Katoliki na uislamu ni sehemu ya hawa jamaa??.
Freemanson. Kwa Hapa bongo wako wainjilisti maarufu,
mitume maarufu,
manabii maarufu,
wachungaji, waimba kwaya maarufu nchini, hadi wanafunzi secondary wa form two , wasanii wa bongo fleva.
Inasemekana katika kumu-initiate member mpya, wanamchoma na chuma cha moto kwenye mguu na kumwachia kovu.( kama ile style ya kumbramd ng'ombe kwaajili ya identification.)
Inasemekana ibada zao. Zinahusisha
Kukaa uchi kwenye majumba yao,
Kutukana(kukufuru) kwa njia saba jina la Mungu,
Kula damu za watu,
Kutoa kafara ndugu zao wa damu.
Kufanya ngono kwenye ibada zao.
Pia kuna kitengo maalumu cha kuulea ushoga. Ushoga ni pando la shetani. Dont doubt.
( ndio maana ulaya kuna makanisa mengi yenye kuuafiki ushoga utakuta yale makanisa yameanzishwa na hawa watu)
Na inasemekana ijumaa ndio siku yao ya kutoa kafara.
Kimsingi ukiona mtu anaimba kwaya lakini hayaishi yale anayoyaimba, huyo anAweza kua memba. Umaarufu wake usikuzuzue..usiwe na sympathy na uovu.
Inasemekana viongozi wa kidini walio member.
Mmoja yupo ubungo, mwenge na wengine wako mikocheni A. From kenya.
C&P.