Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Kufanya nini huko? Mi siendi na sitaki. Mkienda,baa zote zitabaki wazi,mifugo full. Magari yataachwa,vituo vya mafuta vitakuwepo,hotels nzuri zitabaki wazi. Kuna vidada vinajua huko vikienda havipokelewi,tutabaki wote tule raha. Ningekuwa na leseni ya kuendesha ndege,ningezunguuka dunia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shauri yako.Utatuona kwenye teevee tulivyojilaza kando ya vijito tunabugia mvinyo na kuwaangalia wanawali kwa matamanio makuu tu.
 
Shauri yako.Utatuona kwenye teevee tulivyojilaza kando ya vijito tunabugia mvinyo na kuwaangalia wanawali kwa matamanio makuu tu.
Ahhhhh wapi. Wanaohubili wenyewe wanadai kutakuwa na vivutio vingi,na kila kilichopo duniani,kule kitakuwepo. Si bora nikahangaike na hivi hivi navyoviona kuliko navyohadithiwa! Nikifika nkakuta bora huku? Si unasikiaga habari za mabikra 72!! Jiulize watu Bilioni moja wapewe mabikra hao. Hata lodge zitajaa. Mi siendi kukesha,kisa nafasi zimejaa. Hapana.
 
Kufanya nini huko? Mi siendi na sitaki. Mkienda,baa zote zitabaki wazi,mifugo full. Magari yataachwa,vituo vya mafuta vitakuwepo,hotels nzuri zitabaki wazi. Kuna vidada vinajua huko vikienda havipokelewi,tutabaki wote tule raha. Ningekuwa na leseni ya kuendesha ndege,ningezunguuka dunia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Icho kinyundo mbele ya jina vina wekwa au ume jiwekea na vina maana gani ..maana naviona kwa mods
 
Nina moyo wa kukinai hata nikijua tu demu flani anamahusiano na flani huwa hisia juu yake zinakua hazipo tena, hata nikiwa na mahusiano na mwanamke yeyote nikiona kuna dalili ya mtu mwingine kuwepo huwa nakaa pembeni mwenyewe nasubiri tu kupata uhakika ili ni sign-out mazima mi ni mzee wa kutoa ushindi kwa watu wengine kwenye mambo ya mahusiano sitaki kuvuruga mahusiano ya watu na yangu yakivurugwa huwa natoka wa kwanza.
 
Kwenye zama hizi za uzinzi,na jf iliyosaidia kuondoa stress,kuna mengi. Najua wanawake ni wasiri sana,japo na wao wameangusha train nyingi sana.
Kuna wakati unajikuta umefanya jambo la aibu,kwa tamaa ya muda mfupi. Wapo waliokula kimasihara hata kwa wadada wadogo au single. Je, kwa mke wa mtu,ilikuwaje?!
unge anza wewe na kisa chako.. hata kama chai
 

Attachments

  • Screenshot_20240802_185549.jpg
    Screenshot_20240802_185549.jpg
    66.8 KB · Views: 25
Kutembea na mke wa mtu ikiwa unajua ni mke wa mtu hiyo sio tamaa bali ubaradhuli usiokuwa na kifani.

Na mwanamke anaeruhusu kulalwa na mwanaume mwingine ikiwa yeye ni mke wa mtu basi huyo amepoteza sifa zote za kuwa mke wa mtu.

Ndoa ni muungano takatifu.
..
 
Ila matukio ya kula wake za watu yanaacha maumivu na hatia kubwa saana moyoni.mara nyingi ni kama ajali na unamla huku hujamtongoza
Ndo maana,kwenye ndoa za siku hizi,ni maigizo tu hakuna ndoa. Na wengi wao hujikalisha kimtego,wengine hukana ndoa zao,wengine hulalamiki hawapewi hiki na kile.
 
Back
Top Bottom