cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,869
leta link usiogope kueleza ukweli prof walter j veith ndie nguli wa kuexpose hawa wachawi kwa research nyingi alizofanyaSource nyingingine very powerful ni Presentation yenye jina, "The secret behind secret societies," imeandaliwa na Prof. Walter J. Veith. inapatikana www.amaizingdiscoveries.org
Utafahamu ukweli mkuubwa na agenda ya msingi ambayo huijui ya his secret socities
Freemanson. Kwa Hapa bongo wako wainjilisti maarufu,Katoliki na uislamu ni sehemu ya hawa jamaa??.
yaap ushahidi huu hapa!Katoliki na uislamu ni sehemu ya hawa jamaa??.
Inaonesha wazi kabsa kuwa hufahamu kwamba hao conspiracy theorist ndio waliokufahamisha kwamba "there's GOD" na wakakupa materials za kimaandishi uwe unapitia pitia kidgo ili umfaham zaidi GOD. ukibisha ntashangaa sana.[/QUOTE
Wee jamaa wwe....daah ukiwa na nyundo kupigilia msumari kazi rahisi sana
Sio freemason wote ni illuminant lakini illuminant wengi ni Freemason, freemason unajiunga lakini kwa hiyari, illuminant mara nyingi mtu anazaliwa kutoka kwenye familia za kiiluminant , or chosen from any other family in very young age na kuwa trained, mpaka akijakuwa na akili anakuwa illuminant mtiifu sana.Illuminat ni hatua ya juu kabisa ya freemasons
Kuna vitu hujui kuhusu freemansonILUMINATI/FREEMASON hawakumsumbua Nyerere kwa sababu hakugusa madini wala mali zingine zilizo chini ya ardhi. Waliofuata ndiyo walikuwa wanaangaliwa nani angewafaa waanze mambo yao. Fahamu ya kuwa utajiri wa hii nchi wanaufahamu na wanajua uko wapi na kwa kiwango gani. Kinachoawasumbua sasa ni hawa Warusi na Wachina ambao wamejitokeza wazi wazi kuwapinga . Ona Putin alivyoonyesha utemi hapo Syria. Sasa wanataka mazungumzo. Kiboko ya hawa ni Russia na China wanawapinga na sera zao za udhalimu kwa nchi za dunia ya tatu. Kwa uelewa wangu. Naomba kusahihishwa.
Freemason ndo Base ya jamii zingine za siri yani ilianza wajenzi huru(masonic) halafu Baada ya kutanuka pakatokea jamii zingine zilikuwa na jamii za siri kwa vile tu waanzilishi hawakuwa na powerfull ya kujianika hadharani kwa sasa ni ndani ya masonic pametokea makundi mengine huru kabisa kama Illuminant,Skull and bones na Rosicrucian hakuna ushetani hapo hao jamaa ni free thinker hawako ndani ya maboxer kama wafia dini the good new ili uwe member ni lazima uamini ktk Mungu The Great architecture of the universe Tafsiri ya Mungu huku na kwenu ktk dini zenu ni differ hatuamini kuwa mungu ni mtu fulani kama mnavoaminishwa lakini pia jamii hzi ndo zimebeba ulimwengu bora na imara zaidi kwa kila nyanja tunahakikisha hatukosi watu makini,G.bush ni bonesmen hata raisi wetu wa awamu ya tatu ni member ktk jamii mojawapoIlluminat ni hatua ya juu kabisa ya freemasons
leta ukweli wako basi ili ufukie unayoyaita madanganyo yetu!Mnadanganyana tu hapa
Ufafanuzi safi ni wazi watu hawajui kuwa illuminant na freeemasonic ni jamii mbili tofauti japo nia moja. unaweza kuchambua zaidi Shetani ni mtu yupi? je umemsoma lucifer na kujua ni mtu wa aina gani na kwanini anawekwa katika kundi la shetani.?Freemasons na Illuminat ni vitu viwili tofauti,Illuminat ilianzia 1776 Bavaria Germany, Freemason imenzia London Uingereza mwaka 1717.Ila ideology zao zina fanana,japo kuwa wanafichaficha na kufunika..Mungu wao ambae wanapenda kumwita higher power ni shetani. Baadhi ya top dogs kati ya hizo organization wamekwisha kuonana na shetani live kwenda kuchukua order juu ya mambo ya kufanya.Kwa mfano familia ya Rothchilds ambao ndo familia tajiri kuliko zote duniani(wanamiliki mabenki makubwa yote duniani na mashirika ya fedha kama world bank na IMF wanachukua hela kutoka kwao),wao nyumbani kwao katika dining table,huwa kuna kiti kinaachwa wazi siku zote na hakikaliwi na mtu,maalumu kwaajili ya 'master Lucifer himself'..
