Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
Inapendeza sana
Angerukiwa na kitimoto pangechimbika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapendeza sana
Angerukiwa na kitimoto pangechimbika
Hizi sasa ndio Akili za Mtanzania halisi,Wanafahamiana tusidanganyane huenda ni mchepuko wake
Unataka kusema kwamba 😂Wanajuana hao,kwa macho unaweza ona ni paka kumbe sio
Hapo muujiza uko wapi?Mnapenda miujiza ila basi tu hamuipati[emoji1787]
Asingeitwa Kafiri sababu huyo Nguruwe angekua kamfata yeye na sio kama yeye ndie kamleta Nguruwe na kumuweka begani,Angekua Nguruwe [emoji241] kamtulia mabegani je! imamu angepewa tunzo ya kujali wanyama au angeitwa Kafiri?
Watu mnapenda vita 😅, huoni wamewafundisha warusi jihads,? maana nao wanachinja watu huko UkraineAngekua Nguruwe 🐖 kamtulia mabegani je! imamu angepewa tunzo ya kujali wanyama au angeitwa Kafiri?
Kajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,Tunaisubiri kitimoto naye aende kujichumia mathawabu na yeye kama huyo paka naye apate headline za duniani na peponi, kwani yeye hapendi Jahna tul Firdausi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inapendeza sana
Angerukiwa na kitimoto pangechimbika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajuana hao,kwa macho unaweza ona ni paka kumbe sio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanafahamiana tusidanganyane huenda ni mchepuko wake
HahaaaaTunaisubiri kitimoto naye aende kujichumia mathawabu na yeye kama huyo paka naye apate headline za duniani na peponi, kwani yeye hapendi Jahna tul Firdausi?
Kwahiyo ngurue sio kiumbe wa AllahAsingeitwa Kafiri sababu huyo Nguruwe angekua kamfata yeye na sio kama yeye ndie kamleta Nguruwe na kumuweka begani,
Zaidi angekatisha salaa mwingine angeendeleza na yeye angemtoa nje Nguruwe na kwenda kuoga na kubadili nguo sababu Nguruwe ni najisi kwa Imani yake, na sio tu Nguruwe hata angekua Mbwa bado ni najisi kwake ila Paka sio najisi.
Hatulagi kwato na macheuo yake mbonaKajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,
7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
Kajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,Kwahiyo ngurue sio kiumbe wa Allah
Hapo sasa endelea kupingana na maandiko, ila mie nishamalizaHatulagi kwato na macheuo yake mbona
[emoji23][emoji23][emoji23] JF kiboko[emoji23]Tunaisubiri kitimoto naye aende kujichumia mathawabu na yeye kama huyo paka naye apate headline za duniani na peponi, kwani yeye hapendi Jahna tul Firdausi?