Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipanga wenu na porojo zake 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Bingwa wa historia ya uhuru ni Alama Mohamed Said
Umeyasoma wapi hayo?
Nijuwavyo huo ukumbi upo mnazi mmoja.
Hilo la Arnatoglo wewe umelisoma wapi?Unapotosha Sana. Unataka kuniambia waingereza ndio walimchagua Nyerere pale Anatoglou?. Kuhusu Wickens yule alikuwa Katibu Mukhtasi na Wala hakuwa na mamlaka yoyote. Kumbuka baada tu ya kupata uhuru wasomi walikuwa wachache hivyo tulikopa waingereza watusaidie.
Safi kabisa,kwanini walikuwa wanachagua sheikhHapo ndipo nashangaa , kwamba Waislamu walimuona mwislamu mwenzako hafai wakamchagua Mkristo.
Huwa sikisii:
View attachment 3080206
Hsppo nyerete kawachwa kwenye mataa, Malkiw anaongea na mtawala wa kweli, Joan Wicken, alipokuja Dar.
Picha inaongea maneno 1,000 hiyo.Sasa kuitungia pîcha maneno ndîo unasema hukisii?
Hiyo ni fani kîla Mtu anaweza kuifanya
Economist,Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Si wewe weka ukweli kuupanguwa upotoshaji wake. KInakushinda nini?
Umekazana "anapotosha" wakati hicho unachokiandika umekisoma kwake. Au unacho mbadala chenye ukweli?
Majanga.
Huwa sikisii:
View attachment 3080206
Hsppo nyerete kawachwa kwenye mataa, Malkiw anaongea na mtawala wa kweli, Joan Wicken, alipokuja Dar.
Kama kasema hivyo, kadanganya, CCM haikuwepo wala haikujulikana kama itakuwepo mwaka huo.Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Picha inaongea maneno 1,000 hiyo.
Ulishamuona katibu mukhtasi yupi duniani akakutana na malkia? Hata wa kwao Uingereza hutomuona. Protokali haziruhusu, itakuwa dharau kwa Malkia.
Lakini hapo? Unajionea mwenyewe.
Mwaka 1954 ulitaka watu wabebe maboksi ya kura hadi Tandahimba mkuu?Na mimi nataka kujua , kwani huo uchaguzi ulikuwa na wa DSM tu? Au Tanganyika nzima?
Kama ni Dar pekee , basi ngoja wajuzi wa mambo waje,
Na kama ni Tanganyika yote , basi jibu ni kwamba , Nyerer alikuwa ni msomi na ana nguvu ya HOJA na USHAWISHI. Full stop
Kaachwaje kwenye mataa wakati na yeye anachangia hoja huku akitabasamu. Kwani humuoni kama anatabasamu hapo? 😀Huwa sikisii:
View attachment 3080206
Hsppo nyerete kawachwa kwenye mataa, Malkiw anaongea na mtawala wa kweli, Joan Wicken, alipokuja Dar.
Hilo la Arnatoglo wewe umelisoma wapi?
Hilo la Wicken mimi nakupa kitu kipya kabisa.
Ulishamuona katibu mukhtasi gani mwengine Tanzania hii au duniani akikutana na head of states, hususan Malkia?
Anajua historia ya mitaa ya gerezani tu huyoBingwa wa historia ya uhuru ni Alama Mohamed Said
Picha inaongea maneno 1,000 hiyo.
Ulishamuona katibu mukhtasi yupi duniani akakutana na malkia? Hata wa kwao Uingereza hutomuona. Protokali haziruhusu, itakuwa dharau kwa Malkia.
Lakini hapo? Unajionea mwenyewe.