Bavicha kwa uongo,hata shetani anawashangaMaana nyepesi ubeberu au beberu kama inavyotumika kwa muktadha wa siasa ni ADUI au UADUI.
Je, tujiulize hapa kwetu tz hatuna mifumo ya kibeberu makazini, kwa wakulima au kwenye biashara?
Kimsingi ukifuatilia hata kwenye biashara ya mchicha ambao huwatunawaona wakinamama wakipitisha mchicha majumbani mwetu ukifuatilia utagundua kuna ubeberu ndani yake.
Silaha kubwa ya dunia ya sasa ni mahusiano , zama hizi neno beberu halina nafasi hata kama tabia/ mfumo bado upo.
Mkuu 'lukoma' umeanzisha mada ambayo ni nzito kwa wengi wetu hapa, sijui kama hii itapata mjadala wa kutosha.Maana nyepesi ubeberu au beberu kama inavyotumika kwa muktadha wa siasa ni ADUI au UADUI.
Je, tujiulize hapa kwetu tz hatuna mifumo ya kibeberu makazini, kwa wakulima au kwenye biashara?
Kimsingi ukifuatilia hata kwenye biashara ya mchicha ambao huwatunawaona wakinamama wakipitisha mchicha majumbani mwetu ukifuatilia utagundua kuna ubeberu ndani yake.
Silaha kubwa ya dunia ya sasa ni mahusiano , zama hizi neno beberu halina nafasi hata kama tabia/ mfumo bado upo.
Na huu hapa:Chadema hatuwashangai mkiona mizungu meno yote nje sijui inawapa nn
Tumebaki kuwa watu wa aina hii hapa JF, huku tukitumaini kuchangia mawazo chanya kwa nchi yetu!Ni ujinga kudhani Mabeberu yatakupenda wewe anayekupangia mipango ya kukuua kwa ukimwi na ebola
Ujinga ni mzigo kwa Chadema
Inatuparia,Arv,Net na miundo ya mji wa dar wanajenga wao,Chadema hatuwashangai mkiona mizungu meno yote nje sijui inawapa nn
Nyie ndo mnasababisha litumike...Acheni kuwalamba lamba miguu na kutia huruma.
Hata kama tunawategemea baadhi ya asilimia ila sio kuwaangukia hivyo... Halafu nadhani wanaotushika sana mkono kwenye budget huwa wa Scandinavia ambao hawana hata shida sana.Budget yetu tunajitegemea kwa asilimia ngapi saiv ... tuanzie hapo
Ni lugha ya watu masikini kuhalalisha umasikini wao kwa kuwatupia lawama matajiri wakiaminishwa umasikini umeletwa na matajiriMaana nyepesi ubeberu au beberu kama inavyotumika kwa muktadha wa siasa ni ADUI au UADUI.
Je, tujiulize hapa kwetu tz hatuna mifumo ya kibeberu makazini, kwa wakulima au kwenye biashara?
Kimsingi ukifuatilia hata kwenye biashara ya mchicha ambao huwatunawaona wakinamama wakipitisha mchicha majumbani mwetu ukifuatilia utagundua kuna ubeberu ndani yake.
Silaha kubwa ya dunia ya sasa ni mahusiano , zama hizi neno beberu halina nafasi hata kama tabia/ mfumo bado upo.
Akikupa misaada anaitwa mfadhiliNi ujinga kudhani Mabeberu yatakupenda wewe anayekupangia mipango ya kukuua kwa ukimwi na ebola
Ujinga ni mzigo kwa Chadema