mitaani? angalia afisi pale ukumbi wa mikutano wa Msimbazi cnter utakuta picha ya nani ilikouwa na hijabMbona hatuioni hiyo elimu mtaani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mitaani? angalia afisi pale ukumbi wa mikutano wa Msimbazi cnter utakuta picha ya nani ilikouwa na hijabMbona hatuioni hiyo elimu mtaani?
And u think Nyerere was just a bum and dummy?Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Kwani kuna somo la Kujilinda na utekaji "ABDUCTION DEFENCE" Vyuoni? 🤣 🤣Chadema wamejaa wasomi. jiulize kwanini wanatekwa kama kuku? msomi unatekwa?
nikuulize unasema waislam walikuwa hawana elimu ndio hawakupigania uhuru, enzi Tanznaia kulikuwa na chuo kikuu gani?Kwani kuna somo la Kujilinda na utekaji "ABDUCTION DEFENCE" Vyuoni? 🤣 🤣
Naunga mkono hoja.mzee Mohamed Said
Alipata kusema kwamba kina sykes walimuachia nyerere uenyekiti ili kuweka sawa uislamu na ukristo, na tanu isionekane ya wakristo tu.
Cc JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
Hapana Mimi sichukui chochote Kwa huyo Mzee. Jana historia imewekwa wazi.
Sikiliza video.Ilikuwaje huyo Sykes akaukubali kugombea na Nyerere?.
mzee Mohamed Said
Alipata kusema kwamba kina sykes walimuachia nyerere uenyekiti ili kuweka sawa uislamu na ukristo, na tanu isionekane ya wakristo tu.
Cc JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
Na ndivyo wanavyosemagaWatakuja kukwambia Sykes alimuachia Nyerere
Kaisoma wapi hiyo historia?Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Utachukuwa kwenye historia hewa?Hapana Mimi sichukui chochote Kwa huyo Mzee. Jana historia imewekwa wazi.
Wakoloni nchi zote wameondoka ila wamebakisha vibaraka ...Ukienda kinyume chake hauna maisha marefu .Vyovyote vile ila kwa akili za kawaida sidhani kama mwingereza alikaa tu pembeni akisubiri hatma bila kulinda maslahi yake. Pamoja na yote JN amefanya kazi kubwa mno kuliunganisha taifa. Nchi haina deni naye.
= wanavyosema.Na ndivyo wanavyosemaga
Kwa nini msimbazi centre na si Mtambani?mitaani? angalia afisi pale ukumbi wa mikutano wa Msimbazi cnter utakuta picha ya nani ilikouwa na hijab
Kwani wapi umesoma alilikuta taifa limetengana hata aliunganishe?Vyovyote vile ila kwa akili za kawaida sidhani kama mwingereza alikaa tu pembeni akisubiri hatma bila kulinda maslahi yake. Pamoja na yote JN amefanya kazi kubwa mno kuliunganisha taifa. Nchi haina deni naye.
Cc Mohamed Said karibu bar
Porojo hizo, hampendi tu kusikia historia ya ukweli kuwa Waislam ndiyo waasisi wa kupigania uhuru wa Tanganyika.Huyo sio wa kumwamini sana, pamoja na kuifahamu historia vizuri lakini udini unampunguzia weledi hivyo anaweza kupotosha mada hii.
Hakuna mahali katika Historia ya Tanzania, Kanisa linatajwa kuhusika na Mapambano ya Kupigania Uhuru.lingalitajwa kanisa ungaliunga mkono kwa 100% japo ingalikuwa uongo
Likuwa na wakoloni upande wao?Hakuna mahali katika Historia ya Tanzania, Kanisa linatajwa kuhusika na Mapambano ya Kupigania Uhuru.
Inawezekana. Lakini uzuri wa Kanisa ni kwamba vijana wengi wa Kiafrika walioongoza Mapambano ya Kupigania Uhuru wa Nchi zao walisoma kwenye skuli zao. Kwa namna hiyo, walichangia uhuru, ingawa lengo la awali halikuwa hilo bali kuendeleza ukoloni.Likuwa na wakoloni upande wao?