Imamu aliyerukiwa na paka mabegani akiswalisha apewa tuzo

Imamu aliyerukiwa na paka mabegani akiswalisha apewa tuzo

Tuzo ya nini??-- ni ujinga mtupu huo.

Swala inahitaji mazingatio na ndio maana mtu anaposwali haitakiwi pembeni yake kuwepo na karaha ya aina yoyote, mfano kelele za watoto, radio nk, hiyo yote ni kumfanya anayeswali azingatie swala yake, sasa kwa kitendo cha huyo paka kumrukia huyo Sheikh ni kiraha na hivyo bila shaka katika kipindi hicho kwa tabia na sifa za binadamu huyo sheikh alikosa mazingatio katika hiyo swala, kilichotakiwa ilikuwa ni kumuondoa kwanza na halafu swala iendelee, hicho ndicho kilichotakiwa na si vinginevyo.

Wahenga husema; "ukicheza na mbwa atakufuata hadi msikitini" yawezekana huyo sheikh alipenda kucheza na huyo paka.

Huoni kama angetaka kumuondoa ndio kungemfanya akose umakini na kuharibu swala?

Mtume Muhammad (S.a.w) wakati anaswali wajukuu zake Hassan na Hussein walikua wanamdandia na kumrukia wala hakuwahi kukatisha salaa aliendelea, kumbuka alifuga Paka wengi pia,

Hizi Dini sio ngumu kivile.
 
Acheni kukuza mambo, hyo paka anaishi hapo hapo msikitini na amekulia hapo, so amezoeana na watu, isitafsiriwe kuwa ni paka alietoka from no where, so kama amekulia hpo hpo na amezoeana na watu ni ajabu gani sasa kumdandia shekhe?? Mbona hata majumbani kwetu huwa sometimes wanakufuata mpk jikoni na kwingineko ilimradi tu uwe rafiki kwake.
 
Tuzo ya nini??-- ni ujinga mtupu huo.

Swala inahitaji mazingatio na ndio maana mtu anaposwali haitakiwi pembeni yake kuwepo na karaha ya aina yoyote, mfano kelele za watoto, radio nk, hiyo yote ni kumfanya anayeswali azingatie swala yake, sasa kwa kitendo cha huyo paka kumrukia huyo Sheikh ni kiraha na hivyo bila shaka katika kipindi hicho kwa tabia na sifa za binadamu huyo sheikh alikosa mazingatio katika hiyo swala, kilichotakiwa ilikuwa ni kumuondoa kwanza na halafu swala iendelee, hicho ndicho kilichotakiwa na si vinginevyo.

Wahenga husema; "ukicheza na mbwa atakufuata hadi msikitini" yawezekana huyo sheikh alipenda kucheza na huyo paka
 
Huyo ni paka wa msikitini...na huyo Imamu inaonekana ndo mmiliki wake..paka siyo mjinga hawezi kumrukia mtu asiyemjua
Nashindwa kuelewa kinachowashangaza hawa jamaa hapo ninini, mbona ni issues ya kawaida sana coz paka anaonekana ni wa hapo hapo na kazaliwa na kukulia hpo hpo,
 
View attachment 2586863

Imamu aliyeteka vichwa vya habari mitandaoni siku za hivi karibuni kupitia video fupi iliyosambaa ikimuonyesha akirukiwa na paka mabegani wakati akiwa anaswalisha swala ya Taraweeh ametunukiwa tuzo.

Tukio hilo ambalo liliibua hisia za watu mbalimbali baada ya kumuonesha Imam huyo kutoonyesha kutetereka na kutomfukuza paka huyo wala kukatisha swala hiyo ambayo huswaliwa kila siku usiku katika mwezi mzima wa Ramadhan.

Kwa mujibu wa tovuti ya Breaking latest News Imamu huyo aliyetajwa kwa jina la Walid Mahsas kutoka nchini Algeria ametunukiwa tuzo na Ofisi ya masuala ya dini iliyo chini ya serikali ya nchi hiyo kwa kuonyesha kwake taswira ya kwamba uislamu pia unazingatia huruma na upendo kwa wanyama.

Chanzo: Mwananchi


Mm Huwa na allergies na Paka....kwanza nisinge ruhusu Paka anirukie....🤓

Hofu yangu Kwa Paka HAIJAWAI kunitoka nikiwa mdogo nilikua nalala Dirishani Paka alikimbizwa na Mbwa akarukia Dirishani nikiwa nimelala akaniparua.....

Sijawai wapenda na sitaki hata mazoea Wala kusogeleana Wala kugusa manyoya....
 
KibongobongoView attachment 2586863

Imamu aliyeteka vichwa vya habari mitandaoni siku za hivi karibuni kupitia video fupi iliyosambaa ikimuonyesha akirukiwa na paka mabegani wakati akiwa anaswalisha swala ya Taraweeh ametunukiwa tuzo.

Tukio hilo ambalo liliibua hisia za watu mbalimbali baada ya kumuonesha Imam huyo kutoonyesha kutetereka na kutomfukuza paka huyo wala kukatisha swala hiyo ambayo huswaliwa kila siku usiku katika mwezi mzima wa Ramadhan.

Kwa mujibu wa tovuti ya Breaking latest News Imamu huyo aliyetajwa kwa jina la Walid Mahsas kutoka nchini Algeria ametunukiwa tuzo na Ofisi ya masuala ya dini iliyo chini ya serikali ya nchi hiyo kwa kuonyesha kwake taswira ya kwamba uislamu pia unazingatia huruma na upendo kwa wanyama.

Chanzo: Mwananchi


Kibongobongo ni haramu si unajua tena Wandengereko na Wamakonde wa Mbagala astakafirulah.
 
Kajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,

7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
Sasa hayo si mambo ya walawi? Si wanyakyusa na walawi wapi na wapi?
 
Huyo ni paka wa msikitini...na huyo Imamu inaonekana ndo mmiliki wake..paka siyo mjinga hawezi kumrukia mtu asiyemjua
We umenena halafu eti hajashituka hata kidogo kiufupi wanafahamiana ni vile tu waislamu ni watu wa promo sana.
 
Kajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,

7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
sasa mambo ya Walawi yanatuhusu nini sisi wandengereko?
 
Ile clip niliipenda sana nikaipost whatsapp kila mtu akaiomba na wengine kurepost,

Kibongo bongo yule Paka angeitwa mchawi na hata kusindikizwa na teke la utosi, 🥲

Btw, Surah ambayo Imam alikua anaisoma hadi yule beautiful Paka kumdandia ni Surat al An'am (The Cattle) ayah 148-149
Ntumie
 
Naam,
Kwa mujibu wa maandiko na ufafanuzi upo,
Huenda umekwama porini umeishiwa chakula na bado hujajua njia ya kutoka basi kama kuna Nguruwe amekatiza chinja, choma kula kiasi usife kwa njaa ili uendelee na mapambano ya kujinasua, na sio Nguruwe tu hata wanyama wengine ambao walikatazwa unaweza ukala kwa hiyo dharura,

Sio upo zako home umehisi njaa unaagiza nyama yake unakula kwa ugali unashushia na maji baridi halafu useme ni hayo maandiko hapana umekula najisi.
Masha-allah

Huu ufafanuzi nimeupende yaan umeongea kwa sauti ya Mufti Abubakari Zuberi vizuri sana Dokta kwa kufafanua vizuri, Ila sio porini tu hata huku uraiani ukibanwa njaa ya kufa na kuna funyango za Nguruwe 🐖 mezani kula 4/5 kukata njaa ya kufa ili usife inaswihi
 
Back
Top Bottom