Nime kuelewa kamanda kweli wabongo wanawaza uchawi vichwani wao hata wasomi vipi hiyo tabia aitaondoka akilini mwaoHizi sasa ndio Akili za Mtanzania halisi,
Halafu tunataka Mabeberu wasiendelee kutoa misaada eti tunajiweza wenyewe, thubutuuuu
Tatizo lake huyo ajui nini maana ya mwiujizaHapo muujiza uko wapi?
Ukiletewa videos zaidi za Paka au Watoto wakidandia watu wakiwa kwenye sala si utabaki mdomo wazi,
Kilichowafurahisha watu wote duniani ni Paka kuingia msikitini (tunajua huyo mnyama ni mdadisi) na kwenda kumdandia Imam, kilichofurahisha zaidi ni Imam kutokua distract na Paka yule zaidi akamshikilia vizuri hadi Paka akakaa kwenye bega lake, akamlamba uso, akamlamba mdomo (tunasema a kiss from Cat) kisha huyoooo akateremka akaenda zake,
It's all about humanity, usiwe cruel kwa Wanyama pia ujue Paka hua hamfati mwenye roho mbaya na katili hata siku moja.
Mkiristo hakubaliani na andiko hilo hata umfanyejeKajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,
7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nyie jamaa wagomvi sanaAngekua Nguruwe [emoji241] kamtulia mabegani je! imamu angepewa tuzo ya kujali wanyama au angeitwa Kafiri?
Wakirito hawafuati biblia bali wanafata akili zao tuHatulagi kwato na macheuo yake mbona
Wakirito hawafuati maandiko fahamu kupa andiko ni sawa na kumpigia mbuzi gitaaHapo sasa endelea kupingana na maandiko, ila mie nishamaliza
Wakirito hawafuati biblia bali wanafata akili zao tu
hiyo tuzo anastahili pakaView attachment 2586863
Imamu aliyeteka vichwa vya habari mitandaoni siku za hivi karibuni kupitia video fupi iliyosambaa ikimuonyesha akirukiwa na paka mabegani wakati akiwa anaswalisha swala ya Taraweeh ametunukiwa tuzo.
Tukio hilo ambalo liliibua hisia za watu mbalimbali baada ya kumuonesha Imam huyo kutoonyesha kutetereka na kutomfukuza paka huyo wala kukatisha swala hiyo ambayo huswaliwa kila siku usiku katika mwezi mzima wa Ramadhan.
Kwa mujibu wa tovuti ya Breaking latest News Imamu huyo aliyetajwa kwa jina la Walid Mahsas kutoka nchini Algeria ametunukiwa tuzo na Ofisi ya masuala ya dini iliyo chini ya serikali ya nchi hiyo kwa kuonyesha kwake taswira ya kwamba uislamu pia unazingatia huruma na upendo kwa wanyama.
Chanzo: Mwananchi
Kajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,Kwa hiyo we ishu yako na kitimoto ni hiyo harufu au kuna kingine?
Ukihakikishiwa kwamba anaweza kupikwa akanukia bila kuacha hiyo harufu usioipenda, utamla?
Basi acha kumdis
Na vipi kuhusu ngamiaKajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,
7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
Angeingia nguruwe sokomoko lingeanza huku kwa maamuma mpaka imamu mwenyewe angeshtuka.Tungesukumana naye kwa magongo waliombele pamoja na imamu tungewahadithia tu baadae.Angerukiwa na kitimoto apo sijui ingekuwaje
Analiwa tena nyama yake tamu sanaNa vipi kuhusu ngamia
Kusukuma na kufunua ni tofauti mkuu😄Si anausukuma mfuniko tu ukianguka anachukua Samaki anaondoka nae anaenda kumla mkija kuangalia mnaona chungu Kiko wazi Paka kaondoka na Samaki, 😆
Vipi kuhusu kwato zileAnaliwa tena nyama yake tamu sana
Miaka ya nyuma kwenye msikiti wa Manzese Kitimoto aliingia sijui alitokea wapi wakati wa Swala...alikula mikwaju huyo!!Tunaisubiri kitimoto naye aende kujichumia mathawabu na yeye kama huyo paka naye apate headline za duniani na peponi, kwani yeye hapendi Jahna tul Firdausi?