Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Economist,
Nyerere hakufanya chochote.

Katika mazungumzo yaliyofanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio Ukerewe kati ya Mwapachu Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe walikubaliana kuwa Nyerere achaguliwe kuwa President na mwaka unaofuatia 1954 TANU iundwe kwa nia ya kudai uhuru na Julius Nyerere aongoze harakati hizo.

Kwa nini walikwenda kwa Hamza Mwapachu?

Sababu yeye ndiye alikuwa kiongozi wa harakati hizi za kuwaleta vijana wasomi ndani ya TAA kwa nia ya kukibadili chama kiwe chama cha siasa kamili wadai uhuru.

Hamza Mwapachu akamwambia Abdul Sykes amsaidie Nyerere achaguliwe ili mkakati huu wao ufanikiwe.

Aliporudi Dar es Salaam Abdul alifanya kama walivyokubaliana Nansio na Nyerere akapita uchaguzi ule lakini kwa kura chache sana.

Angalia video:


View: https://youtu.be/QKV-whFBnWY?si=ZtnHJjhUW1QvNWbB


Ilikuwaje huyo Sykes akaukubali kugombea na Nyerere?.
 
J K Nyerere alikuwa msomi wa kiukweli akiwa ni mhitimu wa Edinburgh (Master of Arts) huku akiwa mwalimu wa Pugu Sec. Wakati Abdulwahid Sykes alikuwa msimamizi wa madalali wa sokoni na elimu ya madrasa. Sasa angemshindaje Nyerere?? Sawa kutegemea Singida United iwafunge Real Madrid
Kwaio unataka kusema Sykes alikua hakijui kuzungu (English language)
 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Mzee Mohamed Said tupe majibu tafadhali.
 
Unapotosha Sana. Unataka kuniambia waingereza ndio walimchagua Nyerere pale Anatoglou?. Kuhusu Wickens yule alikuwa Katibu Mukhtasi na Wala hakuwa na mamlaka yoyote. Kumbuka baada tu ya kupata uhuru wasomi walikuwa wachache hivyo tulikopa waingereza watusaidie.
Mkuu, vuta subra. Kitabu cha kumbukumbu za Joan Wickens kilichozinduliwa DSM 2023 kitaachiliwa na wachapishaji Oxford University Press mwaka 2036 (miaka 30 baada ya kifo cha Joan).

Omba uhai tu na kumbukumbu njema ya bandiko lako. 🤔😄
 
Ile movement ya kudai uhuru ilihitaji mtu kama Nyerere, hakukuwa na namna zaidi ya Nyerere kuwa kiongozi wa TANU ili kazi iliyokuwa mbele yao iwe nyepesi
Ila baada ya hayo kilichotokea ndicho tulicho nacho sasa.

Kuna watu walitaka kina Hoya Hoya ndio waongoze. Kuna mambo yanataka watu wenye uwezzo na akili. Hoya Hoya tuendelee kushangilia Simba na Yanga.
Sio kuongoza nchi. Sehemu ya kutafakari, tunakimbilia kwa waganga wa kienyeji watupe maarifa 🤣 🤣 🤣 🤣 .
Kalagabaho kina sisi. Hoyaa Hoyaaa
 
Hizo porojo za Mohamed Said zisikupotezee muda, wacha aendelee kusomosha huku misikitini.

Yaani unataka kuniambia kina John Rupia, Chief David walikuwa swala tano ?.
Wengi walikuwa waislamu huo ndio ukweli hata ukiangalia picha nyingi za enzi za mapambano utaona mwalimu alikuwa na mashekhe muda mwingi wakiweka mipango ya kupigania huru hili labda ubishe kwa sababu zako za chuki
 
Unapotosha Sana. Unataka kuniambia waingereza ndio walimchagua Nyerere pale Anatoglou?. Kuhusu Wickens yule alikuwa Katibu Mukhtasi na Wala hakuwa na mamlaka yoyote. Kumbuka baada tu ya kupata uhuru wasomi walikuwa wachache hivyo tulikopa waingereza watusaidie.
waingereza ndio walimchagua Nyerere , kama ulikuwa hujui !! Mpango wa kuunganisha zenji na Tanganyika Nyerere alipewa maelekezo na waingereza ila sio akili yake ....Unajua kwa nn?


Kumchagua Nyerere ndio mtu pekee alikuwa brainwashed angeweza kuendeleza mipango yao ya kuwa kibaraka "'Puppet'' ....
 
