mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
Ninachojua ni kwamba kama ndoa zitaendelea kuwepo, kuchapiwa napo kutaendelea kuwepo.
Kubali, kataa.
Kubali, kataa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No problem ila uandaee makalio pale wazee watapohitaji chaoNinachojua ni kwamba kama ndoa zitaendelea kuwepo, kuchapiwa napo kutaendelea kuwepo.
Kubali, kataa.
Hahaha kaka utafingiwa hahahNi mwendo wa kuomba maji
hasara kwa wote😅No problem ila uandaee makalio pale wazee watapohitaji chao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kutishiwa kupigwa chupa za safari lager. LolNi mwendo wa kuomba maji
Hahahahah haya mkuu mwendo wa kuomba maji alafu unapewa chupa ya beer hahaha shauri yakohasara kwa wote😅
ila ndo maisha utafanyaje
Ila wale jamaa aisee demu anaomba maji alafu wanampa beer ili alegee zaidi au haha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kutishiwa kupigwa chupa za safari lager. Lol
Sawa endelea utaomba maji kama mwenzako.Ujinga mtupu, wewe utaishia jela na kukuacha huyo Malaya akiliwa.
Mimi siungi mkono uhuni wowote ila nawewe mwenyemke jiepushe na wivu wa kijinga huwezi miache Aishi maisha yake.Sawa endelea utaomba maji kama mwenzako.
Na wewe pia acha kula wake za watu. Mbona ni simple sanaMimi siungi mkono uhuni wowote ila nawewe mwenyemke jiepushe na wivu wa kijinga huwezi miache Aishi maisha yake.
Kiongozi we ilikuwaje ukamgegeda mke wa mtu???
Usiseme hujawahi
Aisee kwa kweli siku hizi telnolojia ni intelijensia toshaNatabiri kupitia ule uzi, kuna mtu atakuja kupoteza maisha au kupatwa na kubwa zaid, kuna wadau wazito wenye wake zao wanaunganisha nukta tuu
Au yamekukuta unatupatia usia
Vijana wanapenda kitonga alafu yakiwakuta utasikia MUNGU NISAIDIESio kwamba nina promote violence ila muda mwingine vijana tunajitakia wenyewe tu haya yote.
Vijana wako immature sana, porno zimejaa kichwani...