Imamu aliyerukiwa na paka mabegani akiswalisha apewa tuzo

Imamu aliyerukiwa na paka mabegani akiswalisha apewa tuzo

Mnapenda miujiza ila basi tu hamuipati[emoji1787]
Hapo muujiza uko wapi?
Ukiletewa videos zaidi za Paka au Watoto wakidandia watu wakiwa kwenye sala si utabaki mdomo wazi,

Kilichowafurahisha watu wote duniani ni Paka kuingia msikitini (tunajua huyo mnyama ni mdadisi) na kwenda kumdandia Imam, kilichofurahisha zaidi ni Imam kutokua distract na Paka yule zaidi akamshikilia vizuri hadi Paka akakaa kwenye bega lake, akamlamba uso, akamlamba mdomo (tunasema a kiss from Cat) kisha huyoooo akateremka akaenda zake,

It's all about humanity, usiwe cruel kwa Wanyama pia ujue Paka hua hamfati mwenye roho mbaya na katili hata siku moja.
 
Angekua Nguruwe [emoji241] kamtulia mabegani je! imamu angepewa tunzo ya kujali wanyama au angeitwa Kafiri?
Asingeitwa Kafiri sababu huyo Nguruwe angekua kamfata yeye na sio kama yeye ndie kamleta Nguruwe na kumuweka begani,

Zaidi angekatisha salaa mwingine angeendeleza na yeye angemtoa nje Nguruwe na kwenda kuoga na kubadili nguo sababu Nguruwe ni najisi kwa Imani yake, na sio tu Nguruwe hata angekua Mbwa bado ni najisi kwake ila Paka sio najisi.
 
Tunaisubiri kitimoto naye aende kujichumia mathawabu na yeye kama huyo paka naye apate headline za duniani na peponi, kwani yeye hapendi Jahna tul Firdausi?
Kajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,

7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
 
Asingeitwa Kafiri sababu huyo Nguruwe angekua kamfata yeye na sio kama yeye ndie kamleta Nguruwe na kumuweka begani,

Zaidi angekatisha salaa mwingine angeendeleza na yeye angemtoa nje Nguruwe na kwenda kuoga na kubadili nguo sababu Nguruwe ni najisi kwa Imani yake, na sio tu Nguruwe hata angekua Mbwa bado ni najisi kwake ila Paka sio najisi.
Kwahiyo ngurue sio kiumbe wa Allah
 
Back
Top Bottom