Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ni sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio utaratibu ulivyo...anakuwa kwenye kipindi cha majaribio akionekana amemudu anathibitishwa na anapewa mkataba wa muda mrefu.Miezi 6 ? anyway hayatuhusu
Tutanza kuona tena jezi zetu feki nyingi zikiuzwa hovyo hovyo na shaffih daudaSijui uongozi wa Sasa una haraka gani wakati Kuna uongozi mpya unachaguliwa hivi karibuni Kuna hatari kama uongozi utakuja tofauti wakatofautiana.
Kuna kipindi alikuwa anahusika na jezi za Simba Kuna hatari ya mgongano wa maslahi wakati wa kutangaza tenda za jezi.
Na CEO aliyeng'atuka; Barabara Gonzalez naye alipewa mkataba wa aina hii?Ndio utaratibu ulivyo...anakuwa kwenye kipindi cha majaribio akionekana amemudu anathibitishwa na anapewa mkataba wa muda mrefu.
Hana uzoefu ..tena wamempa mingi sana[emoji16][emoji16][emoji16]
Sijui uongozi wa Sasa una haraka gani wakati Kuna uongozi mpya unachaguliwa hivi karibuni Kuna hatari kama uongozi utakuja tofauti wakatofautiana.
Kuna kipindi alikuwa anahusika na jezi za Simba Kuna hatari ya mgongano wa maslahi wakati wa kutangaza tenda za jezi.
Brother this is too low!Anaumwa nini?
Unakata gogo bila shakaNiko palee!
Kuna tofauti kati ya CEO na afisa habari huko kwenu CEO ni afisa habari piaYule CEO wa upande wa pili yupo kama hayupo
Unashangaa Manara alishasema wenye akili wawili baba yake mzazi na Mzee Kikwete.Ulitegemea utofauti wa fikra.Wote ni mental cases.Wasamehe.Brother this is too low!