nimekugongea ya saba binamu. mi huwa sizibanii ila basi tu. leo kama mod angekuwa kaziacha free ningezigonga hadi ufurahi, ila mara zitokee mara zipotee. ila usijali, kwa ajili ya GeOF KILA ANAEONGEA POINT YA KUMRUDISHA KIMWANA ZIZINI ANAKULA SENKS.[/QUOTE]
hahahahah!nimekubali nimekubali.wewe mwenzetu kabisa wewe.nitakupa kadi ya uanachama.
hivi unatumia BIA GANI?............muhudumu leta taska kwa mrembo hapa...!(ooh,off-topic?NO)
UMESHAU TUNACHUKUWA KWA JUMLA/KRETI KWA AJILI YA REDIO YA MKULIMA BENDI 12/FDEL80 MUZEE YA HELA NYINGI
He shost, leo ulikuwa busy nini, sijakuona mara kwa mara hapa kutoa upport kwa Geof, ila naamini tuko pamoja, FL1 is always here for people.jamani mwenzenu mpaka nili-MP ili abadilishe avatar lakini mwenyewe anaipenda sana sijui Mwanga huyu 🙂🙂🙂
SO FAR,
carmel na shemeji mmekuwa pamoja nami kwa siku yoote ya leo!nawashukuru sana.nawaahidi nitapigana kufa na kupona kuiokoa marriage yangu!
by the way:nitawaagizia raundi mbili ''spesho'',ninyi wawili na nguli na maji yake kwa ajili ya mazungumzo zaidi siku ya jumamosi
hehehehehe!mutu na BUFEE MINGI!tripu hii carmel atazima.na wewe mpwa sijui kama utainuka mezani!maanake hayo maji yalivyomengi hadi umalize katoni?LolUMESHAU TUNACHUKUWA KWA JUMLA/KRETI KWA AJILI YA REDIO YA MKULIMA BENDI 12/FDEL80 MUZEE YA HELA NYINGI
hahahahah!nimekubali nimekubali.wewe mwenzetu kabisa wewe.nitakupa kadi ya uanachama.
hivi unatumia BIA GANI?............muhudumu leta taska kwa mrembo hapa...!(ooh,off-topic?NO)
He shost, leo ulikuwa busy nini, sijakuona mara kwa mara hapa kutoa upport kwa Geof, ila naamini tuko pamoja, FL1 is always here for people.
Domokaya ananitisha kwa kweli, lakini i hope kaelewa.
Usijali Chrispin, mi nakunywaga KONYAGI huh!Ili mradi isiwe heineken kombora! Kanatoboaga mifuko sana kale afu kichwa hakipati chaji inayostahili.
FL1, shauriro we msubiri tu Chrispin atakuja sema hapa baba kashafanya mambo, ila mi sijasema. pole mamiimama leo afya yangu si njema sana ,mala headache mala kizunguzungu
uvivu wa kufanya kazi nachungulia na kutoka ,ila huyu Geoff katubania sisi offer we mwache wengine tunakunywa Togwa tu ...kikombe sh 500.00
hehehehehe!Ili mradi isiwe heineken kombora! Kanatoboaga mifuko sana kale afu kichwa hakipati chaji inayostahili.
Usijali Chrispin, mi nakunywaga KONYAGI huh!
mama leo afya yangu si njema sana ,mala headache mala kizunguzungu
uvivu wa kufanya kazi nachungulia na kutoka ,ila huyu Geoff katubania sisi offer we mwache wengine tunakunywa Togwa tu ...kikombe sh 500.00
yani ilikuwa nitoke saa tisa nikafanye mambo mengine ya kifamilia lakini nimesacrifice for you, am here until wadau mchoke kuchangia.SO FAR,
carmel na shemeji mmekuwa pamoja nami kwa siku yoote ya leo!nawashukuru sana.nawaahidi nitapigana kufa na kupona kuiokoa marriage yangu!
by the way:nitawaagizia raundi mbili ''spesho'',ninyi wawili na nguli na maji yake kwa ajili ya mazungumzo zaidi siku ya jumamosi
FL1, shauriro we msubiri tu Chrispin atakuja sema hapa baba kashafanya mambo, ila mi sijasema. pole mamii
mbaya zaid hubby si mtu wa maji sana, itakuwa aibu. ila ntajitahidi nisizidiweLol! angalia hubby asije akapelekewa mdondo. Wapwa wanamimina kileo kama mayi! Hahahaha!
shemeji naona umechapa KINYUMBANI KIDOGO!ngoja nimpigie dada ako nimsalimie.........1umenikumbusha neno!
nyamayao utakuwepo niku-piemu namna ya kujongea eneo la tukio?
haaa mbona ya ghali hivyo, banana shs 300...lol, get wel soon mami.
hahahahah!Thats a proof that you guys are now talking the same language! Mpigie mwambie kaka yake na mabinamu na wapwa zake wanamuomba asimkorofishe tena Geoff wetu. Hahaha! Leo bwashee utapakuliwa chakula kitamu sana cha usiku! Hahahaha! Naenda kunywa Serengeti kwa ajili ya afya yenu.