ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Sisi walevi paka wanaturukia sana tukiwa bar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa jwani wewe ni mlawi?Kajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,
7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
Emu tupia hio video Dokta tukuchambulie kidogo,Sasa hata kama anamjua shida iko wapi? Kuna mahali walisema ni Paka wa porini kaingia msikitini?
Au hiyo video nyie wenzetu mmeielewa vipi?
Yule paka alivutiwa na sauti nzuri ya kuisoma Qur'an.Kama ni kitimoto anakimbia mwenyewe.Inapendeza sana
Angerukiwa na kitimoto pangechimbika
Kwahiyo wewe unaamini ni nini maana yake?Hizi sasa ndio Akili za Mtanzania halisi,
Halafu tunataka Mabeberu wasiendelee kutoa misaada eti tunajiweza wenyewe, thubutuuuu
Sasa wewe si unakaa na plate za kitimoto unategemea nini ?Sisi walevi paka wanaturukia sana tukiwa bar
Emu weka video kwanzaYule paka alivutiwa na sauti nzuri ya kuisoma Qur'an.Kama ni kitimoto anakimbia mwenyewe.
Dokta umewahi kumfuga Paka mkazoeana kiasi cha kulinyea Kochi lako unalolipenda ? Paka hataki kunya nje anakunywa ndani tuHizi sasa ndio Akili za Mtanzania halisi,
Halafu tunataka Mabeberu wasiendelee kutoa misaada eti tunajiweza wenyewe, thubutuuuu
Hivi huyo paka alifikaje sehemu ile anapokaa imamu? Angekuwa ni ze kitiz hata asingefikia hatua hiyoAngekua Nguruwe 🐖 kamtulia mabegani je! imamu angepewa tuzo ya kujali wanyama au angeitwa Kafiri?
Angalia huko juu wameweka na usome na comments za watuEmu tupia hio video Dokta tukuchambulie kidogo,
Tupende na kujali Wanyama kama alivyofanya ImamKwahiyo wewe unaamini ni nini maana yake?
Duuuh….kweli kuwa na haya(aibu) ni katka imaniWanafahamiana tusidanganyane huenda ni mchepuko wake
Yaani tunaweza kukaa siku nzima tunamuongelea Paka, hakuna Mnyama ninayempenda kama Paka,Dokta umewahi kumfuga Paka mkazoeana kiasi cha kulinyea Kochi lako unalolipenda ? Paka hataki kunya nje anakunywa ndani tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Masha-allah
Huu ufafanuzi nimeupende yaan umeongea kwa sauti ya Mufti Abubakari Zuberi vizuri sana Dokta kwa kufafanua vizuri, Ila sio porini tu hata huku uraiani ukibanwa njaa ya kufa na kuna funyango za Nguruwe [emoji241] mezani kula 4/5 kukata njaa ya kufa ili usife inaswihi
Kwani Bible inachagua maandiko?Sasa jwani wewe ni mlawi?
Ila likija suala la ushoga na usagaji mnakwoti hao hao Walawi [emoji38]sasa mambo ya Walawi yanatuhusu nini sisi wandengereko?
Kwani walisema hawafahamiani? Wapi kwenye video imeongelewa uhusiano wa Paka na Imam?We umenena halafu eti hajashituka hata kidogo kiufupi wanafahamiana ni vile tu waislamu ni watu wa promo sana.
Wewe hauwajali?Tupende na kujali Wanyama kama alivyofanya Imam