mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Ni wapi bi faiza amesema huo ni mkutano? Nimetafuta kwenye post yake sikuionaKwa hiyo mkutano wa viongozi huwa unafanywa wakiwa wamesimama hivyo. Kwanini tusiamini ni salamu? Bibi unatuonaje lakini?
Mosi, watu wa Dar mnaamini sana kuzaliwa na kukulia Dar ni sifa ya ziada.Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Toka lini kanisa linajibizana na Waislamu?Hili swala la waislam kupigania uhuru alioandika sheikh Mohd Said ingalikuwa uongo kanisa katoliki hasa Pengo angalikuwa ashaomba msaada wa kifedha vatikan ili wajibu hoja. lkn kwa sababu limekuwa gumu kwao ndio maana wapo kimya
That is the conclusion about who you are by the way 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Pumbas
Ndugu huu ni ushauri pengine ni nje ya mada. Mgalatia mchukulie kama ndugu yako. Safari yetu ni moja tunamtafuta Mungu, tufike kwake tukiwa wakamilifu. Labda tumetofautiana usafiri tunaotumia lakini dhamira yetu ni moja.Huyu ndio kiboko ya wagalatia, wanaufyata akitajwa tu, wanaishia kumtusi na kejeli wakishindwa hoja, wa kubishana nae hajazaliwa
Mungu amuhifadhi na ampe umri twawil wenye manufaa na watanzania
Porojo tu hizo, kunywa maji upunguze munkariKuna mgalatia alimaliza la saba hajui kusoma wala kuandika na akapasi kwenda kidato cha kwanza
NB
Ushahidi zaidi ninao
Hata wahindi, na watu wa mataifa mengine piaUnapotosha Sana. Unataka kuniambia waingereza ndio walimchagua Nyerere pale Anatoglou?. Kuhusu Wickens yule alikuwa Katibu Mukhtasi na Wala hakuwa na mamlaka yoyote. Kumbuka baada tu ya kupata uhuru wasomi walikuwa wachache hivyo tulikopa waingereza watusaidie.
Nyerere ndiye aliyeanzisha udini. Alikiri mwenyewe.Somo: Wazee waliopigania uhuru hawakuwa na udini, ukabila wala ushamba mamboleo wa huyu wa kijijini huyu wa mjini bali walikuwa wazalendo kuchagua kiongozi wa nchi. Nyerere kijana msomi alikuwa na uelewa mkubwa. 🙏🙏🙏
Papaya,Kwa kipindi kile wasomi waliaminiwa zaidi hasa waliokwenda kusoma hadi nje ya nchi sasa Mwalimu Nyerere alikua msomi ameenda hadi nje akarudi alafu huyo mzee alikua na elimu yake ya mnyaazi mungu ya madrasa angewezaje kutoboa mbele ya Mwalimu Nyerere msomi na alikua na maarifa ya kutosha🤔🤔
Mohammed Said nini maana ya haya maneno "Aliporudi Dar es Salaam Abdul alifanya kama walivyokubaliana Nansio na Nyerere akapita uchaguzi ule lakini kwa kura chache sana."Economist,
Nyerere hakufanya chochote.
Katika mazungumzo yaliyofanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio Ukerewe kati ya Mwapachu Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe walikubaliana kuwa Nyerere achaguliwe kuwa President na mwaka unaofuatia 1954 TANU iundwe kwa nia ya kudai uhuru na Julius Nyerere aongoze harakati hizo.
Kwa nini walikwenda kwa Hamza Mwapachu?
Sababu yeye ndiye alikuwa kiongozi wa harakati hizi za kuwaleta vijana wasomi ndani ya TAA kwa nia ya kukibadili chama kiwe chama cha siasa kamili wadai uhuru.
Hamza Mwapachu akamwambia Abdul Sykes amsaidie Nyerere achaguliwe ili mkakati huu wao ufanikiwe.
Aliporudi Dar es Salaam Abdul alifanya kama walivyokubaliana Nansio na Nyerere akapita uchaguzi ule lakini kwa kura chache sana.
Angalia video:
View: https://youtu.be/QKV-whFBnWY?si=ZtnHJjhUW1QvNWbB
Hata huo uchaguzi anaousema Lussu haukufanyika 1954 na haukuwa wa TANU. TANU ilikuwa haijaanzishwa bado.1954 CCM haikuwepo.
kufundisha dini na si revolutionary studies, mind that!kikuu cha Kiislam
Ikulu yenyewe ilikuwa chuo cha Waislam, Mjerumani akaifanya ikulu.Kuna wakati nikisikia kwamba Pwani (Waislam) hawakuwa na mwamko wa elimu napata tabu kidogo. Kwa mfano Zanzibar ilitoa wasomi wengi mno ambao wengi wao Karume aliwaogopa. Inakuaje ionekane hawakua na mwamko. Naamini kuna chezo lilichezwa. Ikumbukwe chuo kikuu cha Kiislam kilitaka kujengwa mapema sana kabla hata ya UDSM.
Katika Uislam hakuna somo lisilofundishwa.kufundisha dini na si revolutionary studies, mind that!
1953 kwenda Burma kufanya nini , kupingana pekee yake , vita ya pili ya Dunia 1944. Na ya Kwanza kabla ya hapo. Sasa hii ya 1953 ilikuwa ni ya niniPapaya,
1953 Abdul Sykes alikuwa amepata nafasi ya kuingia Princeton University, New Jersey.
Yeye alikuwa akasome Makerere lakini Waingereza wakamtia KAR na kumpeleka Burma.
Lakini hakwenda Princeton.
Abdul Sykes alikuwa A student.
Tujifunze historia za hawa wazalendo kwanza ndipo tujadili.
Madrasa ni ya watoto wadogo. Niko nao next door and some families are my close friends. Hakuna kitu kama hicho ulichokisema. Nina katoto ka shemeji zangu 5 yrs kanasoma madrasa, naona anachofundishwa na vibao vya kizamani vya kuandikia , ndio madaftari.Katika Uislam hakuna somo lisilofundishwa.
Masomo yote, unayoyajuwa na usiyoyajuwa yameanzia Madrassa.
Elimu mtu wanguKulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Na hakukuwa, na wiz wa kura!!Hapo ndipo nashangaa , kwamba Waislamu walimuona mwislamu mwenzako hafai wakamchagua Mkristo.
August,1953 kwenda Burma kufanya nini , kupingana pekee yake , vita ya pili ya Dunia 1944. Na ya Kwanza kabla ya hapo. Sasa hii ya 1953 ilikuwa ni ya nini