Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Nilisha mla mke wa jamaa mpangaji mwenzangu. Mke wa jamaa dizain alinielewa muhuni sinaga maneno mengi .alianza kuonesha dalili flani iv za kunitaka kila akienda dukan akirud hata na pipi lazima anigongee anipe moja. Nikahofia nisije kutia maneno kumbe yeye anachukulia ubest tuu nikaharibu hali ya hewa . Nakumbuka mara ya kwanza kumla ilikua asubuh kaja kama kawaida anaazima brash akaoshee viatu vya mmewe nikamtania tuu karibu ndani leo na hamu kwel ya kumkumbatia mtu akaguna akaniuliza kukumbatia tuu nikamwambia huo unaeza kuwa funguo ya kufungulia mambo matamu zaid akacheka akataka anikumbatie pale aondoke nikam enjoy anaeza akarud ghafla mme wake akaingia kwel kanikumbatia tuu nikambusu shingon na kuanza kuinyonya nikaona mtu aniachii nimkumbatie tena upande wa pili nikapandisha ulimi sikion nilisikia miguno mtu akanilalia kabisa kifuani nikajua nimefungua ghala lake la ashki kilicho fuata kinajulikana. Ila sasa akawa anakuja speed had najistukia akipata mda tuu anakuja na ninavyo eshimiana na mmewe ikabid nihame tuu kabla kodi haijaisha.
Hahahaha
 
Hawaja kuotea wotee hao wenye wake zaoo mkuu?

Nina experience yakutosha kwenye Ubaharia mkuu. married women ni watam sana lakini pia umakini mkubwa unahitajika kama vile kwa wanafunzi wa shule pia umakini mkubwa unahitajika ukikosea step mara jela imekuhusu.
 
Unajua Babu Seya alifungwa kwa kosa gani? Baba na watoto wanaweza kuwabaka watoto wote wale bila majirani kugundua?
The Mafiki, yule jamaa unafikiri alikufa kwa kosa gani?
Mke wa mtu sumu. Utakula wake za wanyonge tu ila ambao siyo wanyonge wanakupitisha mbali
Huna kazi za kufanya? Mpaka mwanaume mzima upaparike kuiwekea ulinzi k..uma.
Tafuta hela kijana.
 
Ukitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane
Mkuu wanawake sio wa kuwaamini utakuja kuumia moyo bure we mchukulie poa tu usimlinde sana kama kutafunwa atatafunwa tu kuna watu wana mbinu za kutongoza hatari
 
[emoji28][emoji28]mi nilimla mwalimu wangu nivokuwa advanced
Wewe ishu zetu zimefanana.

Ukiweka mtiririko ilivyo kwenda kwenda hadi ukamwangusha, nami nitakuwekea ilivyokuwa.

Tena mimi alinidhuru kisaikolojia kipindi ananifundisha kuandika, nikabaki nalo moyoni.

'Nilivyoota mbawa' nikaona nianze naye tena kwa 'shikamoo'.
 
Huna kazi za kufanya? Mpaka mwanaume mzima upaparike kuiwekea ulinzi k..uma.
Tafuta hela kijana.
Hela zinatafutwa kila siku. Hata huyo mwenye jina lako anatafuta hela kila siku japo anautajiri wa kutisha ila maskini ndiyo utawasikia "tafuta hela kijana" japokuwa kila siku ni maskini. Kama wewe unatafuta hela mbona sijakuona kwenye orodha ya watu matajiri Tanzaniai?
 
Alikuwaga jirani yangu. Siku hiyo nimekutana nae njiani kaniomba hela. Nilikuwa nayo lakini nikamwambia sijatembea na hela labda twende home ukachukue.
Alivyoingia ndani baasi kazi ikawa rahisi. Kwanza nilikuwaga namtamani muda mrefu na alivyo na chura.
Naye alikuwa anakutaka pia.

Kama hauelewi jinsi wanawake wanavyotongoza wanaume, unaweza ukadhania alikuomba hela kweli!

Wengine mbinu wanazozitumia ni kukukopa hela, tena hela yenyewe kubwa ili u 'pay attention' wakati anakuzungusha kukulipa.

Eti alikuomba hela! Mwanamke manjiani from no where akuombe hela!
Huo ulikuwa ni mtego baba na ulinasa, wanawakw wana akili sana.
 
[emoji23][emoji23] Ni kweli maana baada ya hapo nilikuwa najilia tu. Yaani muda mwingine nimetulia tu home unashangaa nagongewa hodi.
Naye alikuwa anakutaka pia.

Kama hauelewi jinsi wanawake wanavyotongoza wanaume, unaweza ukadhania alikuomba hela kweli!

Wengine mbinu wanazozitumia ni kukukopa hela, tena hela yenyewe kubwa ili u 'pay attention' wakati anakuzungusha kukulipa.

Eti alikuomba hela! Mwanamke manjiani from no where akuombe hela!
Huo ulikuwa ni mtego baba na ulinasa, wanawakw wana akili sana.
 
