Tetesi sio ulete uongo mkuu, mleta uzi kapotosha makusudi kwa sababu zake mwenyewe,je hilo ndio jengo la CRDB la sasa? tuuache kuteteta upuuzi bana ,hizo ni chuki za kijinga.Ungejua maana ya neno tetesi usingecharuka, bado kiswahili kinatushinda.
Sasa kwani mimi ndio niliweka uwanja wa ndege wa kimataifa porini ?Una roho ya kichawi.....
Hv nikuulize Swali Chato ipo Tanzania au Kenya!!?
Ujinga mtupu,Magu alimtumbua Likwelile Halafu nafasi yake akampa mtoto wa dada yake Bwn. Dotto J.Huyu Vick ni hovyo tu kilichotokea ni hivi Vicky alikuwa hawara wa zamani sana wa Likwelile Wala Hakuwa mkewe.Akazaa na Likwelile mtoto mmoja wa nje ya ndoa Likwelile akiwa na mkewe na watoto
Baadaye kila mtu akaendelea na maisha yake Vicky Kamata kipindi Cha Kikwete akapata ubunge wa viti maalumu .Akiwa bungeni alipata mwanaume sio mbunge akapitisha kadi kwa wabunge kuwa kapata mume wa kumuoa wamchangie akachangiwa sana na wabunge pesa akawa anashika huyo anayeitwa mumewe mtarajiwa siku ikafika ya send off mwanaume akaingia mitini na pesa zote za michango ya wabunge na watu maarufu!! Ilimchanganya sana kuachika na pesa walichanga watu kuota mbawa!!!
Likwelile kipindi hicho keshatumbuliwa na akawa kafiwa na mkewe Ndipo Vicky akaamua kumrudia kipindi hicho Likwelile afya yake ilikuwa mgogoro.Alipokufa Ndipo Vicky akaanza kuleta za kuleta kutaka kudhulumu Mali za watoto wa Likwelile!!
Hapa anatafuta huruma feki ya Mama Samia.arudishe pesa za michango ya wabunge walizotapeli na huyo mumewe hewa Kama michango ya harusi hewa
Yeye na huyo mume hewa walipanga kutapeli mamilioni ya michango ya wabunge kwa harusi hewa
Sijaongelea Nani alimpa naongelea hicho alichoandika Vicky kamata as if she is a saint mwizi na tapeli aliyetapeli michango ya harusi hewa akishirikiana na tapeli lenzie lililojifanya eti mume mtarajiwa wa Vicky Kamata.Magufuli mwenyewe ni Kati ya watu waliotapeliwa na Vicky kamata kipindi kile akiwa waziri wa Kikwete kuchangia hiyo harusi hewa ya msukuma mwenzie Vicky Kamata.Alimtapeli Hadi msukuma mwenzie Magufuli akachangia ndoa hewa.Ndio maana kipindi kilichofuata alipigwa chini viti maalumuUjinga mtupu,Magu alimtumbua Likwelile Halafu nafasi yake akampa mtoto wa dada yake Bwn. Dotto J.
Kifo Tu ndicho kilimuweza,jamaa alikuwa strong sana Yule, angebaki miaka 20 mingine Duniani watu wangelia sana, alikuwa hafichi kama hakupendi anasema kabisa wazi ushughulikiweKila mtu akiamua kufunguka, jamaa anaweza fufuka
Mtoa mada bado sana na wala hujaanza wewe alianza Fatuma Karume upotoshaji huu na badae akajisahihisha.Hii ni tetesi mpya kutoka huko Chato, iliyokuwa benki ya CRDB sasa imegeuzwa kuwa Chato club, baada ya kifo cha hayati Magufuli. Mlioko huko ukweli ni upi?
View attachment 1976146
Nakuuliza, alivyotolewa Dr. Likwelile kwny hio nafasi,Magu alimpa Nani nafasi hio?Sijaongelea Nani alimpa naongelea hicho alichoandika Vicky kamata as if she is a saint mwizi na tapeli aliyetapeli michango ya harusi hewa akishirikiana na tapeli lenzie lililojifanya eti mume mtarajiwa wa Vicky Kamata.Magufuli mwenyewe ni Kati ya watu waliotapeliwa na Vicky kamata kipindi kile akiwa waziri wa Kikwete kuchangia hiyo harusi hewa ya msukuma mwenzie Vicky Kamata.Alimtapeli Hadi msukuma mwenzie Magufuli akachangia ndoa hewa.Ndio maana kipindi kilichofuata alipigwa chini viti maalumu
Ndio maana Diallo alisema jamaa alikua na file lake Milembe.Kifo Tu ndicho kilimuweza,jamaa alikuwa strong sana Yule, angebaki miaka 20 mingine Duniani watu wangelia sana, alikuwa hafichi kama hakupendi anasema kabisa wazi ushughulikiwe
Sina cheti Cha kuzaliwa Cha huyo mtu Wala ushahidi hebu tuwekee ushahidi wewe humu Kama huyo ni mtoto wa dada yake weka cheti Cha kuzaliwa Cha dada yake Magufuli na Cha huyo viweke humuNakuuliza, alivyotolewa Dr. Likwelile kwny hio nafasi,Magu alimpa Nani nafasi hio?
Sio kazi ya photo shop hii? Au hiyo club haijaanza shughuli mpaka ionekane iko tupu, nje hakuna dalili za kuonesha kuna shughuli zinaendelea, watu kupita, hata uchafu kama tulivyozoea mazingira yetu?Hii ni tetesi mpya kutoka huko Chato, iliyokuwa benki ya CRDB sasa imegeuzwa kuwa Chato club, baada ya kifo cha hayati Magufuli. Mlioko huko ukweli ni upi?
View attachment 1976146
Huoni kwamba nchi inafunguliwa......Sasa kwani mimi ndio niliweka uwanja wa ndege wa kimataifa porini ?
Danga lakini pia ana haki zake! Ukute wewe pia ni danga! Haya maisha hayana formulaHili danga , limekosa soko sasa
aisee Sasa huo ni mji au Kijiji duuu Huu wazimu aisee Chato ina tofauti Gani na Kijiji Cha Ubaruku Mbarali aiseee!
aisee Sasa huo ni mji au Kijiji duuu Huu wazimu aisee Chato ina tofauti Gani na Kijiji Cha Ubaruku Mbarali aiseee!
Yaaani huo ndio mji wanaotuambia una international airport?
Crdb hawajashindwa biashara, crdb walikuwa chato tokea 2008. Ila wslichofanya ni kujenga jengo jipya 2018.
By the way, sasa hivi crdb wapo karibu kila wilaya
Jazia nyama kwa faida ya wengi jamvinHuyu Vicky nae any amaze.
Alipotaka kuzulumu Mali za watoto wa mumewe haikuwa uonevu e?