nilisoma wanaeleza kuwa nguvu ya ushawishi aliyokuwa nayo nyerere ni sawa na ushawishi aliokuwa nao Hitler kwa wanazi
Pili Nyerere alikuwa anajiamini sana hivo waliona ni mtu sahihi kuwaongoza ukitaka kuamini nyerere alikuwa kiongozi mwenye ushawishi fuatilia speech zake, kuna babu zetu isingekuwa ushawishi wa nyerere hata vita ya kagera wasingeshiriki jamaa alikuwa ana ushawishi sana
Kwa zama hizi kumpata mtu mwenye wajihi wa mwalimu ni kipengele sana.
Hata kuangalia video umeshindwa? Ni kipi usichoelewa?Kumsaidia ndiyo kugombea naye uongozi? Si angejitoa? Huu ni uongo
Huu ni uongo na uzandiki, nyerere na tanzania alisaidiwa na uingereza ndio kumpindua Idi amini, na sote tunajua Amin aliondolewa kwa ajili ya udini tuUko sawa kante mp2025 kwa kuwa Uganda alikuwa mzuri kivita kwa kuwa alipata support ya Gadaffi ki silaha na kwa wanajeshi aliowaleta.
Lakini Nyerere kwenye hotuba yake alisema maneno matatu tu :-
"Sababu ya kumpiga tunayo"
"Nia ya kumpiga tunayo"
"UWEZO wa kumpiga tunao"
Yaliyofuatia hapo ni historia, maana hata Iddi Amin alipokufaa huko Saudi alizikwa na watu WANNE
Ushindi wa mzee Nyerere ktk kitu cha uenyekiti TANU kumshinda syskes unatokana na ushauri wa kiisntelijensia wa tanu.Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Huu ni uongo na uzandiki, nyerere na tanzania alisaidiwa na uingereza ndio kumpindua Idi amini, na sote tunajua Amin aliondolewa kwa ajili ya udini tu
Kuzikwa na watu wanne, kumi, elfu, laki sio wema wala ubaya, kuna ambao hawazikwi na miili haionekani kabisa
Ukute alieliwa na simba yupo mbinguni na aliezikwa na maelfu ya watu yupo jehannam