Masonic wako mikoa mitano nchini Tanzania:- Arusha, kilimanjaro, Dae es salam sehemu mbili, Tanga na Mwanza. Kwa mujibu wa kalenda yao ya mwaka 2007.Where are they in Tanzania
Asante,Lucifer ndo shetani(Satan).Lakini sasa...Lucifer ni jina ambalo shetani alipewa na Mungu na alikuwa analitumia kuitwa na mungu na malaika wenzake kina Gabriel na Michael kabla hajaasi.Maana ya Lucifer maana yake ni anayeng'aa/mleta mwanga (Light bearer/bringer of dawn).Wakati Lucifer ameumbwa na mungu akiwa kama mmoja wa malaika wakuu watatu,alikuwa ni mzuri sana anayeng'aa,na tena ndo malaika aliekuwa na maarifa mengi na mjuvi wa mambo.Na tena yeye ndo alikuwa malaika mkuu zaidi ya wenzake wawili (Gabriel na Michael).Na ndo malaika aliekuwa karibu sana Mungu na anaejua siri nyingi..Hiyo ndo iliyosababisha akaanzisha kiburi na kuasi,kwasababu alitaka kumpindua Mungu katika ufalme na kusababisha vita kali sana iliyotokea mbinguni na shetani na wafuasi wake kupigwa na kutupwa chini.(Habari hizi zimeandikwa pia kwenye bible,kama sikosei marko au isaya).Sasa baada ya kuasi ndo akaondolewa jina hilo lenye kumsifu (Lucifer) na kupewa la Satan/shetani (mdanganyifu)Ufafanuzi safi ni wazi watu hawajui kuwa illuminant na freeemasonic ni jamii mbili tofauti japo nia moja. unaweza kuchambua zaidi Shetani ni mtu yupi? je umemsoma lucifer na kujua ni mtu wa aina gani na kwanini anawekwa katika kundi la shetani.?
Mkuu jamii za siri lucifer anatambulika kama mwalimu mzuri huyu kiumbe anajua mengi naalijaribu kumfundisha mwanadamu siri nyingi za ulimwengu, makundi ya dini yaliamua kumchafua na kumuweka ktk mabaya yani satanAsante,Lucifer ndo shetani(Satan).Lakini sasa...Lucifer ni jina ambalo shetani alipewa na Mungu na alikuwa analitumia kuitwa na mungu na malaika wenzake kina Gabriel na Michael kabla hajaasi.Maana ya Lucifer maana yake ni anayeng'aa/mleta mwanga (Light bearer/bringer of dawn).Wakati Lucifer ameumbwa na mungu akiwa kama mmoja wa malaika wakuu watatu,alikuwa ni mzuri sana anayeng'aa,na tena ndo malaika aliekuwa na maarifa mengi na mjuvi wa mambo.Na tena yeye ndo alikuwa malaika mkuu zaidi ya wenzake wawili (Gabriel na Michael).Na ndo malaika aliekuwa karibu sana Mungu na anaejua siri nyingi..Hiyo ndo iliyosababisha akaanzisha kiburi na kuasi,kwasababu alitaka kumpindua Mungu katika ufalme na kusababisha vita kali sana iliyotokea mbinguni na shetani na wafuasi wake kupigwa na kutupwa chini.(Habari hizi zimeandikwa pia kwenye bible,kama sikosei marko au isaya).Sasa baada ya kuasi ndo akaondolewa jina hilo lenye kumsifu (Lucifer) na kupewa la Satan/shetani (mdanganyifu)
Ni kweli aliasi..na kitendo cha mungu kumuumba binadamu kwa mfano wake na kumpenda Zaidi ilisababisha chuki ya shetani kwa binadamu ilikumharibia.Kwa hiyo hata kitendo cha shetani kumhadaa Adam na Hawa wale matunda kutoka katika mti wa kujua mema na mabaya ilikuwa ni mpango wake wafukuzwe katika bustani ya Eden waanze kutangatanga..kwahiyo sio mzuri kwa binadamu,japo illuminat na freemason wanataka kuwaaminisha watu hivyoMkuu jamii za siri lucifer anatambulika kama mwalimu mzuri huyu kiumbe anajua mengi naalijaribu kumfundisha mwanadamu siri nyingi za ulimwengu, makundi ya dini yaliamua kumchafua na kumuweka ktk mabaya yani satan
Nikitulia ntaleta Uzi juu ya Lucifer tumjadili poa sitasahau kukutag mkuuNi kweli aliasi..na kitendo cha mungu kumuumba binadamu kwa mfano wake na kumpenda Zaidi ilisababisha chuki ya shetani kwa binadamu ilikumharibia.Kwa hiyo hata kitendo cha shetani kumhadaa Adam na Hawa wale matunda kutoka katika mti wa kujua mema na mabaya ilikuwa ni mpango wake wafukuzwe katika bustani ya Eden waanze kutangatanga..kwahiyo sio mzuri kwa binadamu,japo illuminat na freemason wanataka kuwaaminisha watu hivyo