Sasa Wewe unakuaje na uhakika na tabia za wengine hata utoe hukumu?
Kwani hawajulikani hao wanyaturu??
Nimetembea mikoa ya Manyara,Kondoa na Singida nawafaham fikka km ni watu wa kujirahisisha??
Unaulizaje bikra kwa malaya??
Mtu kwa kiasi kikubwa hutambulika kwa tabia ama hurka zake.
Hao makabila ndio hurka zao.
 
Kwani hawajulikani hao wanyaturu??
Nimetembea mikoa ya Manyara,Kondoa na Singida nawafaham fikka km ni watu wa kujirahisisha??
Unaulizaje bikra kwa malaya??
Mtu kwa kiasi kikubwa hutambulika kwa tabia ama hurka zake.
Hao makabila ndio hurka zao.
mkuu sehemu gani hasa na mimi niende
 
Wewe ishu zetu zimefanana.

Ukiweka mtiririko ilivyo kwenda kwenda hadi ukamwangusha, nami nitakuwekea ilivyokuwa.

Tena mimi alinidhuru kisaikolojia kipindi ananifundisha kuandika, nikabaki nalo moyoni.

'Nilivyoota mbawa' nikaona nianze naye tena kwa 'shikamoo'.
kivipi
 
kipindi muhuni niko zangu udom kuna dada alikua anapita kusuka wanachuo kwenye hosteli zao...mtoto mmoja wa kikurya black beauty anatako kama anachambia hamira..muhuni nikamueka sawaa akaelewaaa..khaaa mtoto alikua na ndogo kama tundu la pua...basi ikawa kabla ya kusuka dudu..baada ya kusuka anapewa dudu tamuu...baadae ndo akasema kua ni mke wa muarabu..nilivokumbuka waarabu walichukua babu zetu kama watumwa..kudadeki ndo nikawa namkunja kama fensi ya umeme..afu demu alintambulisha kwa bwana wake kua mi mdogo ake ..ingawa huyo jamaa hatukuonana..ila ilikua anaongea na mimi kupitia kwenye simu..siku mara paap nasikia demu anasema niko apa ribrary na shemeji yako anataka kukuona..nikasema niko ngongona uku mbali sana..mara jamaa akachukua simu akasema chukua bodaboda bwana kwa bei yoyote ntalipa..hapo sasaa machale ya tako yakanicheza...baadae akasema uko wap hufiki dogo..nikasema niko informatics..akasema nisubir hapohapo nakuja..nhapo ndipo nlipozima simu niokoe marinda....maana kesho yake demu alintafta kwa no nyingine akssema jamaa aliona text ya utata hivo ikabid aweke mtego..demu akasema alikua haogopi mi kupigwa maana anajua kua nlikua napga martial arts hatar..ila tatizo bwana wake ata ngumi hawez ila anamguu wa kuku...dah siku ile mazee ningekaangwa na chamoto..anyway ester popote ulipo nakupa hi sana mamilooo..
Mke wa mtu gonga mara moja au mbili lala mbele ukiweka kambi utaumia
 
Mkuu kwani wewe ni ngebo pia? Maana nilitaka adadavue jinsi alivyomuanza kumuimbisha mwalimu wake na kisha kupata alichokitaka.

Simulizi inaanza hivi, ingawa ni ndefu: Huyo mwalimu ndiye alinifundisha kuandika nikiwa darasa la kwanza.
Nimezaliwa 'mashoto', wakati naanza kujifunza kuandika nilikuwa natumia mkono wa kushoto.

Enzi hizo tulianza kujifunza kuandika kwa kuchora chini, mkitoka hapo mnapewa tablet za mbao na chaki na mkitoka hatua hiyo, mnaanza kutumia karatasi zenye line pana mchanganyiko na nyembamba pamoja na penseli maalumu zenye mrija mpana.

Kuhangaika kote huko, kuanzia kuchora chini, kuandikia ubao akawa ananipa tu ushirikiano na shoto langu.

Tulipofika hatua yakuanza kuandikia karatasi, akanigeuka kidhalilishaji.

Siku1 wakati nahangaika kuandika alikuja akanifinya kitoto, yaani mashavu yote kwa mikono miwili, akani'hook' juu kwa kutumia mashavu aliyonifinya kisha akanikita na konzi zito la adabu na kusindikiza kwa maneno...'nije nikuone tena unaandikia huo mkono wako wa mavi utaniona'...dah!

Ebanaeeh, alinivuruga kisaikolojia na kuanza kujilazimisha kuandikia mkono wa kulia, kifupi alinirudisha nyuma!

Kiukweli alinikomesha, maana nilijilazimisha hivohivo hadi nikazoea lakini mwandiko wangu sasa, ni mbovu hadi leo.

Moyoni halikunitoka hilo tendo na kupanga kwamba nitakapokuwa mkubwa na mimi atanikoma, hayo yalikuwa ni maneno tu ya ghadhabu, lakini sikujua nitamkomeshaje.