Kuna watu walitaka kina Hoya Hoya ndio waongoze. Kuna mambo yanataka watu wenye uwezzo na akili. Hoya Hoya tuendelee kushangilia Simba na Yanga.
Sio kuongoza nchi. Sehemu ya kutafakari, tunakimbilia kwa waganga wa kienyeji watupe maarifa 🤣 🤣 🤣 🤣 .
Kalagabaho kina sisi. Hoyaa Hoyaaa
Mtu ana malaria 🦟 sisi tunaenda kupiga ramli chonganishi 😂
 
Kama walik
Economist,
Nyerere hakufanya chochote.

Katika mazungumzo yaliyofanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio Ukerewe kati ya Mwapachu Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe walikubaliana kuwa Nyerere achaguliwe kuwa President na mwaka unaofuatia 1954 TANU iundwe kwa nia ya kudai uhuru na Julius Nyerere aongoze harakati hizo.

Kwa nini walikwenda kwa Hamza Mwapachu?

Sababu yeye ndiye alikuwa kiongozi wa harakati hizi za kuwaleta vijana wasomi ndani ya TAA kwa nia ya kukibadili chama kiwe chama cha siasa kamili wadai uhuru.

Hamza Mwapachu akamwambia Abdul Sykes amsaidie Nyerere achaguliwe ili mkakati huu wao ufanikiwe.

Aliporudi Dar es Salaam Abdul alifanya kama walivyokubaliana Nansio na Nyerere akapita uchaguzi ule lakini kwa kura chache sana.

Angalia video:


View: https://youtu.be/QKV-whFBnWY?si=ZtnHJjhUW1QvNWbB

Kama walikubaliana kumwachia Nyerere kwanini waliingia kwenye kinyang'anyiro Hadi akwashindwa hata kama unasema ni kwa kura chache
 
Vyovyote vile ila kwa akili za kawaida sidhani kama mwingereza alikaa tu pembeni akisubiri hatma bila kulinda maslahi yake. Pamoja na yote JN amefanya kazi kubwa mno kuliunganisha taifa. Nchi haina deni naye.
 
Economist,
Nyerere hakufanya chochote.

Katika mazungumzo yaliyofanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio Ukerewe kati ya Mwapachu Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe walikubaliana kuwa Nyerere achaguliwe kuwa President na mwaka unaofuatia 1954 TANU iundwe kwa nia ya kudai uhuru na Julius Nyerere aongoze harakati hizo.

Kwa nini walikwenda kwa Hamza Mwapachu?

Sababu yeye ndiye alikuwa kiongozi wa harakati hizi za kuwaleta vijana wasomi ndani ya TAA kwa nia ya kukibadili chama kiwe chama cha siasa kamili wadai uhuru.

Hamza Mwapachu akamwambia Abdul Sykes amsaidie Nyerere achaguliwe ili mkakati huu wao ufanikiwe.

Aliporudi Dar es Salaam Abdul alifanya kama walivyokubaliana Nansio na Nyerere akapita uchaguzi ule lakini kwa kura chache sana.

Angalia video:


View: https://youtu.be/QKV-whFBnWY?si=ZtnHJjhUW1QvNWbB

Kumsaidia ndiyo kugombea naye uongozi? Si angejitoa? Huu ni uongo
 
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.

Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.

Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
mzee Mohamed Said
Alipata kusema kwamba kina sykes walimuachia nyerere uenyekiti ili kuweka sawa uislamu na ukristo, na tanu isionekane ya wakristo tu.
Cc JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
 
Na mimi nataka kujua , kwani huo uchaguzi ulikuwa na wa DSM tu? Au Tanganyika nzima?

Kama ni Dar pekee , basi ngoja wajuzi wa mambo waje,

Na kama ni Tanganyika yote , basi jibu ni kwamba , Nyerer alikuwa ni msomi na ana nguvu ya HOJA na USHAWISHI. Full stop
halafu Nyerere alikuwa wakati sheikh atao kitabu alikuwa hai? mbona hakujibu?
 
Hao wamebobea kwenye uongo wa kiislamu ndio fani yao
Hili swala la waislam kupigania uhuru alioandika sheikh Mohd Said ingalikuwa uongo kanisa katoliki hasa Pengo angalikuwa ashaomba msaada wa kifedha vatikan ili wajibu hoja. lkn kwa sababu limekuwa gumu kwao ndio maana wapo kimya
 
Back
Top Bottom