Jana ulileta ngojera zake na kitabu cha Boss wakeBingwa wa historia ya uhuru ni Alama Mohamed Said
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana ulileta ngojera zake na kitabu cha Boss wakeBingwa wa historia ya uhuru ni Alama Mohamed Said
Jibu ni fupi tu, Hapakuwa na kubebana kama sasa hivi, uwezo wa mhusika ndio uliongea.Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
No correction needed, that's the plain truthPwani yote ilikuwa Islam. Wao msingi mkubwa maisha yao ilikuwa Dini ....madrasa/misikiti na hivyo hawakuwa na mwamko wa hivyo wa siasa! Illiterace rate ilikuwa kubwa!
I stand to be corrected
Binafsi niligunduwa baadae kumbe aliyetuzidi wote ujanja alikuwa Muingereza, hata Ikulu Waingereza walimweka Nyerere kama kanyaboya tu.Kweli kabisa. Aliwazidi ujanja, maana bila ujanja ilikuwa sio rahisi.
Hili ni swali zuri kwa FaizaFoxy na Mwenzake Mohamed Said wanaopenda kudanganya kuhusu Uislam na Uhuru wa Tanganyika kwa kuangaza Kariakoo as if Kariakoo ndiyo Tanganyika
KusadikikaBinafsi ni
ligunduwa baadae kumbe aliyetuzidi woye ujanjs alikuwa Muingerezs jata Ukulu Waibgereza wslimweka Nyerere kama kanyaboya tu.
. Mtawala wa Ikulu alikuwa mwanamke wa Kiingereza aitwae Joan Wicken.
Unalijuwa hilo?
Wamekuwa wanamdanganya Sana watu. Wameitengeza picha ya kwamba Nyerere aliachiwa tu, kumbe walifanya uchaguzi na kila mgombea alipewa muda wa kujieleza mbele ya wajumbe ndani ya ukumbi wa Anatoglou Ilala
J K Nyerere alikuwa msomi wa kiukweli akiwa ni mhitimu wa Edinburgh (Master of Arts) huku akiwa mwalimu wa Pugu Sec. Wakati Abdulwahid Sykes alikuwa msimamizi wa madalali wa sokoni na elimu ya madrasa. Sasa angemshindaje Nyerere?? Sawa kutegemea Singida United iwafunge Real Madrid
Umeyasoma wapi hayo?Wamekuwa wanamdanganya Sana watu. Wameitengeza picha ya kwamba Nyerere aliachiwa tu, kumbe walifanya uchaguzi na kila mgombea alipewa muda wa kujieleza mbele ya wajumbe ndani ya ukumbi wa Anatoglou Ilala
Huo ndiyo ukweli mchungu ambao hampendi kuusikia,mpango ulikuwa ni kumuachia Julius awe kiongozi wa chama.Watakuja kukwambia Sykes alimuachia Nyerere
Mzee Said Mohamed mtaalam wa Historia ya Mitaa ya Tandamti, Kongo na Msimbazi atatupa majibu soon!Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Huwa sikisii:Kusadikika
Bingwa wa historia ya uhuru ni Alama Mohamed Said
Si wewe weka ukweli kuupanguwa upotoshaji wake. KInakushinda nini?Sawa, ila Kuna mambo anapotosha. Amekuwa anamlaumu Nyerere Sana, kumbe Mzee wa watu alichaguliwa kwa uwezo wake.
Binafsi niligunduwa baadae kumbe aliyetuzidi wote ujanja alikuwa Muingereza, hata Ikulu Waingereza walimweka Nyerere kama kanyaboya tu.
. Mtawala wa Ikulu alikuwa mwanamke wa Kiingereza aitwae Joan Wicken.
Unalijuwa hilo?