Imagine karne ya 21 kiongozi anatumia neno Mabeberu kama silaha. Anajua kweli ubeberu upo hata kwenye biashara ya mchicha hapa nchini?

Imagine karne ya 21 kiongozi anatumia neno Mabeberu kama silaha. Anajua kweli ubeberu upo hata kwenye biashara ya mchicha hapa nchini?

Mabeberu ni wimbo wa watu walioshindwa kuzishughulisha akili zao kutatua changamoto za Jamii hivo utafuta huruma ya wananchi wasibebe lawama ya kushindwa hili tumeliona hata kwa Nyerere aliposhindwa kuinua uchumi Hali akiwa na kila kitu akawatupia mzigo wa lawama mabeberu
 
Back
Top Bottom