Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Kiongozi we ilikuwaje ukamgegeda mke wa mtu???
Usiseme hujawahi
32545ff5ae3628afad75f1c42cdcee39.jpg
 
Kuna jamaa mmoja( lile kabila bahili kabisa) alikua anafanya biashara ya mbao kitaani,
Za chini chini zikaanza kuenea kuwa jamaa anamtafuna mke wa rafiki yake ambaye pia ni mfanyabiashara wa mbao

Basi jamaa mwenye mke aliandaa safari ya mtego kuwa anafata mbao porini huko atakaa kama wiki mbili hivi

Huku nyuma tena siku ile ile jamaa likaenda kwa jamaa kula uroda , wapambe walikua kazini wakamtonya jamaa akaja chapu na mabaunsa wako full equiped na futa mgando

Inasemekana walikua mabaunsa watatu ,walimchimba choo jamaa sanaa mpaka chumba chote kikajaa nnya tu,

Alafu wakamuachia jamaa kwa aibu hakuripoti akakimbilia kwao kama miaka mitatu hivu baadae akarudi . FUNZO habari mbaya haiishi kabisa mana aliporudi tu stori zikaanza upyaaaa hata ambao walihamia mtaani wakapewa habari alitafunwa trako yule jamaa

Kwa sonona alijinyonga baada ya miaka mitatu ya tukio.

Nyie mnaokula wake za watu mnaamini wenzenu waliofumaniwa ni wajinga na hawana mbinu ila yakiwafika mtaomba Mungu na miungu yote
 
Back
Top Bottom