Ilikuwaje Rais Samia akamwamini asiye mwaminifu?

Aya ya kwanza tofautisha uraia na permanent residency. Nchi yetu haina uraia pacha
 
Kila kilichokataliwa na Magufuli kitabaki vilevile na kila kilichoinuliwa na Magufuli kitabaki vilevile.
mentol slave
collective EMBECILIZATION = Ujinga wa kihalaiki unakusumbua ..... pole sana kwa ndugu jamaaa na marafiki
 
Sasa huyo Kairuki aliye feli Wizara zote ana IQ gani ktk TAMISEMI??
Tangu lini viongozi Tanzania au Africa wanachaguliwa kwa IQ zao. Otherwise, akina Jaffo au Msukuma wasingekuwa hapo walipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…