Imani Kajula CEO Mpya Simba

Tutanza kuona tena jezi zetu feki nyingi zikiuzwa hovyo hovyo na shaffih dauda
 
Ndio utaratibu ulivyo...anakuwa kwenye kipindi cha majaribio akionekana amemudu anathibitishwa na anapewa mkataba wa muda mrefu.
Na CEO aliyeng'atuka; Barabara Gonzalez naye alipewa mkataba wa aina hii?
 

Uongozi ushapangwa kitambo
Bado kutangazwa siku ya uchaguzi

Murtaza mangungu atasalia kua mwenyekiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…