Wanipa Hi au wanistopisha princess wa mimi,[emoji2320][emoji2320][emoji2320][emoji2320]
Nakupa hi mimi jamani
Asante princess, habari ya wewe...!Nakupa hi mimi jamani
Safi kabisaa jamani dear!!Asante princess, habari ya wewe...!
Mbona nipo locked tayari, nawachagiza tu vijana kwenye arena, kwani we utapenda nikutafutie bi'mdogo.Safi kabisaa jamani dear!!
Nakuona kwenye fursa
Siku ukimtafuta ndo siku nitayoenda kwetu!Mbona nipo locked tayari, nawachagiza tu vijana kwenye arena, kwani we utapenda nikutafutie bi'mdogo.
Mi nakuangalia tuUsianze maneno yako " ooh wanaume wote ni sawa". Mi nataka picha tu nione kama anafaa nimkonekti na mdg wangu marioo
Lakini nikitombi balaaaPM.
Sina mambo mengi, mimi mkaa ndani tu.
Sinywi Pombe, Sivuti Sigara, Sibet, Si Shabiki Saana Wa Kitu Chochote Hata Mpira, Niko Fair Na Mvumilivu, Napenda Kufikiri, Sili Sana.
Napenda Maisha Ya Kiasi.
- Udhaifu Wangu.
Nina Huruma Sana Hivyo Dharau Ikiwa Too Much Huwa Nakasirika Sana.
Ni Mvivu Sana Kupika na Kufua
Mimi muislam nipo tayari kukuoa ila utakua mke wa pili nitakupenda sana na kukujali.Karibu pmHabari,Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30.Ni mwajiriwa na Nina elimu kiasi.Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe muwazi
Awe na Nia ya dhati.
Karibuni Pm.
Never under the sun!Kuwa mke wa pili upo tiyari?? Mwulize huyu wa kwanza, atakueleza miaka zaidi ya 12 na hajawahi kujutia ndoa yetu. Natamani wa pili kwa sababu, kila siku pilau tuuu hapana, hata wali mweupe ni badiliko la chakula chetu mchele. Ni hilo tu limenisumbua na suria/mchepuko siutaki nataka uwe milki yangu.
Chonde chonde, usijekuwa kicheche na msemaji ka chiriku. usijekuwa fundi vifungo yaani ukiuangalia mfuko vifungo hukatika vyenyewe. Pia usije kuwa mpenda watoto wengi. Nikikupa 2 tu wanatosha.
Njoo PM tuyajenge, kabla mwezi February, 2020 upo nyumbani