Mawazo hayo yalikuwa kama sala vile, maana nilipo maliza masomo na kupata kazi, tulikuja kukutana naye nishakuwa mkubwa nikamtongoza bila yeye kunifahamu background ya ninayemtongoza.

Alijikakamua kunibeza kwamba mi ni mdogo sana kwake, kwa nini namueleza upuuzi kama huo, maana nilianza kwa kumuamkia ....' shikamoo damkubwa'...

Nikakazia maneno yangu, kisha tukaishia kuwa wapenzi.

Nilichokuja kukigundua ni kwamba penzi kwa ajili ya kulipa kisasi ni tamu sana kuliko penzi la kawaida na usipokuwa makini linaweza kuvurugia 'future' zako.
 
Siku nilivyolala na mke wa mtu kiutani utani tu
Mwezi uliopita nilikuwa nasafiri kutoka Iringa kuelekea Jijini Dar Es salaam, kwa usafiri wa basi moja maarufu (jina kapuni).

Niliiingia ndani ya basi na kwenda kuketi kwenye siti yangu, baada ya dakika kadhaa akaja Mwanadada mmoja mwenye urembo wa wastani, na umbo moja maridhawa, huku nikiwa nimemkazia macho, alifika pale nilipo huku akiangalia tiketi yake mkononi, baada ya kunisalimu akaketi pembeni yangu na kutulia tuli.
Baada ya mwendo fulani safarini tukajikuta tumetumbukia kwenye stori za hapa na pale, stori zilienda kwa muda na mara kila mmoja akaanza kusinzia kwa wakati wake, nilipokuja kushtuka baadae nikamkuta bi Dada ameuchapa usingizi na wala hajitambui, baadae kidogo nami nilisinzia tena na kupotelea usingizini. kabla ya sote kushtuliwa na tangazo la Muhudumu wa Basi kwamba tunaingia hotelini kwa mapumziko ya dakika kumi pamoja na kupata chakula.

Baada ya msosi na kurudi kwenye basi mastori yalianza tena upya huku wote wawili tukiwa tumechangamka tofauti na pale awali, ndipo kwenye maongezi nilipogundua yeye ni mke wa Mtu mwenye Watoto wawili, na tena akanionyesha picha za wanafamilia wake alizokuwa nazo kwenye simu yake.

Ndipo la haula nilipogundua kuwa muda wote wa safari nilikuwa nimelala na Mke wa Mtu. Hakika tulifurahiana sana kwenye safari ile, huku stori zikinoga kadri tulipokuwa tunakaribia eneo la ubungo ambako ndio kituoni na mwisho wa safari yetu, tuliagana kwa bashasha huku tukitakiana kila la kheri kule tuendako.
Yaani wewe kiboko
 

Attachments

  • Enzi hizo.jpg
    Enzi hizo.jpg
    37.2 KB · Views: 14
Wanawake hawana formular kwani wapo ambao wanapewa mema yote ya nchi lakini bado wanachepuka tu. Kama mwanaume nasaka hela ili familia yangu ipate maisha bora,kama mwanamke hathamini jasho na damu yangu kwenye mishe ni kupiga chini tu.
Mmmmh,
mimi sina mengi ya kusema. ila nimewala sana hao wake za watu. Mwanzoni kabisa alitokea dada mmoja alinidanganya kuwa hajaolewa, mapenzi yalivyonoga nikagundua ana mume ila nikagundua wamepishana sana umri kiasi kwamba mke hanogewi kabisa na shughuli ya mumewe ila kavutwa na pesa. Baada ya yule sijui ndo ibilisi alifungua mlango, mpaka sasa hata sina idadi kamili maana wengine bado wapo kwenye list ndani ya wiki chache zijazo watakuwa nyavuni.

Tunapokemea kutembea na wake za watu tuwe tunatoa alternative au plan B ya kuokoa ndoa zetu. Wanawake wengi kwenye ndoa hawafikishwi kabisa kileleni na waume zao, stress za maisha, magonjwa kama kisukari, pombe, sigara, kukosa muda wa kupumzika, umbali, n.k. vyote vinasababisha wanawake washindwe kuvumilia. Nilikuwa nasikiaga tu habari ya mke wa mtu kumhonga mchepuko, mpaka pale ilipotokea live nilimpa shughuli akawa anapiz kwa kumwaga maji yanaruka shuka ikalowa. Akaja kuniuliza nafanyaje mpaka anakojoa vile kwani mumewe hajawahi kumfanyia vile hata goli moja kufika ni shida. Kuanzia pale nimekula sana pesa ya huyo mama wakati mwingine anampiga mzinga mumewe anakuja kuniletea.
 
Duh! Ww jamaa hatar lakn wewe hujawahi kumla mke wamtu?
Acha roho mbaya cha mtu huliwa na mtu..

Ila umeniogofya aisee!! Ila ukinifanyia hvyo mm lazma nilipize tu hata kwa kuteka na kukupoteza kabisa
Chamtu huliwa na mtu, chuma ndio huliwa na kutu
 
Back
Top Bottom