Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Shauri yako.Utatuona kwenye teevee tulivyojilaza kando ya vijito tunabugia mvinyo na kuwaangalia wanawali kwa matamanio makuu tu.Kufanya nini huko? Mi siendi na sitaki. Mkienda,baa zote zitabaki wazi,mifugo full. Magari yataachwa,vituo vya mafuta vitakuwepo,hotels nzuri zitabaki wazi. Kuna vidada vinajua huko vikienda havipokelewi,tutabaki wote tule raha. Ningekuwa na leseni ya kuendesha ndege,ningezunguuka dunia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ahhhhh wapi. Wanaohubili wenyewe wanadai kutakuwa na vivutio vingi,na kila kilichopo duniani,kule kitakuwepo. Si bora nikahangaike na hivi hivi navyoviona kuliko navyohadithiwa! Nikifika nkakuta bora huku? Si unasikiaga habari za mabikra 72!! Jiulize watu Bilioni moja wapewe mabikra hao. Hata lodge zitajaa. Mi siendi kukesha,kisa nafasi zimejaa. Hapana.Shauri yako.Utatuona kwenye teevee tulivyojilaza kando ya vijito tunabugia mvinyo na kuwaangalia wanawali kwa matamanio makuu tu.
Icho kinyundo mbele ya jina vina wekwa au ume jiwekea na vina maana gani ..maana naviona kwa modsKufanya nini huko? Mi siendi na sitaki. Mkienda,baa zote zitabaki wazi,mifugo full. Magari yataachwa,vituo vya mafuta vitakuwepo,hotels nzuri zitabaki wazi. Kuna vidada vinajua huko vikienda havipokelewi,tutabaki wote tule raha. Ningekuwa na leseni ya kuendesha ndege,ningezunguuka dunia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mara nyingi haya matukio hayapangwi mkuu.Nina moyo wa kukinai hata nikijua tu demu flani anamahusiano na flani huwa hisia juu yake zinakua hazipo tena.
unge anza wewe na kisa chako.. hata kama chaiKwenye zama hizi za uzinzi,na jf iliyosaidia kuondoa stress,kuna mengi. Najua wanawake ni wasiri sana,japo na wao wameangusha train nyingi sana.
Kuna wakati unajikuta umefanya jambo la aibu,kwa tamaa ya muda mfupi. Wapo waliokula kimasihara hata kwa wadada wadogo au single. Je, kwa mke wa mtu,ilikuwaje?!
Kipi hicho mkuu?Icho kinyundo mbele ya jina vina wekwa au ume jiwekea na vina maana gani ..maana naviona kwa mods
Visa huaga vingi mkuu. Sema tu walio wengi wanajifanya wakolinto,ila ukijumlisha matukio,utaishia kucheka tu.unge anza wewe na kisa chako.. hata kama chai
Acha ujinga we mtu wa chelsea35 people are here ukijumlisha na mimi
KipiIcho kinyundo mbele ya jina vina wekwa au ume jiwekea na vina maana gani ..maana naviona kwa mods
unataka na kisa kingine? Nishushe?We mbona haujasema ilikuaje......
Icho saivi naona kimetokaKipi hicho mkuu?
..Kutembea na mke wa mtu ikiwa unajua ni mke wa mtu hiyo sio tamaa bali ubaradhuli usiokuwa na kifani.
Na mwanamke anaeruhusu kulalwa na mwanaume mwingine ikiwa yeye ni mke wa mtu basi huyo amepoteza sifa zote za kuwa mke wa mtu.
Ndoa ni muungano takatifu.
Hicho wanawekewa ofisini kwa wakuu mzee. Wapo watu wenye majukumu furani kwenye threads.Icho saivi naona kimetoka
Ndo maana,kwenye ndoa za siku hizi,ni maigizo tu hakuna ndoa. Na wengi wao hujikalisha kimtego,wengine hukana ndoa zao,wengine hulalamiki hawapewi hiki na kile.Ila matukio ya kula wake za watu yanaacha maumivu na hatia kubwa saana moyoni.mara nyingi ni kama ajali na unamla huku hujamtongoza
YEye aligegedwa.We mbona haujasema ilikuaje......