Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaambiwa hao Lawi ndio walikua Makuhani wakuu Ila Cha ajabu walikua watenda dhambi wakuu pamoja kutunga sheria km hizo hadi pale Yesu alipotambulika kua yeye ndie Kuhani mkuu asiemtenda dhambi baada ya Pazia la Hekalu lenye urefu wa futi 60 na lenye uzito wa kubebwa na watu zaidi ya 300 kupasikia Kati kwa KatiKajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,
7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
Umeona mbali Paka ana akili hachezi na asiemjua au asiemzoea km umewahi kuishi na kufunga paka utaelewa kitu,Huyo ni paka wa msikitini...na huyo Imamu inaonekana ndo mmiliki wake..paka siyo mjinga hawezi kumrukia mtu asiyemjua
Ila nyama ya Nguruwe 🐖 ukiwa njaa ya kufa kwa mujibu wa Mtume Mohammed S.W.W kwamba Mnyaazi Mungu Subhana wa Tahara ameruhusu ili usife km ipo Nguruwe Basi kula funyango 3/4/5 ili usife na upate kuishiAsingeitwa Kafiri sababu huyo Nguruwe angekua kamfata yeye na sio kama yeye ndie kamleta Nguruwe na kumuweka begani,
Zaidi angekatisha salaa mwingine angeendeleza na yeye angemtoa nje Nguruwe na kwenda kuoga na kubadili nguo sababu Nguruwe ni najisi kwa Imani yake, na sio tu Nguruwe hata angekua Mbwa bado ni najisi kwake ila Paka sio najisi.
Kitimoto hakina huo mda😂Tunaisubiri kitimoto naye aende kujichumia mathawabu na yeye kama huyo paka naye apate headline za duniani na peponi, kwani yeye hapendi Jahna tul Firdausi?
Unafiki tu. Unampenda paka unamchukia mkristo. Sasa ndo niniHapo muujiza uko wapi?
Ukiletewa videos zaidi za Paka au Watoto wakidandia watu wakiwa kwenye sala si utabaki mdomo wazi,
Kilichowafurahisha watu wote duniani ni Paka kuingia msikitini (tunajua huyo mnyama ni mdadisi) na kwenda kumdandia Imam, kilichofurahisha zaidi ni Imam kutokua distract na Paka yule zaidi akamshikilia vizuri hadi Paka akakaa kwenye bega lake, akamlamba uso, akamlamba mdomo (tunasema a kiss from Cat) kisha huyoooo akateremka akaenda zake,
It's all about humanity, usiwe cruel kwa Wanyama pia ujue Paka hua hamfati mwenye roho mbaya na katili hata siku moja.
Yule Paka ni wa hapo Msikitini.Ile clip niliipenda sana nikaipost whatsapp kila mtu akaiomba na wengine kurepost,
Kibongo bongo yule Paka angeitwa mchawi na hata kusindikizwa na teke la utosi, 🥲
Btw, Surah ambayo Imam alikua anaisoma hadi yule beautiful Paka kumdandia ni Surat al An'am (The Cattle) ayah 148-149
Hawa ndivo walivyo, ila Kwa Yesu, Kila Goti litapigwa !!.Unafiki tu. Unampenda paka unamchukia mkristo. Sasa ndo nini
Paka huyo ni wahapohapo Msikitin ,anafugwa na kulishwa hapohapo Msikitin,keshamzoea sana Imamu huyo.Hiyo Paka au Jini
View attachment 2586863
Imamu aliyeteka vichwa vya habari mitandaoni siku za hivi karibuni kupitia video fupi iliyosambaa ikimuonyesha akirukiwa na paka mabegani wakati akiwa anaswalisha swala ya Taraweeh ametunukiwa tuzo.
Tukio hilo ambalo liliibua hisia za watu mbalimbali baada ya kumuonesha Imam huyo kutoonyesha kutetereka na kutomfukuza paka huyo wala kukatisha swala hiyo ambayo huswaliwa kila siku usiku katika mwezi mzima wa Ramadhan.
Kwa mujibu wa tovuti ya Breaking latest News Imamu huyo aliyetajwa kwa jina la Walid Mahsas kutoka nchini Algeria ametunukiwa tuzo na Ofisi ya masuala ya dini iliyo chini ya serikali ya nchi hiyo kwa kuonyesha kwake taswira ya kwamba uislamu pia unazingatia huruma na upendo kwa wanyama.
Chanzo: Mwananchi
Firdausi kama firdausiTunaisubiri kitimoto naye aende kujichumia mathawabu na yeye kama huyo paka naye apate headline za duniani na peponi, kwani yeye hapendi Jahna tul Firdausi?
Nadhani huwa unaingia Jf baada ya kutoka vijiwe vya bangi au chibuku.Unafiki tu. Unampenda paka unamchukia mkristo. Sasa ndo nini
Daaa we jamaa mkorofi.Ila kwakua mwapenda muonekane, mtaanza sema ni Malaika🤣🤣🤣.
Sasa mlitaka Imamu amfukuze mshikaji wake? Au mlitaka Imamu akatishe swala kisa paka ambaye ni Mshikaji wake??.
Daaah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Inapendeza sana
Angerukiwa na kitimoto pangechimbika
Ahahaha kiti moto jahna tul Firdaus ataisikia tu kwenye bombaTunaisubiri kitimoto naye aende kujichumia mathawabu na yeye kama huyo paka naye apate headline za duniani na peponi, kwani yeye hapendi Jahna tul Firdausi?
View attachment 2586863
Imamu aliyeteka vichwa vya habari mitandaoni siku za hivi karibuni kupitia video fupi iliyosambaa ikimuonyesha akirukiwa na paka mabegani wakati akiwa anaswalisha swala ya Taraweeh ametunukiwa tuzo.
Tukio hilo ambalo liliibua hisia za watu mbalimbali baada ya kumuonesha Imam huyo kutoonyesha kutetereka na kutomfukuza paka huyo wala kukatisha swala hiyo ambayo huswaliwa kila siku usiku katika mwezi mzima wa Ramadhan.
Kwa mujibu wa tovuti ya Breaking latest News Imamu huyo aliyetajwa kwa jina la Walid Mahsas kutoka nchini Algeria ametunukiwa tuzo na Ofisi ya masuala ya dini iliyo chini ya serikali ya nchi hiyo kwa kuonyesha kwake taswira ya kwamba uislamu pia unazingatia huruma na upendo kwa wanyama.
Chanzo: Mwananchi
Kitimoto hakina huo mda😂
Kwanza chenyewe hakina uthubutu wa kuingia Msikitini.
Kakoses nini? Kutokomla haimaanishi kakosewa kuumbwa au ana dhambi. Wapo wanyama kibao hawaliwi ila rafiki za binaadamu. Ni huku Afrika tuu hasa Tanzania tumekariri vibaya. Msikilize mwanazuoni maarufu duniani akilielezea kwa ufasaha.Ahahaha kiti moto jahna tul Firdaus ataisikia tu kwenye bomba