Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ukiona Mke wa mtu anasex na mtu mwingine fahamu kwamba ni mwanamke mwenyewe ameamua kufanya hivyo, tena kwa hiari yake mwenyewe.
Ndo jiulize eti mtu anaenda kuleta vurugu gesti. Unadhalilika,hela unatoa wahuni wanakula,mwanamke anatoloka anaenda kumuuguza mtu wake mliomfeshehesha,lakini hamuachi. Wangapi wanaishi u sababu wamezaliana na hawana mapenzi? Hunipendi,poa. Kama nguvu ya kuachana huna,kubali matokeo siku zisonge.
Wengine ataaga anaenda kumuona mgonjwa,kumbe anaenda kutibu genye. Analeta na wewe unapalamia. Waliolewa wa zamani,siyo wa siku hizi.
 
Mhu! Kabla hayajakukuta utasema hivyo, ukipatikana ndiyo utapata majibu ya hayo maswali yako unayouliza. Hujawahi kusikia wimbo unaosema "mapenzi yanaua?" Kuna clip moja X niliiona wiki iliyopita. Nadhani hilo tukio lilitokea Kenya +ukisikia accent. Dereva wa Uber alifumaniwa na mke wa mtu. Akala kichapo kwanza na makofi/ngumi maana midomo ilikuwa imevimba na akadungwa mikono. Halafu akaletewa chakula ale kwanza kabla ya round nyingine ya kichapo. Mwenye akawa anamuuliza alishalala naye mara ngapi, yeye akasema mara moja tu...Inaogopesha! Mimi siwezi kumwacha mke wangu nihangaike na mke wa mtu mwingine ambaye hata hujui ana maradhi gani ya kuambukiza!
 
Haya,kwani wanaogonga wengine si masela tu. Kwanza,kama upo kamili,unatakiwa ujichunguze na ujue chanzo cha yeye kuchepuka ni nini. Kama una mapungufu,jirekkebishe. Kama yapo nje ya uwezo wako,acha aliwe. Haya,mmatukio haya umeyaona. Unadhani wanaowala hawajawahi shuhudia mengine zaidi ya hilo?

Acha nikupe kisa kilichonikuta mie: siku moja,kuna jimama lina watoto watatu,mmoja mkubwa alikuwa na kama 12 years. Halikuwa na baba watoto. Siku ya kufa nyani,miti yote ndo kama unavosikiaga. Si likawa na jipu? Kwenye paja.. akamtuma mtoto huyo kutafuta soda umbali wa kilometa kama 2 hivi. Kumbe dogo sijui machale yakamcheza,hakufika. Sasa ile kuonyeshwa jipu,sebuleni,tupo wawili,mkono ukapanda mpaka kivulini,fasta,mlingoti ukatembea. Si anajua mtoto amemtuma atakuwa hata hajafika! Mlango umeegeshwa tu. Mara paaaap. Litoto hilo hapo,na sukumawiki inachumwa. Mzeee! Sema tu yasikie kwa mtu. Ingelikuwa ni mwenye mali,kama hajitambui,hakika unakoma.
 
Leseni ya nn kaka wakati na wakaguzi wa hzo leseni watakuwa mbinguni.
Hivi,mlidanganywa na nani? Hizi propaganda jamani.


Siku moja nilipita sehemu moja hivi,,kwenye ofisi za Voda. Jama anawachimba mikwale wale madogo wanaotembeza laini mtaani kwamba hawafanyi kazi,ohh mara hawajitumi ndo maana hawapati hela. Unajiuliza,mpaka laini ngapi,ili apate hela ya maana! Wanamfanyia kazi,yeye analipwa,af bado anawaponda.

Sasa na hilo,mtu anakusanya sadaka zake anakula na familia yake,af anaanza kuwadanganya wenzake kwamba wataenda mbinguni. Jamani.
 
Nikijua demu kaliwa na mtu fulani siwezi kumla kabisa.

Nina kinyaa hatari
 
Kumbe unajua, eh! Kuna watu wengine wanakata chombo kabisa, wanakulazimisha utafune na umalize na kisha wanakuachia uende na kipande kilichobaki. Sasa faida gani? Heri uridhike tu na mkeo bro, acha kuchepuka kabisa!
 
Cha muhimu nisikujue tu... mke anauma nyie.
 
Hii unayosimulia ni ngano zilizozoeleka. Kina Daudi, Suleman na samsoni walikuwa wanagonga wake za watu sana lakini bado Mungu alikuwa anawatokea kupitia manabii na mitume. Sembuse sisi mitume yetu ni kina mwamposa na kiboko ya wachawi.

Allah amfanyie wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS.
 
Mlaumu mkeo, sijambaka, yule ni mtu mzima mwenye akili timamu, k ni yake so akiamua kumpa mtu mwingine mlaumu yeye, mimi ni mlaji, chakula kikiwekwa mbele yangu nakitafuna.
Kama haujui ni mke wa mtu huwezi kuwa na kosa ila kama unajua basi nawewe uko na makosa... wanawake kuna muda wanaongozwa na hisia kuliko akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…