Sasa siye tutajuaje sahihi halisi ya Kambarage? Kwa faida gani?
Nawe unauliza yasiyo na maana nawe kwa faida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa siye tutajuaje sahihi halisi ya Kambarage? Kwa faida gani?
Eee Mungu Kama ukiona ni Bora mwalimu kufufuka aje atuondolee utata huu yote yatakuwa mapenzi yako.
simpo, Ipi saini sahihi, iwapo unaweza kuamuwa!Hoja ni nini hapa au unataka kupata au kujua nii hasa we mleta mada.
Hivi nini maana ya sahihi? Mimi nikiangalia naona ni majina mawili, la kwanza na la mwisho lile la katikati kaliandika kwa ufupi yaani kwa kutumia herufi ya kwanza ya jina Kambarage hivyo ukiangalia inasomeka "Julius K. Nyerere" Sasa majina hayo ndiyo sahihi? Kwakuwa tarehe za kuandikwa ni tofauti huenda tofauti ndogo zisikosekane. Katika hilo mimi nafikiri la muhimu ni kuangalia content kama ni valid badala ya kudeal na sahihi tu
Hahahahaaa kutoka posho,wazi&siri, tatu na mbili mpaka saini filamu hii nzuri sana
zote saini zilizopo hapo Bingeni ni Fake km zilisaini Document yeyote ya Muungano )fuatilia Taarifa za Habari za Kituo cha ITV LEO 02/04/2014![]()
Kamati za Bunge la Katiba leo zimecharuka na hata Sendeka kajiumauma
Waandishi wamembana Nahodha ambye ni Mwenyekiti wa Kamati mojawapo kuhusu hizo saini na kujiumauma kwa Pius Msekwa kuwa hazikumbuki vizuri kwa hiyo hizo Hati za Muungano sizo zenyewe kabisa kwani Kituo cha ITV kimeonesha kituko chote kizima.
FUNNY enough Nahodha kawauliza Waandishi waliomkabili na maswali
km Kiongozi mkubwa wa Serukali na DINI akipayuka hivyo ujue kabanwa na ukweli anaujua
Nchi imefika pabaya
FaizaFoxy, ipi ya sober na ipi ya ganja?Zote zake hizo, ikitegemea na mood na kama alisha choma au bado.
Jee utatupatia tukikueleza?mnaitaka ya nini?
Zijadiliwe contents zilizosainiwa na nani ikiwa sahihi si yake? Uhalali na maana ya kujadiliwa unakuja kwa kuzingatia maamuzi ya wahusika wawili tu Nyerere na Karume!Hata wewe mleta uzi, ukichunguza vizuri sahihi zako utakuta zina slight difference, sahihi sio nakala ( Copy) kiasi cha kulazimisha kuwa zipo sawa kila kitu. Hata ukichukua sahihi za Mwl kwenye masuala mbalimbali ambayo hayatiliwi shaka ukichunguza unaweza kukuta slight diffrence kama hizo. Cha msingi cha kujadili ni hizo Contents za mkataba wenyewe badala ya kuleta ubishi kwa mambo ambayo ku prove itachukua muda kama vile ubishi wa kikanuni kwenye bunge.
Zijadiliwe contents zilizosainiwa na nani ikiwa sahihi si yake? Uhalali na maana ya kujadiliwa unakuja kwa kuzingatia maamuzi ya wahusika wawili tu Nyerere na Karume!
Huna uwezo wa kutambua kitu kilichoghushiwa kama hujawahi kuona kitu halisi kinafananaje.
Suala la Sahihi za Mwl kupishana hata kwenye Hati mbalimbali ambazo Mwl alisaini ukichunguza utakuta tofauti kidogo. Chukua Peni na Karatasi then weka saini zisizopungua Tano halafu zichunguze kwa umakini utakuta kuna Slight difference na Ndio maana wataalamu wa saini wakifanya uchunguzi wa Sahihi hawa base kwenye Mikunjo ya Herufi bali Mgandamizo wa Mtu anae saini
Ipi ni saini yake ya kweli ???![]()
Hata ukiangalia kwenye herufi J, u, na l kunatofauti ya kuona kwa macho bila kutegemea microscopic device. Sasa huyo aliyefoji hiyo dokumaa anachukuliwa hatua gani? Hiyo dokumaa si mali ya serikali?
Ipi ni saini yake ya kweli ???![]()
na wewe ni majanga tu kama binamu yako! mbona hujamuelewa kikwete anayeupigania muungano?
FaizaFoxy, ipi ya sober na ipi ya ganja?