Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
after unknowingly wedding a fellow man in Islamic culture (Nikah).
With that being the case, then the case is DISMISSED. The Imam is free "to go"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
after unknowingly wedding a fellow man in Islamic culture (Nikah).
Ficha upumbavu wakona ukute huyo Imamu ana sababu za kisheria kwa mujibu wa.................. kufanya hivyo
Kina Joshua na Richard mna mambo, mpaka mmejigeuza wanawake. Khaaa!
Acha kuutetea uovu we mwanamke. Umewahi kuolewa hata mara moja ukaachika?? Jiulize, uchumba ulichukua masaa mangapi au ilikuwa ndoa ya mkeka?? Iweje mwanamume rijali uliyempenda mwanamke hadi ndoa ukae naye 2 weeks bila kumjua?? Tukisema nyiye wamama wa kiislam mnafanyiwa maovu kimya kimya mnatukana watu. Basi huyu Imaam alinogewa na hayo mambo akaona aweke ndani kabisa na kuhalalisha kwa ndoa.Kina Joshua na Richard mna mambo, mpaka mmejigeuza wanawake. Khaaa!
Ndio michezo yao hiyo... Hapo anazuga tu baada ya kushtukiwa
Kina Richard mna mambo, mmembambikia imam.
Nyie ni hatari sana.
Kina Richard mna mambo, mmembambikia imam.
Nyie ni hatari sana.
Imam kutuhumiwa tu kuoa Mwanaume mwenzie imekuwa breaking news, ingekuwa upande wa pili ingekuwa Habari ya page za katikati ya Gazeti kwa kuwa huko ni kawaida
Huo ndio mchezo wa Mapadri, makasisi, wachungaji nk, wa makanisa, hebu angalia hapo baadhi yao:-
View attachment 1322312
Hahah hii Mambasa au Zanziber sheikh hahaNjoo Gavana [emoji44] kutoka DUFU MOTO hadi ndoa YA kisilamu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji44][emoji12]View attachment 1322298
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya yote unayoyaweka, hayampi uhalali "Sheikh" kwa hicho alichokifanya, tena ukichukulia ni Mwana-Afrika Mashariki Mwenzetu. Hao unaowataja wako mbali saana.
Pole mimi pole nikupe wewe, unaonesha hata story hujaisoma au hujaielewa, hapo Richard kajifanya mwanamke akajipeleka kuolewa na imamu, mna laana nyinyi, si bure.
Usiwe poyoyo, Richard alikuwa hajifunui. Hahaha, bi Richard alifikiri yupo kwa makasisi na mapadri.Acha kuutetea uovu we mwanamke. Umewahi kuolewa hata mara moja ukaachika?? Jiulize, uchumba ulichukua masaa mangapi au ilikuwa ndoa ya mkeka?? Iweje mwanamume rijali uliyempenda mwanamke hadi ndoa ukae naye 2 weeks bila kumjua?? Tukisema nyiye wamama wa kiislam mnafanyiwa maovu kimya kimya mnatukana watu. Basi huyu Imaam alinogewa na hayo mambo akaona aweke ndani kabisa na kuhalalisha kwa ndoa.
Ati alikuwa kavaa hijab!! Yaani hata chumbani wiki 2?? Msitufunge kamba ninyi waislam. Kama sio huyo mwenzie aliyeona wivu na kumshikisha mali za wizi tungejua lini??
Dini yenu hii ina mambo
Tulia wewe huko pemba, unguja na Tanga ndio kunaongoza kwa kuingiliana kinyume na maumbileHujanielewa mkuu, mimi sijasema kwamba ni halali kwa Imamu kuoa mwanaume mwenzake, juu ya yote huyo Imamu alifanya jambo hilo bila kujua (kulingana na maelezo ya post), hivyo mojakwamoja hana hatia na wala hana dhambi.
Mimi kinacho niudhi ni baadhi Christians religious fanatics kunathibisha tukio hilo na tabia za Waislamu, kwamba mambo hayo yamo katika Uislamu ndiyo maana mimi nikaleta hiyo screen shot ya orodha ya wachungaji, ambao ni "declared gays" ili aone na atambue kwamba ni wakristo ndio hushadidisha Ushoga na siyo Uislamu.
Tulia wewe huko pemba, unguja na Tanga ndio kunaongoza kwa kuingiliana kinyume na maumbile
Huyu imam inaelekea ni bwabwa na huyo aliyejidai kuwa bi harusi alifanya hivyo kwa makubaliano maalum ili akaishi naye. Baraza limejua hilo ndio maana wamemsimamisha kazi, kama angekuwa yeye ndiye anayekula mzigo wala wasingehangaika naye, kwani huo ni utaratibu kwa mashehe.Kina Joshua na Richard mna mambo, mpaka mmejigeuza wanawake. Khaaa!