Hawa wa2 tukiwajadili ndio tunawapa sifa alaf pia inachangia MTU kuweza kuona anacho Fanya kinafaa in short hao wa2 awawezekaniki tena ni sawa. Na mvuta sigara hawezi acha at a siku moja at a akiacha atakua anavuta kidogo kwahyo ata hawa jamàa Kama ndiio tabia yake awezi acha mandishi yetu tukiandka mwisho tutalala na kaz zinaendelea tens kwa upande wao anaona nni raha. Kujadili HVO kumbe amna kitu kwshyo at a tukiwasema ni kama tuu vile tunawaproud na kuwapa sifa maana Tatar hawez kua men rijali ata cku moja yan kwel wanawake walivo weng tens wazur alafu watam kama asali😋😋🤔 yan alafu unakuta mwamba ndiio HVO tens wakuu tusiwape sifa wala kuwajidili c tuendelee kula vitu vitam kwa wanawake zetu asikwambie MTU mwanamke mtam sanaàaNi masista duu nimewanyaka sehemu fulani wakijadili na kupondea....Eti hawaolewi kwa sababu wanaume wananyang'anya wanaume zao Ivo kumekuwa na uhaba wa wanaume😳....jambo lingine Eti hata picha zinazotupiwa sana mitandaoni....
Ukiona wanaume wawili picha ya pamoja afu wanajiita marafiki ujue ni wanakulana yaan wapenzi....haitoshi na mabarabarani wanaume wanaoongozana wawiliwawili au wamekaa sehemu tulivu(bar) pamoja Eti wengi wao ni wapenzi.
Nimewaza nikajisemea hii ngoma hii dunia hii amani na utulivu hakuna tena....Dunia imekuwa uwanja wa vita.😥 Aisee....wanaume mnaoliwa acheni bas hizo mambo mnachafua wenzenu tafadhali
hakuna kitu kama icho "uhaba wa wanaume"Eti hawaolewi kwa sababu wanaume wananyang'anya wanaume zao Ivo kumekuwa na uhaba wa wanaume
Hao wote uliowamention wanaolewa TU mkuu coz ni wanawake ila wanaume kuwa wanawake huoni kama linaleta kigugumiz mkuuhakuna kitu kama icho "uhaba wa wanaume"
basi na siye tuseme kuna "uhaba wa wanawake" as kuna "wanaosagana"
waache(muache) udangaji na tamaa, wataolewa
unavutia sehemu moja eehila wanaume kuwa wanawake huoni kama linaleta kigugumiz mkuu
kuna wanaume "wanaopakuliwa" na wameoa pia na watoto juuwanaolewa TU
Kwani kiuhalisia ni mwanaume?Siye pekeyake wapo wengi ila sababu yeye kajiweka Waz Ndo maana umemtambua
Kila mtu ataisemea nafsi yake, mwingine anaejiona yuko SKANGAGA, yaani MAKODINDA MAKOSTAMINA atasema pia.Maana wewe peke Yako Ndo mwanaume 🤣🤣🤣