Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likikaushwa halinuki😜Halafu kinavyotoa harufu!!, Siku moja kitimoto kilitoroka kwao kikaja karibu na nyumbani ilkuwa majira ya saa 11 alfajiri, nipo chumbani nikaaaza kuhisi harufu kali na mbaya nikajiuliza inatoka wapi harufu hiyo, mara nikasika mlio wa "grunting" (mlio anatoa nguruwe anapokula), mara nilipochungulia nje asalaleee!! nikaliona bonge la kitimoto linachakua jalalani kwetu, nililitoa balu, huku njia nzima liacha harufu mbaya na kali sana, sijui hao wanaokula hilo dudu najisi wanalipendea nini??!🤣🤣
Likikaushwa halinuki😜
Umekosea sana, Uislamu haumaanishi kwamba mnyama aliyeharamishwa kuliwa kwa waislamu wamchukie hapana hapanaAngekua Nguruwe 🐖 kamtulia mabegani je! imamu angepewa tuzo ya kujali wanyama au angeitwa Kafiri?
Hakuna niliposema wanachukia Nguruwe 🐖 km kupo onyesha,Umekosea sana, Uislamu haumaanishi kwamba mnyama aliyeharamishwa kuliwa kwa waislamu wamchukie hapana hapana
Mapenzi ya waislamu kwa wanyama yanabaki pale pale, hata huyo cat haliwi lakini mapenzi aliyoonyeshwa ni sawa na kwa wanyama wote
Sio wanyama wotekwamba uislamu pia unazingatia huruma na upendo kwa wanyama.
Uchokozi sasa huo.....Inapendeza sana
Angerukiwa na kitimoto pangechimbika
Litamu Hilo😋😋😋🤭Linanuka hata kinyesi cha binadamu hakinuki vile!!🤣
Paka sio najisi nani aliye kwambia kuw apaka ni najisi?Lakini Paka si ni Najisi?
Kwa hiyo unataka kusema Bible ina mapungufu [emoji15]Unaambiwa hao Lawi ndio walikua Makuhani wakuu Ila Cha ajabu walikua watenda dhambi wakuu pamoja kutunga sheria km hizo hadi pale Yesu alipotambulika kua yeye ndie Kuhani mkuu asiemtenda dhambi baada ya Pazia la Hekalu lenye urefu wa futi 60 na lenye uzito wa kubebwa na watu zaidi ya 300 kupasikia Kati kwa Kati
Kwa hio walawi nao walikua na mapungufu yao mengi ukiondoa kuwakataza watu wasile kitimoto wenyewe walikua wanakula
Sasa hata kama anamjua shida iko wapi? Kuna mahali walisema ni Paka wa porini kaingia msikitini?Umeona mbali Paka ana akili hachezi na asiemjua au asiemzoea km umewahi kuishi na kufunga paka utaelewa kitu,
Naam,Ila nyama ya Nguruwe [emoji241] ukiwa njaa ya kufa kwa mujibu wa Mtume Mohammed S.W.W kwamba Mnyaazi Mungu Subhana wa Tahara ameruhusu ili usife km ipo Nguruwe Basi kula funyango 3/4/5 ili usife na upate kuishi
Sasa je! Mwislamu Kumla Nguruwe [emoji241] pindi una njaa ya kufa inaswihi na anakua sio najisi Ila kuguswa nae wakati umeshiba ni najisi na ni haramu ?
Tunategemea comment za kashfa zilizo nje ya mada
Zishaanza🤣Inapendeza sana
Angerukiwa na kitimoto pangechimbika
Hapa Tz kuna Watu wanachukiana kwa Imani zao!?Unafiki tu. Unampenda paka unamchukia mkristo. Sasa ndo nini