Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Inawezekana. Lakini uzuri wa Kanisa ni kwamba vijana wengi wa Kiafrika walioongoza Mapambano ya Kupigania Uhuru wa Nchi zao walisoma kwenye skuli zao. Kwa namna hiyo, walichangia uhuru, ingawa lengo la awali halikuwa hilo bali kuendeleza ukoloni.
kwa hivyo lkama walikuw wao ndio wakawapinga? wewe hizi akili umeziweka wapi?
 
Mleta mada kauvaa mkenge. Tundu Lissu hata mwaka uliofanyika uchaguzi wa TANU haujuwi.

Ililetwa mada jana kumweka sawa😜😜👇🏾👇🏾

 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Wazee walishaamua kumwaachia Nyerere aongoze.Elimu na kukubalika kwake kwa waingereza vilichangia
 
Unapotosha Sana. Unataka kuniambia waingereza ndio walimchagua Nyerere pale Anatoglou?. Kuhusu Wickens yule alikuwa Katibu Mukhtasi na Wala hakuwa na mamlaka yoyote. Kumbuka baada tu ya kupata uhuru wasomi walikuwa wachache hivyo tulikopa waingereza watusaidie.
Afya ya akili ikiwa TIMAMU uwepo wa Bi Wickens ikulu wakati wa Nyerere tukiwa tushapata Uhuru lazima utiliwe Mashtaka, lazima uzue maswali mengi
Haiwezekani mtu aliyekutawala na kukunyonya akuachie mtu ambaye atakuwa na taarifa zako zote za utendaji
Ukiangalia sana kama hatujapata Uhuru vile. Can you believe hizi bajeti zetu kabla hazijawasilishwa bungeni lazima wapelekewe World Bank na IMF waziangalie kwanza ndio Mwigulu aipitishe Bungeni
 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Somo: Wazee waliopigania uhuru hawakuwa na udini, ukabila wala ushamba mamboleo wa huyu wa kijijini huyu wa mjini bali walikuwa wazalendo kuchagua kiongozi wa nchi. Nyerere kijana msomi alikuwa na uelewa mkubwa. 🙏🙏🙏
 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Mpasuko wa kidini unaoonekana kutoka kwa wachangia mada ni ishara ya wazi ya tatizo tulilonalo Tanzania kwa sasa. Ukiangalia hapa utaona wanaotukuza ushindi wa nyerere kwenye huo uchaguzi wengi wana msukumo wa kidini wakati upande mwengine pia una hoja zinazoashiria msukumo kama huo ama malalamiko ya udini dhidi ya nyerere na tawala yake.

Swali la msingi la kujiuliza hapa ni kuwa nani ni chanzo cha haya mambo ya hisia za udini? ni wapi tunaenda kama taifa? na nini tunapaswa kufanya kutoka katika hii hali!

Nia thabiti yenye hamu ya kutenda haki kwa wote ndo ufunguo wa kutatua hili balaa linalochipua hapa. Swali la msingi ni je tupo tayari kufanya haki kwa wengine bila kujipendelea wenyewe? (hii ni kwa yeyote mwenye kuchangia kuondoa kadhia hii, ikiwa ni muongeaji tu ama mwenye mamlaka)
 
alianza vizuri miaka hiyo

katikati mwa utawala wake akaanza haribu

na mwishoni akaboronga.

alipoona maji ya shingo akabwaga manyanga.

alipostaafu akaishia kuponda mambo kedekede wakati mengi kati hayo yeye ndio PIONEER wake.
 
Ukiachana na udini, hivi kweli kwa kipindi uache kuchagua msomi kama nyerere alafu uchague mtu kisa dini au kujuana? Kwasasa wasomi ni watu wa hovyo sana Asilimia kubwa ndo wameifanya nchi hii kuwa maskini kwa maamuzi yao hovyo..

Ila kwa kipindi kile nyerere alihitajika sana kutokana na usomi wake
 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Nyerere alikuwa na kipaji cha kuongea na kujieleza mbele za watu.

Kumbuka unaweza ukawa na elimu ,pesa wafuasi wengi lakini ukakosa ushawishi na uwezo wa kujieleza mbele za watu.

Nyerere alikuwa na uwezo huo,,ukimpa chance ajieleze umekwisha..
 
Binafsi niligunduwa baadae kumbe aliyetuzidi wote ujanja alikuwa Muingereza, hata Ikulu Waingereza walimweka Nyerere kama kanyaboya tu.
. Mtawala wa Ikulu alikuwa mwanamke wa Kiingereza aitwae Joan Wicken.

Unalijuwa hilo?
Mbona umemtaja Joan tu, umemwacha Amir Jamal, Al nNoor Kassum, Derick Brycesson, Maana wote hao walikuwa ni watu muhimu sana kwa Nyerere, kuliko hata Joan, au kwa sababu ni Mzungu na ni Mwingerza,

Mwal hakuwa na ubaguzi, alikuwa anaweka watu ambao ni kichwa na wangemsaidia kazi zake,

Vipi wewe akina Sykes, kwa nini hawakuwaweka Waarabu wenzako,
Wawasaidie,.

