I'm going through hell!...should i keep going?

I'm going through hell!...should i keep going?

nimekugongea ya saba binamu. mi huwa sizibanii ila basi tu. leo kama mod angekuwa kaziacha free ningezigonga hadi ufurahi, ila mara zitokee mara zipotee. ila usijali, kwa ajili ya GeOF KILA ANAEONGEA POINT YA KUMRUDISHA KIMWANA ZIZINI ANAKULA SENKS.[/QUOTE]

hahahahah!nimekubali nimekubali.wewe mwenzetu kabisa wewe.nitakupa kadi ya uanachama.

hivi unatumia BIA GANI?............muhudumu leta taska kwa mrembo hapa...!(ooh,off-topic?NO)

UMESHAU TUNACHUKUWA KWA JUMLA/KRETI KWA AJILI YA REDIO YA MKULIMA BENDI 12/FDEL80 MUZEE YA HELA NYINGI
 
jamani mwenzenu mpaka nili-MP ili abadilishe avatar lakini mwenyewe anaipenda sana sijui Mwanga huyu 🙂🙂🙂
He shost, leo ulikuwa busy nini, sijakuona mara kwa mara hapa kutoa upport kwa Geof, ila naamini tuko pamoja, FL1 is always here for people.
Domokaya ananitisha kwa kweli, lakini i hope kaelewa.
 
SO FAR,
carmel na shemeji mmekuwa pamoja nami kwa siku yoote ya leo!nawashukuru sana.nawaahidi nitapigana kufa na kupona kuiokoa marriage yangu!

by the way:nitawaagizia raundi mbili ''spesho'',ninyi wawili na nguli na maji yake kwa ajili ya mazungumzo zaidi siku ya jumamosi


mbona wengine tumetengwa kwenye raundi jamani, uchoyo mbaya.....lol
 
hahahahah!nimekubali nimekubali.wewe mwenzetu kabisa wewe.nitakupa kadi ya uanachama.

hivi unatumia BIA GANI?............muhudumu leta taska kwa mrembo hapa...!(ooh,off-topic?NO)

Ili mradi isiwe heineken kombora! Kanatoboaga mifuko sana kale afu kichwa hakipati chaji inayostahili.
 
He shost, leo ulikuwa busy nini, sijakuona mara kwa mara hapa kutoa upport kwa Geof, ila naamini tuko pamoja, FL1 is always here for people.
Domokaya ananitisha kwa kweli, lakini i hope kaelewa.

mama leo afya yangu si njema sana ,mala headache mala kizunguzungu
uvivu wa kufanya kazi nachungulia na kutoka ,ila huyu Geoff katubania sisi offer we mwache wengine tunakunywa Togwa tu ...kikombe sh 500.00
 
mama leo afya yangu si njema sana ,mala headache mala kizunguzungu
uvivu wa kufanya kazi nachungulia na kutoka ,ila huyu Geoff katubania sisi offer we mwache wengine tunakunywa Togwa tu ...kikombe sh 500.00
FL1, shauriro we msubiri tu Chrispin atakuja sema hapa baba kashafanya mambo, ila mi sijasema. pole mamii
 
Ili mradi isiwe heineken kombora! Kanatoboaga mifuko sana kale afu kichwa hakipati chaji inayostahili.
hehehehehe!
kale mimi sitamnunulia.hakika akinywa kale itabidi anipi-emu nikazibebe mlimani siti halafu nitamuwekea kwenye kipima joto awe anazichomoa taratibu
 
mama leo afya yangu si njema sana ,mala headache mala kizunguzungu
uvivu wa kufanya kazi nachungulia na kutoka ,ila huyu Geoff katubania sisi offer we mwache wengine tunakunywa Togwa tu ...kikombe sh 500.00

haaa mbona ya ghali hivyo, banana shs 300...lol, get wel soon mami.
 
Lol! angalia hubby asije akapelekewa mdondo. Wapwa wanamimina kileo kama mayi! Hahahaha!
shemeji naona umechapa KINYUMBANI KIDOGO!ngoja nimpigie dada ako nimsalimie.........1umenikumbusha neno!
 
SO FAR,
carmel na shemeji mmekuwa pamoja nami kwa siku yoote ya leo!nawashukuru sana.nawaahidi nitapigana kufa na kupona kuiokoa marriage yangu!

by the way:nitawaagizia raundi mbili ''spesho'',ninyi wawili na nguli na maji yake kwa ajili ya mazungumzo zaidi siku ya jumamosi
yani ilikuwa nitoke saa tisa nikafanye mambo mengine ya kifamilia lakini nimesacrifice for you, am here until wadau mchoke kuchangia.
Hii inaonyesha jinsi gani navyofagilia na kuheshimu ndoa za watu,. I also feel proud to be part of the solution.🙄
 
FL1, shauriro we msubiri tu Chrispin atakuja sema hapa baba kashafanya mambo, ila mi sijasema. pole mamii

thanks madame hope by tommorow will be in good condition
inawezekana ni habari gani tena 🙂
 
shemeji naona umechapa KINYUMBANI KIDOGO!ngoja nimpigie dada ako nimsalimie.........1umenikumbusha neno!

Thats a proof that you guys are now talking the same language! Mpigie mwambie kaka yake na mabinamu na wapwa zake wanamuomba asimkorofishe tena Geoff wetu. Hahaha! Leo bwashee utapakuliwa chakula kitamu sana cha usiku! Hahahaha! Naenda kunywa Serengeti kwa ajili ya afya yenu.
 
Thats a proof that you guys are now talking the same language! Mpigie mwambie kaka yake na mabinamu na wapwa zake wanamuomba asimkorofishe tena Geoff wetu. Hahaha! Leo bwashee utapakuliwa chakula kitamu sana cha usiku! Hahahaha! Naenda kunywa Serengeti kwa ajili ya afya yenu.
hahahahah!
RESPECT
 
Back
Top Bottom