Image ya saini ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere


Mambo ya kisheria hayaendi hivyo. Maana ya kuwekwa sahihi ni kuwa alieweka sahihi anakubali yaliyoandikwa. Sasa kama huna uhakika wa sahihi uhakika wa kilichoandikwa utapatikana vipi?

Kuhusu muda na kubadilika maandishi nakubaliana nawe lakini basi na iletwe document nyengine aliyoisaini kipindi hicho nyuma zilinganishwe!
 

Ulishawahi kumuona kiongozi wa Tanzania akajali dini? Huoni ni udhaifu wa imani kumuhusisha mungu na upuuzi wao! Yeye Nahodha anapopiga makelele ya Mapinduzi daima aliyaona hata akayakubali?
 
Zijadiliwe contents zilizosainiwa na nani ikiwa sahihi si yake? Uhalali na maana ya kujadiliwa unakuja kwa kuzingatia maamuzi ya wahusika wawili tu Nyerere na Karume!
 
hahahahah! ama kweli! hivi ni kwa nini mambo haya yanatokea? je ni kweli hizo ndo sahihi za Mwalimu.
 
Zote zake hizo.

Nilibishana na wafanyakazi wa NBC Morogoro mwezi uliopita nilipoenda kuchukua pesa dirishani wakasema sahihi ipo tofauti na ya kwenye database yao,nikawaambia hiyo ilikuwa mwaka 2007 leo 2014 mnatarajia nini.??!!
Chochote kinawezekana,sahihi inaweza kubadilika muda wowote ndo maana watu makini hutumia Finger print hata baada ya kupiga sahihi kwenye nyaraka muhimu.
 
Zijadiliwe contents zilizosainiwa na nani ikiwa sahihi si yake? Uhalali na maana ya kujadiliwa unakuja kwa kuzingatia maamuzi ya wahusika wawili tu Nyerere na Karume!

Huna uwezo wa kutambua kitu kilichoghushiwa kama hujawahi kuona kitu halisi kinafananaje.

Suala la Sahihi za Mwl kupishana hata kwenye Hati mbalimbali ambazo Mwl alisaini ukichunguza utakuta tofauti kidogo. Chukua Peni na Karatasi then weka saini zisizopungua Tano halafu zichunguze kwa umakini utakuta kuna Slight difference na Ndio maana wataalamu wa saini wakifanya uchunguzi wa Sahihi hawa base kwenye Mikunjo ya Herufi bali Mgandamizo wa Mtu anae saini

Watu wa Bank mara nyingi sana huingia kwenye Mizozo na Wateja kwa kulazimisha Sahihi za wateja zifanane na zilizopo kwenye Data base yao kwa 100% kitu ambacho ni kigumu hata wao wenyewe wakiambiwa warudie.
 

Ndugu yangu usitake kulifanya swala la Nyerere kuwa tofauti na hali nyengine. Ni mara ngapi wameeitwa wataalamu wa maandishi kuthibitisha sahihi kwa hivyo haiwezi kuwa tofauti na kesi hii. Iwapo kuna utata basi ufanyike uchunguzi au wewe kama wewe huamini kuwa watu hughushi sahihi?
 
Ipi ni saini yake ya kweli ???

Hata ukiangalia kwenye herufi J, u, na l kunatofauti ya kuona kwa macho bila kutegemea microscopic device. Sasa huyo aliyefoji hiyo dokumaa anachukuliwa hatua gani? Hiyo dokumaa si mali ya serikali?
 
Hata ukiangalia kwenye herufi J, u, na l kunatofauti ya kuona kwa macho bila kutegemea microscopic device. Sasa huyo aliyefoji hiyo dokumaa anachukuliwa hatua gani? Hiyo dokumaa si mali ya serikali?

Inasikitisha kuona tunajadili upuuzi... sahh zinabadilika kutegemea na nyakati pamoja na mikao.
Ukiandika umekaa itatua tofaut na ya kusimama.

Sahih ya mwaka jana kuna uwezekano isiwe sawa na ya mwaka huu.
Huo mkasa umenikuta bank ya exim juzi bank teller anazngua kunipa hela kisa sahihi zimetofautiana.

Mkono si sawa na photocopy machine kiasi kwamba utende sawa kila wakati.

Msiwe mnajitoa ufahamu kutetea ujinga usiokuwa na mashiko wala tija kwa taifa.
Nyie ndo mnachangia hii nchi ionekane imejaza wapumbavu na wajinga lundo.
 
Ipi ni saini yake ya kweli ???

Hii yote ni uovu wa ma-ccm tu ktk kulazimishia kutawala umma wa tanganyika na zbar kwa kulazimisha chini ya muungano mfu wa magumashi...watashindwa siku sii nyingi zijazo...
Sala ya kuombea waovu hawa ma-Ccm yanayoipinga kauli ya umma wa watanganyika...naomba tusali wote.
.Eeee Muumba wetu tuletee Tanganyika yetu haraka...waangamize waovu hawa na wote wanaoificha nchi yako uliyowaandalia watoto wako na wajukuu wa Tanganyika...watumbukize waovu hawa ktk shimo la Giza ...wasirejee nyuma kujitambua kamwe...wavuruge kama ulivyowavuruga waovu wale ktk mnara wa babel...hadi taifa lako jipya la Tanganyika lijikomboe na liwe huru daima na milelee..amina!...wote tuseme aaaamen...amen!
 
na wewe ni majanga tu kama binamu yako! mbona hujamuelewa kikwete anayeupigania muungano?

Kila Mtanzania ana haki ya kutoa maoni yake, usifikiri kuwa Kikwete ni alien.

Mimi binafsi muungano ukiwepo sawa usipokuwepo ndio kheri, nimeishi kwenye muungano kabla ya huu feki. Muungano ulikuwa ni ule wa asili na asili, kati ya Zanzibar na Tanganyika si huu feki wa Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…