Ilikuwaje Rais Samia akamwamini asiye mwaminifu?

Ilikuwaje Rais Samia akamwamini asiye mwaminifu?

Ikumbukwe, hata Hayati alimtema huyo mtu baada ya kugundua siyo mwaminifu na anao uraia wa USA na Tanzania.

Hoja hapa ilikuwaje Samia alishupaza kichwa na kumteua mtu asiye mwaminifu kwa Taifa letu na huenda ni asset wa Taifa lake pacha?!

Picha hapo chini zinajieleza bayana ni nani athaminiwaye kuliko mwenzake na mabeberu.

View attachment 2375504
View attachment 2375505
Aya ya kwanza tofautisha uraia na permanent residency. Nchi yetu haina uraia pacha
 
Kila kilichokataliwa na Magufuli kitabaki vilevile na kila kilichoinuliwa na Magufuli kitabaki vilevile.
mentol slave
collective EMBECILIZATION = Ujinga wa kihalaiki unakusumbua ..... pole sana kwa ndugu jamaaa na marafiki
 
Sasa huyo Kairuki aliye feli Wizara zote ana IQ gani ktk TAMISEMI??
Tangu lini viongozi Tanzania au Africa wanachaguliwa kwa IQ zao. Otherwise, akina Jaffo au Msukuma wasingekuwa hapo walipo
 
Back
Top Bottom