Imamu aliyerukiwa na paka mabegani akiswalisha apewa tuzo

Hizi sasa ndio Akili za Mtanzania halisi,
Halafu tunataka Mabeberu wasiendelee kutoa misaada eti tunajiweza wenyewe, thubutuuuu
Nime kuelewa kamanda kweli wabongo wanawaza uchawi vichwani wao hata wasomi vipi hiyo tabia aitaondoka akilini mwao
 
Mfugaji yoyote wa Paka atakwambia kwamba hilo sio jambo la ajabu kwa Paka kukurukia au kuzunguka zunguka kwenye miguu....
 
Tatizo lake huyo ajui nini maana ya mwiujiza
 
Kajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,

7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
Mkiristo hakubaliani na andiko hilo hata umfanyeje
 
Angekua Nguruwe [emoji241] kamtulia mabegani je! imamu angepewa tuzo ya kujali wanyama au angeitwa Kafiri?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nyie jamaa wagomvi sana
 
hiyo tuzo anastahili paka
 
Kwa hiyo we ishu yako na kitimoto ni hiyo harufu au kuna kingine?

Ukihakikishiwa kwamba anaweza kupikwa akanukia bila kuacha hiyo harufu usioipenda, utamla?

Basi acha kumdis
Kajisomee mambo ya Walawi: 11:7-8,

7. Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

8. Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu.
 
Wana maana yao ya kufanya hivo hao, huyo paka hata haeleweki katokea wapi?
 
Angerukiwa na kitimoto apo sijui ingekuwaje
Angeingia nguruwe sokomoko lingeanza huku kwa maamuma mpaka imamu mwenyewe angeshtuka.Tungesukumana naye kwa magongo waliombele pamoja na imamu tungewahadithia tu baadae.
 
Tunaisubiri kitimoto naye aende kujichumia mathawabu na yeye kama huyo paka naye apate headline za duniani na peponi, kwani yeye hapendi Jahna tul Firdausi?
Miaka ya nyuma kwenye msikiti wa Manzese Kitimoto aliingia sijui alitokea wapi wakati wa Swala...alikula mikwaju huyo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…