Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Jibu ni fupi tu, Hapakuwa na kubebana kama sasa hivi, uwezo wa mhusika ndio uliongea.
 
Hili ni swali zuri kwa FaizaFoxy na Mwenzake Mohamed Said wanaopenda kudanganya kuhusu Uislam na Uhuru wa Tanganyika kwa kuangaza Kariakoo as if Kariakoo ndiyo Tanganyika

Wamekuwa wanamdanganya Sana watu. Wameitengeza picha ya kwamba Nyerere aliachiwa tu, kumbe walifanya uchaguzi na kila mgombea alipewa muda wa kujieleza mbele ya wajumbe ndani ya ukumbi wa Anatoglou Ilala
 

haaaaaaaaa haaaaaaaaa! Mkuu pamoja na kuchekesha ila umeongea ukweli wa wazi kabisa.
 
Mzee Said Mohamed mtaalam wa Historia ya Mitaa ya Tandamti, Kongo na Msimbazi atatupa majibu soon!
 
Binafsi niligunduwa baadae kumbe aliyetuzidi wote ujanja alikuwa Muingereza, hata Ikulu Waingereza walimweka Nyerere kama kanyaboya tu.
. Mtawala wa Ikulu alikuwa mwanamke wa Kiingereza aitwae Joan Wicken.

Unalijuwa hilo?

Unapotosha Sana. Unataka kuniambia waingereza ndio walimchagua Nyerere pale Anatoglou?. Kuhusu Wickens yule alikuwa Katibu Mukhtasi na Wala hakuwa na mamlaka yoyote. Kumbuka baada tu ya kupata uhuru wasomi walikuwa wachache hivyo tulikopa waingereza watusaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…