Halafu hebu tujuuze, Mpaka Mwalimu anaachia Urais , na kupewa vyeo kama Mwenyekiti wa SOUTH SOUTH COMMISSION, na kutembea dunia nzima , hao Wazungu walikuwa vilaza mpaka kumpa jukumu hilo kilaza mwenzao?

Mwalim mpaka kuaminiwa kuwa Mwenyekiti wa Nchi za mstari wa mbele kusini mwa Afrika, ni kwa sababu ya Joan?

Mwal akizungumza na Keneth wa Marekani , Joan ndio alikuwa kwenye Ubongo wake,

Hivi wakati Mwal anamgaragaza Sykes, Joan alikuwa pembeni yake,

Huwa najiuliza sana ingetokea nchi hii mwislam ndio angekuwa Nyerere sijui ingekuwaje.

Nimekusoma leo unakimbilia miaka 70, ni umri wa kujifunza kutafakari mambo na kuacha chuki za kijinga.
 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Kura hazikupigwa nchi nzima kwa kuwa chama ndio kilikuwa kinaanza waliopiga kura ni wale waanzilishi 17 kuwa nani miongoni mwao awe rais wa TANU.Nyerere alikuwa msomi ndiye mtanganyika wa kwanza kuwa na Master degree hivyo waliona kwa usomi wake, ujengaji hoja ndiye angeweza kuwavusha.

Kingine ingawa wapiga kura wengi walikuwq waislamu lakini wakati ule hakukuwa na udini huu tunaouona leo. Ingekuwa leo hii na kama wapiga kura wengi wangekuwa waislamu asingepata. Ni kama Senegal nchi yenye waislamu asilimia 80 lakini rais wao wa kwanza alikuwa mkristo aliitwa Leopald Senghor lakini waliofuatia wote ni waislamu na haitatokea tena Senegal iwe na rais mkristo kwa sababu siku hizi Jamii imekuwa polarised.

Funzo hapa ni kuwa viongozi wanapohubiri ubaguzi iwe wa kidini, kijinsia, rika su ukabila wanapolarise Jamii hivyo lile kundi dogo kamwe haliwezi kutoa kiongozi.
 
Jana ulileta ngojera zake na kitabu cha Boss wake
Kile kitabu ni rejea ya Madrsaa,yaani ukisoma Quran unatakiwa kusoma na kitabu cha Mohamed Said kwa Waislam wa kanda hii ya East Africa.

Mtu mwenye akili zake timamu kusoma vitabu ya Ustadhi wa Tandamti ni sawa na kuunyima ubongo fursa ya kupata maarifa.
 
Economist,
Nyerere hakufanya chochote.

Katika mazungumzo yaliyofanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio Ukerewe kati ya Mwapachu Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe walikubaliana kuwa Nyerere achaguliwe kuwa President na mwaka unaofuatia 1954 TANU iundwe kwa nia ya kudai uhuru na Julius Nyerere aongoze harakati hizo.

Kwa nini walikwenda kwa Hamza Mwapachu?

Sababu yeye ndiye alikuwa kiongozi wa harakati hizi za kuwaleta vijana wasomi ndani ya TAA kwa nia ya kukibadili chama kiwe chama cha siasa kamili wadai uhuru.

Hamza Mwapachu akamwambia Abdul Sykes amsaidie Nyerere achaguliwe ili mkakati huu wao ufanikiwe.

Aliporudi Dar es Salaam Abdul alifanya kama walivyokubaliana Nansio na Nyerere akapita uchaguzi ule lakini kwa kura chache sana.

Angalia video:


View: https://youtu.be/QKV-whFBnWY?si=ZtnHJjhUW1QvNWbB


Naanza kujibu uongo huu kama ifuatavyo.

Ikiwa Hamza Mwapachu alimtaka Abdul Sykes amsaidie Nyerere kwanini alishiriki kugombea nafasi ya Mwenyekiti ?.Jibu rahisi ni kwamba hata yeye aliutaka huo uenyekiti,ndio maana unakiri alishinda kwa kura chahche ingawa hutaki kutaja huo uchahche.

Unakiri mwenyewe Mwapachu alianzisha harakati za kuleta vijana wasomi ndani ya TAA lakini hutaki kukiri Sykes hakuwa msomi.
 
halafu Nyerere alikuwa wakati sheikh atao kitabu alikuwa hai? mbona hakujibu?
Yaani Nyerer ajibu hoja za kipuuzi,
Unamwonaje Nyerer wewe, Nyerer ni wa kimataifa zaidi, hizo hoja zenu za kikuku, mjibishane wenyewe kama tunavofanya hapa,
 
Back
Top Bottom