Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Leseni ya nn kaka wakati na wakaguzi wa hzo leseni watakuwa mbinguni.
 
hii inatakiwa ikae kule kwa rickboy.........
kwa wazee wa masihara
 
Ungeongezea kuwa ni watamu kinoma(mbunye ya wizi)🤣🤣🤣🤣🤣
 
vijana ndo tunapofeli hapo asee
umeoa kwahiari afu unamwacha tu mkeo humpi chochote
afu watu wa dizaini hiyo wakichapiwa wake zao wanakuwa mbogo
 
Mkeo kama ni mnywa pombe ama mpenda vihela vidogo vidogo au anapelekeshwa na vitu vidogo vidogo KULIWA WALA SIO JAMBO GENI na PIA TEGEMEA KUMEGEWA labda usijue tu.
Hao haooooo. Unakuta nyumbani wana kila kitu,lakini tamaa ya vitu vidogo vidogo haikosi. Mara vocha,mara juice,mara out na marafiki,ili awatambie ana buzi. Unategemea nini hapo? Na siku hizi ukila vya watu,na vyako huchakazwa. Sema tu wanaume walio wengi wangejenga ujasiri wa kuchukulia kawaida zikivuja.
 
vijana ndo tunapofeli hapo asee
umeoa kwahiari afu unamwacha tu mkeo humpi chochote
afu watu wa dizaini hiyo wakichapiwa wake zao wanakuwa mbogo
Usisahau na wengine,hawalidhiki. Af kuna kitu mnakwepa. Unaoa mtu keshapitiwa na njemba zaidi ya 50. Wewe ukiweka,anaanza kulinganisha na furani. Unategemea nini hapo?!
 
Nilidhani ni mimi tu ndiye niko hivi,kumbe tuko wengi.
 
Hivi unaanzaje? Ukisikia wanaofumaniwa wanachofanyiwa, kwangu hata damu kuzunguka haiwezi. Lakini kuna watu wanaendelea na mchezo huu, hawaogopi! Bodaboda mmoja alinisimulia hivi karibu kwamba "alishuhudia aliyefumaniwa (mwanaume) akifanyiwa kitu mbaya." Alisema wapambe wa mwenye mke walimtonya kwamba mzigo wake unalika gesti fulani. Alichokifanya mwenye mke (kwa maelezo ya bodaboda) alikwenda kutafuta wahuni wawili waliopinda akaongozana nao hadi kwenye hiyo gesti. Walipofika, wakawaweka chini ya ulinzi hao waliofumaniwa. Hawa wahuni wawili waliopinda wakamlawiti yule mwanaume mbele ya yule mtu wake aliyefumaniwa naye, alianza mmoja, kisha mwingine. Akasema walipomaliza wakachukua pikipiki wakampakia hadi nyumbani kwake. Walipofika, walimkuta mkewe huyo bwana wakamwambia mumeo tumemfumania na mke wa mtu na sisi tumemlawiti na tulipomaliza, tumeona tumlete hadi nyumbani, na asirudie tena. Kisha wakaondoka. Aliyenisimulia akasema, ingawa na yeye alikuwa akichepuka chepuka na wake za watu, baada ya tukio hilo anafikiria aachane na mchezo huo kabisa. Imagine! Sasa ukienda na mke wa mtu na uka'recall' tukio kama hilo, damu itazunguka vizuri kweli?
 
Kwa hiyo,ukaona wamemkomoa! Si ndio? Mwanaume mjinga,hawezi kucontrol hisia zake.
Mtu hujamkuta analia nyumbani kwako,aseme labda nimebakwa. Haya,kajipeleka mwenyewe,hujui wamekubaliana nini. Kosa la mwanaume hapo ni lipi? Kosa ni la mwanamke. Hujasema labda walipofumaniwa mwanamke alijibu nini. Mbele za watu akisema anatafuta alichokosa kwako? Hivi,unadhani miaka kama 100 huko nyuma fumanizi hazikuwepo? Ulizia watu wazima walitatua vipi changamoto hizo. Fedheha inaenda kwa mwenye kumegewa wala si kwa mmegaji kuu.

Ulimwengu wa sasa una yake. Na kwanza elewa. Mwanamke aliyewajua wanaume kabla ya kuhifadhiwa,hata umpe nini,atachepuka hata na chizi.
Na kumbuka,kuna wengine hutafuta mbinu za kuachwa kwa mtindo huo,baada ya kujaribu kila wanaloliweza na kugandwa na wenzao. Mwanaume kamili eti unaenda kumfumania mkeo. Huku kaipeleka mwenyewe?!
 
Wenye wake tunaumia sana kuzisoma nyuzi kama hizi. Ila sasa tutafanyaje? Waleni kistaarabu basi Wakuu.
Bora wewe. Cha kufanya,we kubali kwamba ujue,usijue,lazima ataliwa tu. Kilichopo,ni wewe kujiweka katika nafasi ambayo ukijua amegegedwa,utachukulia poa. Ni ngumu,lakini huna namna nyingine. Vinginevyo,kila siku utakuwa unawabadilisha. Kama mzinzi lakini ana hekima na busara? Ishi nae. Kama umeokota,komba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…